Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ukisom kwa makini dini zimeenea sawa , ugomvi ulitokana na watawala wa enzi zile ,hiyo ipo kwa Mussa (faraoh) , Ibrahim (wale waabudu masanamu) ,Issah (wayahudi walitaka kumtesa) n mwishoe Mtume ule utawala wa Mecca pia ulikuwa unampinga mwanzoni.Mkuu tukifuata historia sehemu kubwa ya uislamu imeteka kwenye uenezi wake
ndugu nenda senegal waislamu ni 99% lakini wakristo wapo na amani kabisaUzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha
Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?
Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida. Mfano ni hapa Tanzania bara wakristo ni kama asilimia 65 lakini waislam wana uhuru wa kiimani.
Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 51 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa, kunakuwa hakuna tolerance ya imani zingine.
Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao
inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous
MIFANO.
Makanisa yanavunjwa, Ujenzi wa makanisa unaminywa, makanisa kuwa machache huku misikiti ikijengwa kwa uhuru
Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza
Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa
View attachment 2909299
Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,
Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.
View attachment 2909283
Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa
Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja
View attachment 2909277
Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,
Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar
View attachment 2909278
Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiri uamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia
They used to eat everything they saw, they were on their way to the village, they had to eat Mussa (faraoh), Ibrahim (wala waabudu masanamu), Issah (wayahudi walitaka kumtesa) n mwishoe Mtume ule utawala wa Mecca pia ulikuwa unampinga mwanzoni.
Watu walioanzisha vita na watawala wakubwa haswa waliokuwa wana imani zao za kishirikina.
Jihad ilikuwa na maelekezo na hakuna jihad imepigwa kweny makazi ya what zaidi ya vikosi kukutana uwanja wa vita,ukitaka kasome sheria za jihad
Mkuu umeesoma historia ya ottoman?Ukisom kwa makini dini zimeenea sawa , ugomvi ulitokana na watawala wa enzi zile ,hiyo ipo kwa Mussa (faraoh) , Ibrahim (wale waabudu masanamu) ,Issah (wayahudi walitaka kumtesa) n mwishoe Mtume ule utawala wa Mecca pia ulikuwa unampinga mwanzoni.
Watu walioanzisha vita na watawala wakubwa haswa waliokuwa wana imani zao za kishirikina.
Jihad ilikuwa na maelekezo na hakuna jihad imepigwa kweny makazi ya watu zaidi ya vikosi kukutana uwanja wa vita ,ukitaka kasome sheria za jihad.
Ottoma na mulamullah ni hadithi za jaba hazina mpango ile ni ngome ya kufalmw hazina maana hata kidogoMkuu umeesoma historia ya ottoman?
COUNTRIES WITH THE HIGHEST PERCENTAGE OF CHRISTIANS:Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
Hawa Waislam tuishi nao tu; lakini ni Uzao wa SHETANI ALLAH. Una ukatili wanaomfanyia mwenzao kwa kumpiga maweUzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha
Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?
Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida. Mfano ni hapa Tanzania bara wakristo ni kama asilimia 65 lakini waislam wana uhuru wa kiimani.
Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 51 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa, kunakuwa hakuna tolerance ya imani zingine.
Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao
inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous
MIFANO.
Makanisa yanavunjwa, Ujenzi wa makanisa unaminywa, makanisa kuwa machache huku misikiti ikijengwa kwa uhuru
Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza
Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa
View attachment 2909299
Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,
Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.
View attachment 2909283
Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa
Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja
View attachment 2909277
Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,
Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar
View attachment 2909278
Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiri uamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia
Waislam machoni wanakuchekea kumbe mgongoni ameficha libisu. Uzao wa SHETANI ALLAHMkuu naomba tuhusike na maada ya mezani inayojikita kujua ni sababu gani zinapelekea kwamba nchi ikiwa na wakristo wengi kuzidi waislam bado waislam wanakuwa huru lakini ikiwa kinyume chake wakiristo wanaanza kuminywa,
Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 laini tunaishi vizuri tu na waislam
hio ndio mada iliyopo mezani
we juha so bora hao wanampiga mawe tu. Nyinyi mnaowapiga mawe na kuwachoma Moto binadamu wenzenu kwa kigezo Cha vibaka na wezi huwa wasafi?Hawa Waislam tuishi nao tu; lakini ni Uzao wa SHETANI ALLAH. Una ukatili wanaomfanyia mwenzao kwa kumpiga mawe
View: https://x.com/EduTalkTz/status/1759434168100847875?s=20
Kwa sababu ukiwa mkweli huwezi kuwa mnafiki,kwa ufahamu wa wazungu kuhusu maana kulazimishana imani kwao ni kituko na ufinyu wa ufahamu.Nchi nyingi za Ulaya na Marekani zina wakristo wengi sana Waislamu wanahesabika na hazijawahi kujitambulisha kama n nchi za kikristo
Hahaha..haya maskhara popoma yeyote asije akareta kwangu huu ufala ..........ntapiga lile kofi la mlinzi wa kwa lowasa........eti sababu wavaa kobazi wamefunga basi usile mchana nyokoooooo
Mkuu naomba tuhusike na maada ya mezani inayojikita kujua ni sababu gani zinapelekea kwamba nchi ikiwa na wakristo wengi kuzidi waislam bado waislam wanakuwa huru lakini ikiwa kinyume chake wakiristo wanaanza kuminywa,
Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 laini tunaishi vizuri tu na waislam
hio ndio mada iliyopo mezani
Are there more Christians or Muslims in Africa?Hiyo 65% umeipata wapi?
Aiseeeeee, hapa kwa kweli nitakuletea noma, tatizo lenu nyie walugaluga ushamba mwingi, utamwangaliaje mtu na mimacho kodo zaidi ya dakika moja halafu hata hamko katika maongezi?Hata ikitokea umemuangalia kwa muda upitilizao dakika tano ataanzisha vagi.Vagi kama vagi.
Labda kama sijabeba manati yangu ya mzungu.......unadhani nchi hii kira mtu anapigwaHahaha..
Em tembelea Pwmba au Zenji wakati wa mfungo halafu ulete mrejesho..
Watakunyoosha vizuri tu