Nikikwambia wewe ni muongo unakataa.Juzi hukuwaona Waarabu wakiwapiga Wa Israel huko Ulaya? Uislam ni Janga, Siku wakiamka na Takbir Allah akbar wanajilipua, atamtafuta Neta nyau haraka aje amsaidie.
Kama unazungumzia Uholanzi wale sio waarabu ni waholanzi.
Na waisrael ndio walianza,video zilirekodiwa wayahudi wakipiga watu na minyororo na wakiwapiga madereva taksi.
Haikutosha uwanjani kipindi wenzako wako kwenye moment of silent kuhusu waanga wa mafuriko Spain wao wakawa wanaimba nyimbo za kuwatusi waanga.
Haikutosha wamefika mitaa ya watu wakapanda juu ya nyumba na kuanza kuchana bendera za Palestina.
Waholanzi waliwachoka wakaanza kuwapiga.
Hili lilipelekea Ufaransa Ile mechi ya EURO iweke ulinzi mkali dhidi ya mashabiki wa Israel Ile mechi ya France vs Israel.
Na ikaruhusu mashabiki wachache sana na iliweka takriban askari 500 Kila upande.
UNAMDANGANYA NANI WEWE KIJANA!?
UDINI HAUTAKUSAIDIA KITU,DUNIA NZIMA ILIONA NAMNA WAYAHUDI WALIVYO WAKOROFI.
NA HAWAKUFANYA FUJO UHOLANZI TU HATA UGIRIKI WALIFANYA FUJO ZILE ZILE.
AYA LETE UONGO MWINGINE.
LEO NINA WEWE HADI UACHE KUONGOPA.