FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Huwezi kumtenga JPM, tutakaotengwa ni sisi waTZ ,elewa hilo.Magu atengwe kimataifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kumtenga JPM, tutakaotengwa ni sisi waTZ ,elewa hilo.Magu atengwe kimataifa.
JPM tangu awe rais ameenda mara ngapi huko?Viongozi wa kitaifa wanenda kuingia katika ile list ya watu wasiokubaliwa kuingia Ulaya na marekani, Muda utatupa majibu
Uwiii hayahivi hawa mbuzi si ndio walishirikiana nao kipindi kile cha makinikia na ndege zetu za dreamliner? yaani wote watakuwa uchi safari hii, kila aliyekuwa nyuma ya hawa wahuni atajulikana. Namkumbuka mzee wa upepo ukipuliza sana tunaona nyuchi za kuku..... Kenge kabisa hawa, hii ni nchi huru wasisahau....
Walale huko huko kwao. PambafuCanada inaomba serikali ya TZ ijuchunguze yenyewe.. ah ok!
Pole sana. Maumivu yataisha.Kwa tafsiri yako wa ccm ndo watanzania. We fala sana.
HahahahahMabeberu wamechanganyikiwa. Mpaka sasa hawaamini kuna mtu wao chalii.
Kwani anatengwa Magu peke yake au na wewe ?? Inawezekana wewe sio Mtanzania ndo maana unasema hivo.Magu atengwe kimataifa.
Pole. Kujua unawaza na kutenda vema ama vibaya ni pale, madhara ama mafanikio ya kuwaza na kutenda kwako yanapokufika ama kuyapata. Kwa hiyo, twangoja kuona madhara ama mafanikio ya kuwaza kwenu na kutenda. Ila ujue tu kuwa kuna uwezekano mkubwa sana wa madhara kwa walio wengi kuliko mafanikio kwa wachache wenu kama mtaendelea kuwaza na kutenda namna hii.Usitegemee wote tuwaze kama nyie.
Yap watoematamko mfululizo kutuliza jazba za makamanda wasituletee fujo.
Badala ya kuhurumia Watanzania wenzako waliouawa na kuumizwa kwa uroho wa madaraka, wewe unaongelea mabeberu. Yaani wanasiasa wanawalisha neno mnalimeza zima zima mnabaki kucheua tu. Siasa za Afrika si za kushabikia angalia maisha tu, Hao wote ni magenge ya mbwa mwitu tu, wanatutafuna tu, miaka mitano itaisha hutoona cha maana,Mabeberu wamechanganyikiwa. Mpaka sasa hawaamini kuna mtu wao chalii.
Mkuu, humu kuna watu wanaishi kama roboti. Yaani walivyoambiwa na viongozi wao kuhusu ushoga na mabeberu wamebaki kwenye kila hoja wanataja hayo maneno mawili.Serikali imeombwa na wenzao wa Canada kuwa wachunguze na kuchukua hatua za mauaji yaliyotokea ww unasema hutaki ushoga. What is wrong with you?
Ujinga ujinga tu.Mkuu, humu kuna watu wanaishi kama roboti. Yaani walivyoambiwa na viongozi wao kuhusu ushoga na mabeberu wamebaki kwenye kila hoja wanataja hayo maneno mawili.
Lissu chaliii...Disturbed by reports of arrests and violence against political candidates and supporters. Protection of civilians is essential for peace and stability. Canada calls on the government of Tanzania to investigate and prosecute those who have violated human rights.
Wakati huo wewe upo wapi?Wewe cheka tu.tutalimia wote meno.
Mbinyo unakuja.upinzani wakikomaa mjue mtafungiwa kila mahalo hapo sasa ndo tunaiona Zimbabwe ya Mugabe.
Wakati huo wewe upo wapi?