Ole
JF-Expert Member
- Dec 16, 2006
- 2,157
- 976
Nchi haina the elders? Hadi nchi zingine ziseme? Kazi ipo!Nchi haina the elders?
Hadi nchi zingine ziseme?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi haina the elders? Hadi nchi zingine ziseme? Kazi ipo!Nchi haina the elders?
Hadi nchi zingine ziseme?
Unaona aibu kusema Tanzania itengwe kimataifa...mpuuuzi wewe.Haandamani mtu hapaMagu atengwe kimataifa.
Mimi sijawahi kuipenda CCM.Nchi bila upinzani unaona ni sawa
Sawa unaipenda ccm
Ni kwamba na akili hauna. ?
Nchi bila upinzani unaona ni sawaMimi sijawahi kuipenda CCM.
Ila napenda serikali yake ambayo iliingia 2015.
Napenda serikali hiyo inavyotekeleza sera na ilani ya CCM kwa vitendo.
Haikuwahi kutokea hali hiyo kabla ya 2015.
Upinzani ulikuwepo ila uliendekeza mizaha.Nchi bila upinzani unaona ni sawa
Una akili ?
Waende vijijini, ndiko kuna changamoto walizoombea kura. Sio kwenda ulaya na marekani huko kuna mabalozi wetu!Viongozi wa kitaifa wanenda kuingia katika ile list ya watu wasiokubaliwa kuingia Ulaya na marekani, Muda utatupa majibu
Unajua wewe una akili SanaUpinzani ulikuwepo ila uliendekeza mizaha.
Na weye watambua mzahamzaha.......
Nchi yoyote ni lazima kuwepo upinzani.Unajua wewe una akili Sana
Hebu jibu maswali yangu
Elders wote wamekula nyundo za kichwa mpaka wamemuachia dogo awe mbabeNchi haina the elders?
Hadi nchi zingine ziseme?
Halafu huko Asia wata draw vipi pesa zao kwenye bank? Labda watembee na mabegi ya noti ,na huruhusiwi zaidi ya 10000 US-dollar.Plus wakitakiwa The Hague lazima wakamatwe wapelekwe
Elders ndio walevi wa damu za watu wasio na hatiaNchi haina the elders?
Hadi nchi zingine ziseme?
Nchi haina the elders?
Hadi nchi zingine ziseme?
Kwa tafsiri yako wa CCM ndo Watanzania.Mgejitenga na kauli hizi za hao jamaa! Ingewasaidia sana Kisiasa kiasi cha baadhi ya watanzania kurejesha imani yao kwenu. Lakini kadri mnavyozidi kujihusisha na matamko ya jamaa hawa ndiyo mnazidi kuwachefua watanzania!
Usitegemee wote tuwaze kama nyie.Mgejitenga na kauli hizi za hao jamaa! Ingewasaidia sana Kisiasa kiasi cha baadhi ya watanzania kurejesha imani yao kwenu. Lakini kadri mnavyozidi kujihusisha na matamko ya jamaa hawa ndiyo mnazidi kuwachefua watanzania!
Na badooMabeberu wamechanganyikiwa. Mpaka sasa hawaamini kuna mtu wao chalii.
Ulaya hawana time. Wao ni China na Urusi au IndiaViongozi wa kitaifa wanenda kuingia katika ile list ya watu wasiokubaliwa kuingia Ulaya na marekani, Muda utatupa majibu
Wanajutia pesa zaoMabeberu wamechanganyikiwa. Mpaka sasa hawaamini kuna mtu wao chalii.
Mkuu ndo kinacho kuja tatizo JPM may be anaona kila jambo ni kutumia nguvu.Magu atengwe kimataifa.
When has Tanzania ever called upon for the arrest of any criminal in Canada? Who do you think you are?Disturbed by reports of arrests and violence against political candidates and supporters. Protection of civilians is essential for peace and stability. Canada calls on the government of Tanzania to investigate and prosecute those who have violated human rights.