Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Canada wataka uchunguzi ufanyike dhidi ya waliokiuka haki za binadamu katika Uchaguzi Mkuu 2020

Dawa yenu ni hii hapa, mkiendelea kupiga kelele ataongea na Mungu tena.

Naomba Tazama haka ka video. Wakati unatazama chukua na soda moja nakuja kulipa


Hako ka video hakifunguki... kinasemaje kwani?
 
Unahamisha maada na magoli

Pole

Ndio maana mpo mlipo leo
Wewe unahangaika na key board Polepole anatembea na V8 na anasubiri ku upgrade zaidi wakati wewe hata kiatu cha asante Ulaya kinakushinda unavaa mapira ya gari😧😧
 
Nchi haina the elders?

Hadi nchi zingine ziseme?
Ukimya wa viongozi wa nchi wa zamani unatia mashaka sana juu ya uadilifu wao.

Inasikitisha kuona mauaji mengi namna hii lakini wako kimya as if wanaouliwa ni panya.
 
Wewe unahangaika na key board Polepole anatembea na V8 na anasubiri ku. Upgrade zaidi wakati wewe hata kiatu cha asante ulaya kinakushinda unavaa mapira ya gari😧😧

Na wewe je? Ebu jielezee
 
Basing on what is happening right now, we are worried of our future. Oh our God come to our rescue
 
Watu hawana,au wewe ndo hauna🤔?
IMG-20201022-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom