Can you imagine hapatikani toka asubuhi!

Usimlaumu sana mkuu, amefikia sana hadi kufikia maamuzi ya kuspend na mdau badala ya wewe.
 
Sijui kwanini gari yangu ikipigwa pasi inaniuma kuliko kuachwa na pisi.
 
Yuko huku...

 
Acha vurugu Mkuu takuroga bure maana sahivi sielewi hapa nini chakufanya!.
Yaani mpaka muda huu bado hakuna mawasiliano,,pole sana .Halafu lijamaa linalo msherehesha halina huruma masaa 10 halijamuachia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…