Hahah na wahindi wanavyojua kupigiana mapande na connection hakuna jamii inayowakaribia kwenye hiyo nyanja. Zipo jamii Kwa jinsi zilivyo kiasili na Kwa ustawi wa taifa haitakiwi wafikie wengi level za juu za uongozi, huu ni Ukweli mgumu sana kukubali lakini ndiyo uhalisia.