Wewe kenge acha ujuaji endelea kuchamba vikongwe hapo Copen. Mambo ya Toronto tuachie sisi.Hii miji miwili Scarborough na Etobicoke nje ya Toronto yani ni ya wahindi wako million moja.
Myahudi Jr II Dr Restart Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Tayari waziri mkuu wa Canada ameshafanya mistake hiyo kuwapa nafasi katika nchi anajaribu kuwafukuza na wengine wanajaaHahah na wahindi wanavyojua kupigiana mapande na connection hakuna jamii inayowakaribia kwenye hiyo nyanja. Zipo jamii Kwa jinsi zilivyo kiasili na Kwa ustawi wa taifa haitakiwi wafikie wengi level za juu za uongozi, huu ni Ukweli mgumu sana kukubali lakini ndiyo uhalisia.
[emoji1][emoji1][emoji1]Mbona kila sehemu mnasema pamoto kuazia SA ,USA na sasa CANADA !
Sasa hivi ni republic of Ireland. Yani immigrants wameiharibu sana. Irish are not friendly anymore to foreigners of Africans and middle eat origins anymore.Mbona kila sehemu mnasema pamoto kuazia SA ,USA na sasa CANADA !
Siku nyingi mno wapo huko hao jamaa,wao ni aidha canada au UK, faizafoxy kaishi sana canadando maana kila tamthilia ya India ikifika sehem mwigizaji yupo abroad basi anakua Canada ππΎππΎ
Oyaa mbona yote hayo tunajua?π‘π‘π‘π‘Siku nyingi mno wapo huko hao jamaa,wao ni aidha canada au UK, faizafoxy kaishi sana canada
Sisi wacha tufanyieni roho mbaya ila sisi ukabila unatutafunΜa wacha wao waingieOyaa mbona yote hayo tunajua?π‘π‘π‘π‘
Zaiko langa ewolooOyaa mbona yote hayo tunajua?π‘π‘π‘π‘
UumbwaaaZaiko langa ewoloo