Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Komenti zenu ziwe zakutia moyo basi nyie mnakandia tu hivi mnajua kupenda nyinyi..[emoji26]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mda wa wachezaji wa akiba kuingia uwanjani
Komenti zenu ziwe zakutia moyo basi nyie mnakandia tu hivi mnajua kupenda nyinyi..[emoji26]
Pole sana mkuu... wasikuumize kichwa weka pembeni tafuta hela pisi zipo nyingi sana...Naandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu![emoji26]
Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.[emoji51]
[emoji1787]
Bora nidanganywe kuliko mtu aspatikane.. endelea kupiga sim😂😂Kudanganywa sikuhizi ni kubembelezwa! We si ndo ulifuma nguo kwa mtu wako!! Hebu usinifanyie fujo hapa endelea kudanganywa huko.
Komenti zenu ziwe zakutia moyo basi nyie mnakandia tu hivi mnajua kupenda nyinyi..[emoji26]
Ngoja wenye pesa wakufundishe namna ya kuzitafuta ili usizimiwe simu, mtoto anahitaji apelekwe beach akale mishikaki ya samaki na kuogelea wewe unataka kupiga mzigo bila kuhudumia poleNaandika kwa machungu siku hii ya Christmas mpenzi wangu simu yake haipatikani tokea asubuhi!,moyo umekuwa mzito,pumzi Kama zinakata zinarudi!.. hicho kidada cha voda kinachoniambia simu yake haipatikani nakiona Kama kichawi tu!😥
Inauma asikwambie mtu kila siku natendwa mimi tu! Kweli dunia imevaa sketi.😬