Kumbe alikuja hadi kwako?Achana na mswiss.
Alikuwa anaslide sana pm.
Alilenda papuchi zaidi.
Sasa mtu hujampm anakuja anajitambulisha mimi naishi uswiss nakaribia kurudi kama hutojali tuwasiliane.
Yule aliyembutua kamuharibia sana alikuwa analenga papuchi za jf.
ππππππππππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mwanaume mzembe huyu si mchezo, huku kajilaza sebuleni kwa shemeji akaona maisha kayapatiaaa. Haki nimecheka hadi usingizi umeisha.
Weee kumbe!! Maweeee jf nzito hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134][emoji134]Achana na mswiss.
Alikuwa anaslide sana pm.
Alilenda papuchi zaidi.
Sasa mtu hujampm anakuja anajitambulisha mimi naishi uswiss nakaribia kurudi kama hutojali tuwasiliane.
Yule aliyembutua kamuharibia sana alikuwa analenga papuchi za jf.
Mzigua90 uko wapi shoga.Kumbe alikuja hadi kwako?
Anaanza "nipo mbali lakini tunaweza kuwa marafiki" hapo hajaulizwa yupo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani acha tu, mtu akishaandika hivyo hata kama mwanzo aliongea point nafuta point zoteee.Eti "Fliji"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π Eti jael alafu anapasteCha gugo umempa cheo sana. Ni cha kukopi na kupesti.
Anaanza tuu hapo mwanzo, "Jael.... Anapest zakeππ"
Humu ndani kuna vituko sana.Weee kumbe!! Maweeee jf nzito hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134][emoji134]
Nahisi alivyosoma uzi hakuamini majicho yake, na kama kuna ambao ilishaanza kutiki sijui ilikuwaje!!
akianza tu kuandika mahitaji ya nywele,Na kwanini utafute hela mtoto wa kike ? Wakati sisi watafutaji tupo ?
Safi.
Mwanzo nilikuwa na mentality mbaya eti nikitaka kutoka kula raha au bill ya maziwa nasema.
Nikaona sijibiwi.
Lakini nikisema nataka hiki kikubwa napewa tena kiwango kikubwa tu.
Nilichogundua ni kitu kimoja mwanaume anapenda kutoa ili kuweka alama kwenye maisha yaani kukutoa point a kwenda point b.
Hakuna mwanaume mwenye akili timu anayeenjoy kwenda kwa mwanamke anayelipa kodi au amepanga anafenicha ana kila kitu atawale.
Hakuna.
Wanaume wote ni ni providers by nature.
Msiwaharibu jamani.
Katulia tuli mshtue kidogo na kitu achangamke.
Na wana hasira haoo, utafikiri pesa zao umewashikia wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]True that...
wanaume wenye hela hata huwa hawawi bothered na maneno ya mtandaoni.
kuna wanaotafuta kuonewa huruma Hivyo wanakagua kuangalia kama kuna wa size zao
Achana na maisha ya movie.[emoji16][emoji16][emoji16] Nitatafuta..
Ila naonaga kwenye muvi na humu jf wanasema unaweza pata penzi la kweli bila kutumia pesa..
For me mapenzi ain't something that really rock to me..
Halafu kizungu chenyewe cha kupaste, hii ndio mbaya zaidi[emoji134]Anatusemesha vizungu ametusomesha yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hahahaha, sawa sawaAchana na maisha ya movie.
Hii ni kutoka kitaaa hela ndo mpango mzima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe alikuja hadi kwako?
Anaanza "nipo mbali lakini tunaweza kuwa marafiki" hapo hajaulizwa yupo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe na yule mswiz B anatembea mule mule.? Kweli papuchi ni tamu.Mzigua90 uko wapi shoga.
Sasa kuna yule mswiss wa pili alijifanya yeye anapoga picja na via za Uswiss kabisa anamuambia Parabola nayeye apige picha kama yeye atupie.
Naye mule mule tu nacheka hiiiii
Weee angalia hata wanaotoa matusi humu ni wanaume wa hovyo hovyo tu.True that...
wanaume wenye hela hata huwa hawawi bothered na maneno ya mtandaoni.
kuna wanaotafuta kuonewa huruma Hivyo wanakagua kuangalia kama kuna wa size zao
Hahahaha, Dogo fuata ushauri uliopewa, tafuta pesa[emoji16][emoji16][emoji16] Nitatafuta..
Ila naonaga kwenye muvi na humu jf wanasema unaweza pata penzi la kweli bila kutumia pesa..
For me mapenzi ain't something that really rock to me..
kuna dude tungeweza kutumiana picha unaweza kuta ishapitia karibia kila mwanajf wa Kike ......Humu ndani kuna vituko sana.
Mie huwa nashukuru nasemaga ukitongozwa na mwanaume jua katongoza wadada 20 anafanya randomly selection.
Sasa kuwa nae uamue tu kuziba masikio na kufumba macho.
ππππππππππYaani acha tu, mtu akishaandika hivyo hata kama mwanzo aliongea point nafuta point zoteee.