Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Kaka uko mbali sana mimi nina mfano hai mzee wangu aliwahi kujichanganya akanipeleka shule ya kiislamu ya boading kule kilimanjaro sitakaa nisahau kule christian tunabaguliwa waziwazi nilisoma miezi sita tu nilipofunga shule niligoma kabisa kurudi mpaka nikahamishwa hii ni kweli kabisa sehemu yoyote kukiwa muslim ni wengi hapafai kuishi hama kabisa hapo.
 
Hoja yako ni ipi hapo sasa? Je, mnanyanyaswa kwa udogo wenu katika nchi hizo zenye wakristo wengi kuliko waislamu? Ndiyo hoja kuu hapa
 
Mgh

Kwa mijadala hii inayo ebdelea JF hata jirani mkristo sitaki mazoea nae ni unafki tu.

tuendelee na udini
Kwanza hujaagizwa na Quran uwe na urafiki na wakristo kufanya hivyo ni kumpinga Allah

5:51 - Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
 
Umeongopa tu hapa , umeweka hisia zaidi kuliko uhalisia
Unataka kutuambia waislamu wana chuki si ndiyo?
 
Hili nalo la kuja kulilia mitandaoni na kubishana kabisa
Watu wengi uwezo wenu wa kufikiri sijui ukoje
 
Sijasema urafiki mkuu,
mazoea mfano jirani nk.. siwezi kuwa na urafiki na mkristo tuna ongea kuhusu nini kwanza..?! Na huyo mkristo.
 
Kumbe wakristo mnaruhsiwa kunywa pombe na hamsemi.?
Tumeiga kwenu



Al-Kashif- Juzuu Ya Ishirini Na Sita
Muhammad Jawad Mughniyya

TABLE OF CONTENTS

6 minutes
read
Aya 15 – 19: Sifa Za Pepo
Maana
Mfano wa Pepo waliyoahidiwa wenye takuwa ina mito ya maji yasiyoharibika.
Makusudio ya mfano wa pepo ni sifa zake. Maana ni kuwa Mwenyezi Mungu anawapa habari waja wake kwamba miongoni mwa sifa za pepo ni kuwa ndani yake mna mito ya maji yanayobaki na asili yake bila ya kubadilishwa na chochote.

Na mito ya maziwa isiyoharibika ladha yake wala rangi au harufu yake. Na mito ya mvinyo yenye utamu kwa wanywao. Ni tamu mdomoni wala hauleweshi. Na mito ya asali iliyosafishwa kutokana na masega na mengineyo. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda yakiwemo yale ambayo hayana mfano wake duniani.
 

ndugu nenda senegal waislamu ni 99% lakini wakristo wapo na amani kabisa
Kwa nini humwambii aende mnakohiji ambako ndiyo taswira ya Uislamu kabisa? Mmekimbilia Senegal 😃
 

Ni mjinga pekee atakaye amini hii ni dini ya haki,kiuhalisia hii ni dini ya fujo na laana kwa ulimwengu,islam is a mental illness
 
Ahmadiyya anaweza kuwa Rais wa Tanzania? Shia? Ibadi?
 
Leta data acha maneno mengi
Mfano kabila kubwa kabisa Tanzania ni wasukuma na population yao hope karibu 80 percent ni christians kwa wenye dini

Leta data , wakristo wangekuwa wachache hivyo wasingedominate the rule ya nchi hii.
Ninyi ni wengi pwani but ni maamuma ndiyo maana mnatawaliwa na wachache hukohuko
 
Mafundisho ya kidini, ukimfunza mtoto ako upendo atakua katika upendo na ukimfunza vita na magomvi atakua katika njia hiyo hiyo.
 
Mkuu umemaliza kila kitu hapo tu Somalia ni wenyewe kwa wenyewe lakini hakuna amani Pakistan mara kwa mara wanalipuana misikitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…