Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki we ni kimeo sijapata kuona
Kwan mkisubiri mpaka muolewe ndo mhudumiwe mnashindwa? Pussy wewe!Mkuu kama hautaki kuhudumia funga zipu tulia
Shukrani mkuuHadi nimetamani kukuona LIVE and DIRECT yaani.... JIBU LA MTU MWENYE KUELEWA ANAANDIKA NINI, NA NANI ANA JUKUMU GANI KWENYE MAZINGIRA YOYOTE... THANK YOU
Niichukue haki yangu ?Afadhali
Kwa hyo hapo unajikuta umewiiin mwenyewe kwa kuzaliwa na mtaji tayari?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa we beberu kama huna shida ulimfuatia nini huyo mbuzi? Si ungetulia zako tu ukala majani kwa amani.
Unafikiri dunia yako hii Ngalikihija? Unaweza shangaa hao unaowaongelea ndio hao wasoomba hata mia. Mungu sio Ngalikihija bwana, anatenda kwa namna za ajabu sana. Hao unaowalalamikia ndio hupata wanaume haswaa. Njoo sasa upande wa pili ni full "mfurugano"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msidhani wale wanaokwendaga kuombewa wapati waume kwa upepo kisurisuri WALIPENDA..!!! Kwenye usichana wao walikuwa na mitazamo kama hii.... Hela kwanza....!!! Wakapewa hela wazitakazo, watu wakawafanya matusi, wakaona si tumeishiana banaa.... ni kama umenipa bidhaa, nikakupa hela.. hakuna cha zaidi...
WENGI WANOWASUMBUA MITUME NA MANABII KUTAKA KUOBEWA, WALIKUWA NA MITAZAMO HII
Mwambie jamaa nina moyo na nina ona maswali yake ya kichokozi kwako 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂Ndiyo
Tatizo wanawake wa siku hizi mnaomba hela bila kuangalia hali ya mwenza wako.Mtakuta mmeanza vizuri mwenzi wako yy level zake za kuhonga ni tecno,itel nk.Jamii isiyokuwa ya ajabu ni kuwa na wanaume wasio jua majukumu?
Unamiliki mwanamke hushtuki kwa lolote.
Hata mwanamke ambae humpi pesa na hakuombi huwa anaumia sana tu na analalamika anashindwa kukwambia.
Akitokea mwanaume mwingine anampenda na kumhudumia au kumboost kidogo unaachwa saa 6 mchana jua kali la utosini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa we beberu kama huna shida ulimfuatia nini huyo mbuzi? Si ungetulia zako tu ukala majani kwa amani.
Aaah wifi usinifanyie hivi. Hivi huna kaka mtoaji mzuri umwambie mke mwema nipo hapa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki we ni kimeo sijapata kuona
kabisaKabisa aisee huyu ana sifa zote za kuwa Mke mwema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu hilo jina ni la kwako braza vipi tena
Eti Mungu siyo Ngalikihinja.. shenzee type kabisa Jael...🙂🙂 Nimecheka kwa sautiUnafikiri dunia yako hii Ngalikihija? Unaweza shangaa hao unaowaongelea ndio hao wasoomba hata mia. Mungu sio Ngalikihija bwana, anatenda kwa namna za ajabu sana. Hao unaowalalamikia ndio hupata wanaume haswaa. Njoo sasa upande wa pili ni full "mfurugano"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante tupo wote.Tatizo wanawake wa siku hizi mnaomba hela bila kuangalia hali ya mwenza wako.Mtakuta mmeanza vizuri mwenzi wako yy level zake za kuhonga ni tecno,itel nk.
Sasa tatizo linakuja siku akisikia rafiki yake kaongwa iphone au sumsung na yy nae anataka kama hiyo wakati anajua mwenza wake kwa hali yake ya sasa ni Tecno.
Kwa kifupi mnatamaa na si kwamba wanaume hawaongi wanaonga ila mnapenda kuishi maisha ya watu wengine lkn na si yale yanayoendana na kipato cha mwenzako,wakati mwamzo ulistahimili.
Alafu basi kuna wanawake wengine hawana hata mawazo tu (si hela),yakumsaidia mwenzi wake kuongeza kipato.Kila siku yeye "naomba......naomba.....naomba",yaani yy anaamini K ndio silaha ya kupata na siku ukiteteleka kiuchumi ndio basi si wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Unafikiri dunia yako hii Ngalikihija? Unaweza shangaa hao unaowaongelea ndio hao wasoomba hata mia. Mungu sio Ngalikihija bwana, anatenda kwa namna za ajabu sana. Hao unaowalalamikia ndio hupata wanaume haswaa. Njoo sasa upande wa pili ni full "mfurugano"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kwani unahitaji tuwe wapenzi Jael [emoji846] [emoji846]
Aala sasa kwani hapa tunaongea nini? Si ndiyo tunasema kuwa wote tusubiri ndoa wanawake tusubiri ndoa ndiyo tuhudumiwe na wanaume msubiri ndoa ndiyo mpewe!Kwan mkisubiri mpaka muolewe ndo mhudumiwe mnashindwa? Pussy wewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie jamaa nina moyo na nina ona maswali yake ya kichokozi kwako [emoji846] [emoji846] [emoji846] [emoji846] [emoji846]
Naunga mkono hoja [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Aala sasa kwani hapa tunaongea nini? Si ndiyo tunasema kuwa wote tusubiri ndoa wanawake tusubiri ndoa ndiyo tuhudumiwe na wanaume msubiri ndoa ndiyo mpewe!