FUKO LA DHIKI
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 463
- 146
Shida ipo hapo , hiyo hasara ataibeba nani?Huwezi kupanga matumizi Kwa Kitu kulichojengwa bila plan
Nyie ndio mnaleta ushabiki kwa sababu mnapingana na kila CAG kisa amemsema mtu wenu vibaya...ofisi ya CAG ilikuwa ikiibua madude tawala zote wala sio kwa Magufuli tu, ila kwa Magufuli anashambuliwa, kwa nini?Na kwa mitazamo hii ndio maana tupo hapa watu kama nyie ambao ni wafuasi wa mtu ni janga kwa mustakabali wa hili taifa..., mnachukulia nchi kama ushabiki wa simba na yanga, wao na sisi na sio kipi ni sahihi na nini sio sawa....
Binafsi sio mfuasi wa mtu yoyote bali ni mwananchi wa hii nchi, kwa mantiki hio fikra zangu ni kuongelea na kupinga lolote popote kama nikiona halipo sawa, be it kalifanya nani au mtu wa mlengo gani wa Kisiasa...
And right now mtu ambaye anatakiwa kufukua madudu kama anaonyesha yale tu ambayo mtawala hawezi kupingana nayo, it means na yeye ni walewale tu...
Unaweza ukaleta hata Post moja humu niliyoshawahi kumsifia JPM ?Nyie ndio mnaleta ushabiki kwa sababu mnapingana na kila CAG kisa amemsema mtu wenu vibaya...ofisi ya CAG ilikuwa ikiibua madude tawala zote wala sio kwa Magufuli tu, ila kwa Magufuli anashambuliwa, kwa nini?
Hiyo ni imani yako hakuna mtu mwenye haki ya kukufanya usiamni unacho kiamini.Kwani nani hajui? bora Assad aliongea huyu alikuwa kimya na kuunga mkono, sasa hivi tunajuaje kama sio speaker ya propaganda na fagio la kumsafishia mama njia ?
Kama aliweza kuficha mambo hapo mwanzo kwanini asifiche mengine sasa..., Vipi kuhusu return on investment ya hizi safari za sasa kuna lolote anaongelea hapo ?
Huyu jamaa inaonekana anaweza kusema lolote au kuficha lolote depends na nani anamwambia aseme nini, mimi kama mlipa Kodi sina Imani na huyu Bwana / Hiki Kitengo
Lusinde Kibajaji na redio call, Daudi na kiona mbali, huyu mwanamke mwenye riffle sijamtambua.Walinda "legasi"View attachment 2187028
Vipi kuhusu Chato kuwa mkoa bado mnaendelea kuota?Afadhali uwanja upo hata mkisema mpaka mapovu yawatoke ni sawa tu maana Geita utabaki uwanja wao! Ile sehemu mmepora madini sasa hivi kumebaki maandaki maana hata mchanga umabebwa, no replacement!
Madini mliobebea yakiisha siku moja tutapata watalii watakaokuja kutembelea mashimo waliochimba Geita!
Mzee unajua huyu CAG hii ni ripoti yake ya pili, alitoa ya kwanza baada ya jiwe kufaWatanzania tuna unafiki mwingi. Enzi huo uwanja unajengwa, CAG alikuwepo! Lakini hakumshauri Rais wa wakati huo kusitisha ujenzi wake.
Hivyo Taifa linatakiwa liwe na watu wenye ujasiri wa kumwambia Mfalme ukweli. Kama yuko uchi, aambiwe ukweli, ili ajisitiri!
Kuna makosa mengi Rais aliyepita, aliyafanya! Lakini wasaidizi wake walitumia muda wao wote kumsifia na kumtukuza tu! Badala ya kumshauri na kumuambia ukweli.
Ulitaka miradi ianze lini?Sio sgr tuu tukianza kuongelea miradi tanzania hii ni mingi ikiwemo chato. Kukosa mlengo kama taifa na dira kuu ni chanzo cha yote aya.
Nilitaka sahau mzizi wa yote aya ni CCM. Pamoja na kuhusisha vyeo vya kiutendaji pamoja na siasa
Usizungumze kwa mahaba bila weledi.Hivi uwanja wa ndege wa Chato unatofauti gani na Uwanja wa Ndege wa Musoma unaojengwa? Au wa Mtwara? Hizo faida anazotaka CAG ni zipi? Zionekane baada ya mda fani? Maana nina hakika ata ujenzi wa terminal 3 Mwaimu Nyerere bado hatujaanza kupata faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi like kipi? Ameteuliwa CAG 2019, kabla ya kutoa ripoti yake ya kwanza jiwe akawa keshakufaKipindi kile alisemaje ?
Kama kipindi kile alikaa kimya kwa kuogopa Mamlaka tunajuaje kama kipindi hiki asemi kila anachotakiwa kusema ili mradi tu kuridhisha mamlaka ?
Hii nchi unafiki mwingi sana kwamba ingebidi aombe wananchi msamaha na ajiondoe kwenye hio kazi sababu inaonyesha ni bendera fuata upepo