Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

Viongozi wa kitaifa wanenda kuingia katika ile list ya watu wasiokubaliwa kuingia Ulaya na marekani, Muda utatupa majibu
Kabla hata hajazuiliwa nadhani hana. Mpango wa kukanyaga huko kabisa. Hata hivyo marekani sio nchi ya kumpa mtu mawazo akizuiliwa kuingia,mimi nikizuiliwa kuingia Asia,ndo nitaumia otherwise, marekani na wote wanoisupport ni mknd tu.
 
huyo jamaa ni mnafiki sana yaani sijui kama anatumia akili vzuri mbona yeye hajauwawa
😂😂 Achana nae mkuu, yaani hapo jibu ni jepesi kabisa.
Yeye hajafa kwasababu hajaleta chokochoko,wale wamekufa kwasababu wakileta chokochoko za kijinga.Hata yeye akileta chokochoko atawafuata wenzake huko waliko.
 
Kabla hata hajazuiliwa nadhani hana. Mpango wa kukanyaga huko kabisa. Hata hivyo marekani sio nchi ya kumpa mtu mawazo akizuiliwa kuingia,mimi nikizuiliwa kuingia Asia,ndo nitaumia otherwise, marekani na wote wanoisupport ni mknd tu.
Hao Asia wenyewe wanakimbia huko
Umeyaona maji waliyonayo wananchi huku majizi unayoyapigia debe yanatembea na V8
 
😂😂 Achana nae mkuu, yaani hapo jibu ni jepesi kabisa.
Yeye hajafa kwasababu hajaleta chokochoko,wale wamekufa kwasababu wakileta chokochoko za kijinga.Hata yeye akileta chokochoko atawafuata wenzake huko waliko.

Vipi vile vifaru vilivyopelekwa msumbiji mulienda kuvichukua?
 
Viongozi wa kitaifa wanenda kuingia katika ile list ya watu wasiokubaliwa kuingia Ulaya na marekani, Muda utatupa majibu
Mm zamani nilikuwa najiuliza huyu Mmarekani mbona nimuonezi hivi kila nchi yeye anadai kunamakosa yamefanyika anaingiza jeshi lakini kuna kitu kilikuwa kinanijia kwani majeshi ya uvamizi kutoka Marekani yanashangiliwa nawananchi waliovamiwa wakati vyombo vyahabari vya nchi zilizovamiwa zinasema utawala wao unawaheshimu raia wake ila kwa nini haya majeshi ya kigeni yashangiliwe na hao raia wakati wamevamiwa?

Sasa nimepata jibu vyombo vyetu vyote kama vile dini, police, viongozi wakuu, jirani zetu, tume... Kiukweli ndio vyombo vinavyolinda amani lakini kwa mshangao hawa hawatizami wananchi ndio maana majeshi ya nje yanapata support, hivi unafikiri ni Watanzania wangapi watashangilia majeshi ya Marekani kama yanakuja kutoa msaada hapa kwetu?
 
Hawa wanasiasa wa upinzani ni wajinga sana.

Hawajifunzi.

Yaani hadi sasa bado hawajajitambua kuwa waonekana wanatumika.

Yaani huyu

Salary Slip

Quinine ndo waongoza kwa hizi nosense agendas.
Unajuwa magu ni mjanja sana alitupa chambo hawa wamenasa kwa kuwa alisema kuna makazi mengi na wakikumbuka mgombea Urais wa 2015 kupitia ACT Wazalendo alimteua kuwa Mkuu wa Mkoa na wao wanahitaji hilo shida ni matumbo yao ndio maana katika kampeni zao utasikia nikishinda mimi nitamchagua Magu nifanye nae kazi wengine wakasema watampa Uwaziri wa ujenzi sasa wao wamelenga walicho kilenga sasa ni zamu yamshindi kulikumbuka hilo atakavyo ona inafaa
 
Watanzania hawako hivyo unavyofikiria ndio maana nimesema wanaohamasisha maandamano Ni vilema usiulize wa akili au viungo,,,
 
Disturbed by reports of arrests and violence against political candidates and supporters. Protection of civilians is essential for peace and stability. Canada calls on the government of Tanzania to investigate and prosecute those who have violated human rights.

Matamko Kama haya Yana impact yeyote? Wasipotekeleza Kuna lolote litafanyika?
 
Hawa si ndio walishirikiana na Lissu kukamata ndege zetu!! Kwa hili hatushangai
 
Mgejitenga na kauli hizi za hao jamaa! Ingewasaidia sana Kisiasa kiasi cha baadhi ya watanzania kurejesha imani yao kwenu. Lakini kadri mnavyozidi kujihusisha na matamko ya jamaa hawa ndiyo mnazidi kuwachefua watanzania!
Weka uchaguzi usimamiwe na EU au tume huru kama mtapata hata viti 5 na kama Magu atapata hata 20%
 
Weka uchaguzi usimamiwe na EU au tume huru kama mtapata hata viti 5 na kama Magu atapata hata 20%
Aisee, umemaliza hoja yako ?
===
Tuseme mara ngapi kuwa Tanzania tunatakiwa kufanya maamuzi yetu sisi wenyewe, yaani TUJITEGEMEE? Huo ndiyo uhuru, Mkuu. Kwa sasa tumeanza mdogomdogo kujitegemea kwa kupunguza bajeti ya uchaguzi kuwategemea wafadhili. Upo?

Sasa unapoleta habari za EU, binafsi nakushangaa haswa!!
 
Back
Top Bottom