Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Mkuu tukifuata historia sehemu kubwa ya uislamu imeteka kwenye uenezi wake
Ukisom kwa makini dini zimeenea sawa , ugomvi ulitokana na watawala wa enzi zile ,hiyo ipo kwa Mussa (faraoh) , Ibrahim (wale waabudu masanamu) ,Issah (wayahudi walitaka kumtesa) n mwishoe Mtume ule utawala wa Mecca pia ulikuwa unampinga mwanzoni.


Watu walioanzisha vita na watawala wakubwa haswa waliokuwa wana imani zao za kishirikina.

Jihad ilikuwa na maelekezo na hakuna jihad imepigwa kweny makazi ya watu zaidi ya vikosi kukutana uwanja wa vita ,ukitaka kasome sheria za jihad.
 
Jibu Ni jepesi Sana Kama alivyokujibu mchangiaji mmoja hapo juu, Ni kwamba Giza na Nuru(Mwanga) havikai pamoja!
hujiulizi kwann inapoingia Nuru (Mwanga) Giza hutoweka? kwann hakuna co-existance baina yake? ni kama vile Polisi na ujambazi.
Polisi Hana co-exist na majambazi mbona huulizi hilo?
Allah ameliweka wazi kwenye Quran kupitia Nabii Ibrahim Kama mfano

قَدْ كَانَتْ لَكُمْ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ فِي إِبْرَاهِيمَ وَالَّذِينَ مَعَهُ إِذْ قَالُوا لِقَوْمِهِمْ إِنَّا بُرَءَآؤُاْ مِنكُمْ وَمِمَّا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ كَفَرْنَا بِكُمْ وَبَدَا بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمُ الْعَدَاوَةُ وَالْبَغْضَاءُ أَبَدًا حَتَّىٰ تُؤْمِنُوا بِاللَّـهِ وَحْدَهُ إِلَّا قَوْلَ إِبْرَاهِيمَ لِأَبِيهِ لَأَسْتَغْفِرَنَّ لَكَ وَمَا أَمْلِكُ لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن شَيْءٍ ۖ رَّبَّنَا عَلَيْكَ تَوَكَّلْنَا وَإِلَيْكَ أَنَبْنَا وَإِلَيْكَ الْمَصِيرُ﴿٤﴾

"Kwa yakini mna kigezo kizuri kwa Ibraahiym na wale walio pamoja naye, walipowaambia watu wao: Hakika sisi tumejitenga nanyi na yale mnayoyaabudu badala ya Allaah, tunakukanusheni, na umedhihirika baina yetu na baina yenu uadui na bughudha ya kudumu milele mpaka mumuamini Allaah Pekee. Isipokuwa kauli ya Ibraahiym kwa baba yake: Nitakuombea kwa hakika maghfirah, na wala sikumilikii chochote kile mbele ya Allaah. Rabb wetu! Tumetawakali Kwako, na Kwako Tunarudia kutubia, na Kwako ni mahali pa kuishia."
(Quran 60:4)
 
Uzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha

Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?

Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida. Mfano ni hapa Tanzania bara wakristo ni kama asilimia 65 lakini waislam wana uhuru wa kiimani.

Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 51 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa, kunakuwa hakuna tolerance ya imani zingine.

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.

Makanisa yanavunjwa, Ujenzi wa makanisa unaminywa, makanisa kuwa machache huku misikiti ikijengwa kwa uhuru

Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza

Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa

View attachment 2909299


Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,

Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar

View attachment 2909278

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiri uamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia
ndugu nenda senegal waislamu ni 99% lakini wakristo wapo na amani kabisa
 
They used to eat everything they saw, they were on their way to the village, they had to eat Mussa (faraoh), Ibrahim (wala waabudu masanamu), Issah (wayahudi walitaka kumtesa) n mwishoe Mtume ule utawala wa Mecca pia ulikuwa unampinga mwanzoni.


Watu walioanzisha vita na watawala wakubwa haswa waliokuwa wana imani zao za kishirikina.

Jihad ilikuwa na maelekezo na hakuna jihad imepigwa kweny makazi ya what zaidi ya vikosi kukutana uwanja wa vita,ukitaka kasome sheria za jihad

Ukisom kwa makini dini zimeenea sawa , ugomvi ulitokana na watawala wa enzi zile ,hiyo ipo kwa Mussa (faraoh) , Ibrahim (wale waabudu masanamu) ,Issah (wayahudi walitaka kumtesa) n mwishoe Mtume ule utawala wa Mecca pia ulikuwa unampinga mwanzoni.


Watu walioanzisha vita na watawala wakubwa haswa waliokuwa wana imani zao za kishirikina.

Jihad ilikuwa na maelekezo na hakuna jihad imepigwa kweny makazi ya watu zaidi ya vikosi kukutana uwanja wa vita ,ukitaka kasome sheria za jihad.
Mkuu umeesoma historia ya ottoman?
 
... FURSA PEKEE ILIYOSALIA YA 'WATU' WAJINGA KUFANYA SIASA, HAPA TANZANIA, KWA SASA, NI KUJIFICHA NYUMA YA DINI!
... AMINI NAWAAMBIA, MTAIKUMBUKA JANA NA JUZI! TUNAENDA KUWA 'FAILED STATE' KWA AJILI YA WAFIA DINI!
NB: WASOMI TANZANIA SASA HIVI NI WENGI, HATA KAMA DINI YAKO IKIINGIA IKULU HAITAWARIDHISHA WAUMINI WENZIO MIA KWA MIA!
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
COUNTRIES WITH THE HIGHEST PERCENTAGE OF CHRISTIANS:
Timor Leste 99.1%
American Samoa 98.3%
Romania 98%
Greece 98%
Armenia 97.9%
Grenada 97.3%
Papua New Guinea 97%
Puerto Rico 97%
Greenland 96.6%
Haiti 96%


Ukitaka za Afrika pekee cheki hapa..
 
Uzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha

Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?

Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida. Mfano ni hapa Tanzania bara wakristo ni kama asilimia 65 lakini waislam wana uhuru wa kiimani.

Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 51 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa, kunakuwa hakuna tolerance ya imani zingine.

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.

Makanisa yanavunjwa, Ujenzi wa makanisa unaminywa, makanisa kuwa machache huku misikiti ikijengwa kwa uhuru

Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza

Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa

View attachment 2909299


Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,

Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar

View attachment 2909278

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiri uamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia
Hawa Waislam tuishi nao tu; lakini ni Uzao wa SHETANI ALLAH. Una ukatili wanaomfanyia mwenzao kwa kumpiga mawe


View: https://x.com/EduTalkTz/status/1759434168100847875?s=20
 
Mkuu naomba tuhusike na maada ya mezani inayojikita kujua ni sababu gani zinapelekea kwamba nchi ikiwa na wakristo wengi kuzidi waislam bado waislam wanakuwa huru lakini ikiwa kinyume chake wakiristo wanaanza kuminywa,

Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 laini tunaishi vizuri tu na waislam

hio ndio mada iliyopo mezani
Waislam machoni wanakuchekea kumbe mgongoni ameficha libisu. Uzao wa SHETANI ALLAH
Screenshot_20240213-020054.png
 
Waislam wengi wana inferiority complex, hamna kitu wanasema ni makosa yao au kuna baadhi ya viongozi wao wame/likikosea..

Mifano iko mingi mno ya wao kulaumu sanasana wakristo..

Wanamtupia lawama nyerere kwa wengi wao kutosoma/kufeli ilhali shule zipo mpaka leo....

Wanawalaumu western eti wanasababisha vita nchi za kiislam, hao waislam wengi duniani wana faida gani kama hawasaidiani na tatizo wanalijua, kuna jamaa hapo kadai waislam ni wengi duniani sasa wingi wao una faida gani kama wanaendeshwa na kundi dogo??

Sijui kwanini wanapenda kulaumu watu wengine kwa matatizo yao, ona hapo watu wanacharazwa mboko kipuuzi kabisa, alafu utetezi wa jamaa eti wakristo wamesababisha kwa chuki chuki gani sijui aisee.

Ukijitoa kwenye kivuli cha dini utaona maujinga mengi sana ya hizi dini.
 
haya maskhara popoma yeyote asije akareta kwangu huu ufala ..........ntapiga lile kofi la mlinzi wa kwa lowasa........eti sababu wavaa kobazi wamefunga basi usile mchana nyokoooooo
Hahaha..
Em tembelea Pemba au Zenji wakati wa mfungo halafu ulete mrejesho..
Watakunyoosha vizuri tu
 
Mkuu naomba tuhusike na maada ya mezani inayojikita kujua ni sababu gani zinapelekea kwamba nchi ikiwa na wakristo wengi kuzidi waislam bado waislam wanakuwa huru lakini ikiwa kinyume chake wakiristo wanaanza kuminywa,

Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 laini tunaishi vizuri tu na waislam

hio ndio mada iliyopo mezani

Hiyo 65% umeipata wapi?
 
Kama kawaida yenu, Mfungo wa Ramadhan unapokaribia kuanza mnaanza kukashifu
 
Hiyo 65% umeipata wapi?
Are there more Christians or Muslims in Africa?

Christianity is the main religion in Sub-Saharan Africa. As of 2020, 62 percent of the region's population was Christian. Muslims followed, accounting for 31.4 percent of the total population. In addition, 3.2 percent of the people in Sub-Saharan Africa practiced traditional African religions, while the unaffiliated constituted three percent of the population...
 
Back
Top Bottom