Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

Huu ni mwanzo mzuri sana. Pamoja na kuwa tupo kwenye giza totoro, ila kuna ishara kubwa sana ya mwanga mkuu huko mbeleni
 
No one violated human rights! Except those who had boms wanted to bom innocent people in Zanzibar!
 
Mgejitenga na kauli hizi za hao jamaa! Ingewasaidia sana Kisiasa kiasi cha baadhi ya watanzania kurejesha imani yao kwenu. Lakini kadri mnavyozidi kujihusisha na matamko ya jamaa hawa ndiyo mnazidi kuwachefua watanzania!
Mkuu mbona unashindwa kumtofautisha mtanzania na mwana CCM
 
Canada sisi ni wateja wao wa Bombardier , tulieni jamani tutawapa ushirikiano tu, viongozi wa upinzani tangu mwanzo wa kampeni wao wlikuwa wanahamasisha fujo tu...na huku tunao utamaduni wetu tofauti na huko, mtoto akichezea moto anapigwa kabla hatujapiga 991.

Polisi sisi wananchi wapenda amani tupo nyuma yenu na tutawapa taarifa kama kuna watu wanajikusanya kuingia barabarani ili wapewe sindano zaPenicillin G benzathine kabla hawajaharibu mali za watu...
Tunaomba namba za makamanda wa polisi ngazi zote, na mikoa yote.
 
Mkuu ndo ishapita hiyo hawa baada ya miezi miwili utasikia wametupa misaada.
 
Huu ni mwanzo mzuri sana. Pamoja na kuwa tupo kwenye giza totoro, ila kuna ishara kubwa sana ya mwanga mkuu huko mbeleni
Hakuna kitu hapo labda kibeberu hukijui. Ni serikali ya Tanzania inayoombwa na Ubalozi wa Canada ichunguze ndiyo maana imeshaanza kuchunguza na kuwakamata wakina Jussa pamoja na kundi lake la vijana 33 pale hotelini wakiwa na mabomu wakitaka kuumiza wazanazibar. Sasa wewe usiyejua kitu unabwabwaja tuu. Jitokeze tarehe 02/11/2020 uone cha moto.
 
Unasubiriwa kwa hamu sana! I am wondering if even on Monday you will be avalable here JF.
 
Solution ni kutoitambua tu hii Serikali haramu iliyoingia madarakani kwa kubaka demokrasi na kutumia mtutu wa bunduki, mabomu, tume FAKE, wizi kura FAKE na polisiccm pia Jumuiya ya Kimataifa iweke vikwazo vya kiuchumi kama vile vya Zimbabwe au zaidi.

Madikteta huwa hawajali chochote mpaka pale wanapobanwa mbavu kwa nguvu zote na uchumi wa Nchi zao kuanguka kwa kishindo.
 
Mtahangaika sana lakini watz wameshawakataa. Na observers wameshasema uchaguzi ulikuwa huru na haki sasa nani atakuja na kusema haukuwa huru na haki wakati amekaa kwa mabeberu?
 
Viongozi wa kitaifa wanenda kuingia katika ile list ya watu wasiokubaliwa kuingia Ulaya na marekani, Muda utatupa majibu
ngoja uone MTU atakavyominywa kisawasawa ,anafikiri anaweza akafanya lolote .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…