Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Ila wakristo wanapenda kulalamika, waislamu wangapi wanafanyiwa mabaya lakini media zinajifanya kama hazioni, Syria, Palestine, Uyghur Muslim, India huko, nk. Hata wakiuliwa vipi habari haitosambaa kama za wakristo, lakini hapo muislam mmoja tu auwe mkristo au mkristo auliwe itaangaliwa kwanza muuaji ni dini gani, kama ni muislam Basi utasikia ndio walivyo hao magaidi, sijui ndio imani yao ndio inavyowatuma wajitoe muhanga. Juzi hapo marekani kuna mwanamke kauwa watu zaidi ya kumi lakini haitwi gaidi Kwa sababu sio muislam. Tuacheni hayo mambo, hakuna dini inayopenda amani kama islam, ndio maana na mimi nikaingia kwenye uislam.
 
Ni nani alisema hayo maneno? Huyo aliyemuona Baba ni nani?

huyu naye ni muongo ??

paulo anatuambia Mungu haonekani na asiyekufa ,

1 Timothy 1;17

Now to the King eternal, immortal, invisible, the only God, be honor and glory for ever and ever. Amen.
 
huyu naye ni muongo ??

paulo anatuambia Mungu haonekani na asiyekufa ,

1 Timothy 1;17

Now to the King eternal, immortal, invisible, the only God, be honor and glory for ever and ever. Amen.
Naona unazidi kutanua magoli. Bible ina aya nyingi tu za hivi. Hebu turudi kwenye ile Yohana uliyoileta mwenyewe. Au useme ile umeachana nayo unataka tujadili hii.

Maana naona hata swali lako umeshalisahau!
 
Upumbavu tuh
 
Naona unazidi kutanua magoli. Bible ina aya nyingi tu za hivi. Hebu turudi kwenye ile Yohana uliyoileta mwenyewe. Au useme ile umeachana nayo unataka tujadili hii.

Maana naona hata swali lako umeshalisahau!

Ndiyo umejibu swali hapo uliloulizwa ?
 
Hujauliza swali lolote

Jifanye kipofu ,

huyu naye ni muongo ??

paulo anatuambia Mungu haonekani na asiyekufa ,

1 Timothy 1;17

Now to the King eternal, immortal, invisible, the only God, be honor and glory for ever and ever. Amen.
 
Muslims are not happy.
  • They are not happy in Gaza.
  • They are not happy in Egypt.
  • They are not happy in Libya.
  • They are not happy in Algeria.
  • They are not happy in Tunis.
  • They are not happy in Morocco.
  • They are not happy in Yemen.
  • They are not happy in Iraq.
  • They are not happy in Afghanistan.
  • They are not happy in Syria.
  • They are not happy in Lebanon.
  • They are not happy in Iran.

And where are Muslims happy?
  • They are happy in England.
  • They are happy in France.
  • They are happy in India.
  • They are habov in Germany
  • They are happy in Sweden.
  • They are happy in the Netherlands.
  • They are happy in Denmark.
  • They are happy in Belgium.
  • They are happy in Norway.
  • They are happy in U.S.A.
  • They are happy in Canada.

They are happy in any country in the world not ruled by Muslims.
And who do they blame?
  • Not Islam.
  • Not their leadership.
  • Not themselves.

They blame the countries where they are living freely and well.
Democracy is really good for them: democracy, in which they can live comfortably, enjoy the high quality of life, which a good part of them did not build or work to have.
This good part can maintain its customs, disobey the laws, exploit social services, parody our politics and our courts. They usually bite the hand that feeds them. And besides, they never go to Russia, Vietnam, North Korea, Cuba or Cambodia. The question is contradictory, and paradoxical, because, at the same time, they try to bring their broken life system and transform the countries that welcomed them into the country that they abandoned.
"Where Fanaticism enters through the door, Reason comes out the window.
 

Unafikiri Hao waliozaliwa huko Ulaya wako Happy ? Labda hujafika na kuishi huko , usidanganywe , watu wanaojiuwa wenyewe hawana idadi , mfumuko wa bei Za vitu ndio usiseme, watu wamellikataa kanisa na makanisa mengi yanageuzwa Msikiti na mengine ma baa . Usidanganywe kanisani

Angalia mwenyewe hao watu wenye furaha wanavyojiuwa

List of countries by suicide rate - Wikipedia
 
Unamaanisha waislamu mashoga hawapo?
 
Ni nani alisema hayo maneno? Huyo aliyemuona Baba ni nani?
Hayo ni maneno ya yohana aliyemnukuu Yesu , na umefanya yale yale kunukuu sehemu ya maneno tu , kumbe nyani haoni ....

chungulia na maneno haya, kayasema nani ?+

Yohana 5:37 SRUV​

Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…