Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

Hawa wanasiasa wa upinzani ni wajinga sana.

Hawajifunzi.

Yaani hadi sasa bado hawajajitambua kuwa waonekana wanatumika.

Yaani huyu

Salary Slip

Quinine ndo waongoza kwa hizi nosense agendas.
Nchi bila upinzani unaona ni sawa

Sawa unaipenda CCM

Ni kwamba na akili hauna. ?
 
Serikali imeombwa na wenzao wa Canada kuwa wachunguze na kuchukua hatua za mauaji yaliyotokea ww unasema hutaki ushoga. What is wrong with you?
Kwani serikali ni kina Nani ?? Daaaa wewe sijui shule ulifata nini ........wanaanzaje kuomba vitu uku mbali hivo badala ya kuwahoji jirani zao pale mbona mauaji ya watu weusi yanazidi Sana na karibu Kira siku mnatumia bunduki kuua watu......ndio ilipaswa kuuliza ......uku kwetu watuache Kwanza maana vurugu ni mpaka uchaguzi haafu basi......
 
Mgejitenga na kauli hizi za hao jamaa! Ingewasaidia sana Kisiasa kiasi cha baadhi ya watanzania kurejesha imani yao kwenu. Lakini kadri mnavyozidi kujihusisha na matamko ya jamaa hawa ndiyo mnazidi kuwachefua watanzania!
Sindio nyinyi watanzania mfurahie mkuu, maana kauli za upinzani ndio zinawamaliza kabisa ,sasa nyie ccm inatakiwa mfurahie sana, ili vyama vyetu vipotee jumla.
 
hivi hawa mbuzi si ndio walishirikiana nao kipindi kile cha makinikia na ndege zetu za dreamliner? yaani wote watakuwa uchi safari hii, kila aliyekuwa nyuma ya hawa wahuni atajulikana. Namkumbuka mzee wa upepo ukipuliza sana tunaona nyuchi za kuku..... Kenge kabisa hawa, hii ni nchi huru wasisahau....
Uko huru wapi na hiyo korosho yako iliyobanguliwa na wanajeshi unapoiuza pesa hupitia kwao ?
 
Kwa upande wa ccm mpaka sasa mashabiki wanashindwa kushangilia hakuna anaeamini kilichotokea.
 
Mwafrika kwake neno HAKI ni mwiko,na ndiyo linalochochea migogoro umaskini na kila kitu, yuko tayali inchi iwekewe vikwazo raia wataabike sababu tu ya kuzuia HAKI
 
Halafu?? Itawanyima maisha? Dunia iko Asia, grow up
Halafu huko Asia wata draw vipi pesa zao kwenye bank? Labda watembee na mabegi ya noti ,na huruhusiwi zaidi ya 10000 US-dollar.Plus wakitakiwa The Hague lazima wakamatwe wapelekwe
 
Canada sisi ni wateja wao wa Bombardier , tulieni jamani tutawapa ushirikiano tu, viongozi wa upinzani tangu mwanzo wa kampeni wao wlikuwa wanahamasisha fujo tu...na huku tunao utamaduni wetu tofauti na huko, mtoto akichezea moto anapigwa kabla hatujapiga 991!
Polisi sisi wananchi wapenda amani tupo nyuma yenu na tutawapa taarifa kama kuna watu wanajikusanya kuingia barabarani ili wapewe sindano zaPenicillin G benzathine kabla hawajaharibu mali za watu...
Tunaomba namba za makamanda wa polisi ngazi zote, na mikoa yote!
Heheh! Mkuu nafikiri hii ndio injection inauma kuliko zote aisee.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Heheh! Mkuu nafikiri hii ndio injection inauma kuliko zote aisee.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hii hata bondia Mwakinyo kabla ya kumchoma wamwambia alale kitandani kwanza na kbla ya kuinuka unamuuliza kama miguu ina nguvu
 
Hii hata bondia Mwakinyo kabla ya kumchoma wamwambia alale kitandani kwanza na kbla ya kuinuka unamuuliza kama miguu ina nguvu
Naielewa vizuri ndiyo waliyochomwa hawa viranga wa mabeberu October 28th wanashindwa kutembea sasa [emoji23][emoji23][emoji23]

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
KWENYE KILA POST YA WATAWALA TUNAJIBU KWA KAULI MBIU YA AMANI. HONGERENI WASIMAMIZI, HONGERENI TUME YA UCHAGUZI KWA KAZI NZURI MLIYOFANYA KUPITIA KODI ZETU, MIYOYO IMEVILIA DAMU
 
Duniani hakuna nchi ambayo iko huru kuchinja watu wake. Ni sawa na mzazi kudai kuwa ana uhuru wa kumchinja mwanae kwa vile amemzaa yeye. Hakuna uhuru wa aina hiyo. Usiwe kum hivyo.
hivi hawa mbuzi si ndio walishirikiana nao kipindi kile cha makinikia na ndege zetu za dreamliner? yaani wote watakuwa uchi safari hii, kila aliyekuwa nyuma ya hawa wahuni atajulikana. Namkumbuka mzee wa upepo ukipuliza sana tunaona nyuchi za kuku..... Kenge kabisa hawa, hii ni nchi huru wasisahau....
 
Hatuhitaji kwenda ulaya. Afrika inatutosha.
Africa mbali ukiwa na hela nzuri Tanzania tuu ni sehemu nzuri sana kutembelea mikoa mbali mbali kujifunza lakini sio lazima Western countries kuna Asia ni sehemu nzuri sana nchi kama China,Singapore, Malyasia, South Korea kule Ulaya kuna Turkey na Urusi.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom