Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Namuona jux yupo karibu sana na Weusi hadi nikahisi Jux ni mtu wa chuga
Nooope jux n mtu wa mtwara, ila kuhus weus n connection ya vee money, maan vee c mtu wa chuga, kwahyo na music wa jux unashahabian na weus kwahyo akaona awe karibu hivyo.
 
Usiwaongelee watu nmekwambia nikupeleke ambiance ujaribu wew..acha kunipa mifano..
 
Nooope jux n mtu wa mtwara, ila kuhus weus n connection ya vee money, maan vee c mtu wa chuga, kwahyo na music wa jux unashahabian na weus kwahyo akaona awe karibu hivyo.
Wamuunganishe na Maua Sama sasa, maana V kashasepa
 
Kim Jong Jr, Hahaaa ila mtaalamu unajua kwamba kama mtu akiambukizwa vizuri halafu kinga yake ni kuwa virusi husambaratishwa mwilini? Unajua kuna kiwango cha virus inayosababisha kuingia na kuzaliana mwilini?? Unajua kama virus kidogo chini ya copy 1000 / ml ni ngumu sana kuzaliana mwilini kama kinga ya mtu ipo juu?

California love
 
Kuambukizwa vizuri ndio kukoje ?
 
Hujui kitu, Hujui hata PCR inavyofanya kazi,.

Hujui kitu , blaa blaaa ndo nyingi .

UKIMWI et kila mtu mnao, Hii akili au matope??? Unajua Ni kwakiwango gani mwili umetuepushia mabalaa mengi sababu ya kinga kua imara????? .


Pata Ukimwi ndo ujue Umuhimu wa kinga imara.
 
Kama upo Dar , tuwasiliane . Damu nirahisi kupatikana.

Nitakuinject mimi mwenyewe, alafu baada ya muda utaleta mrejesho


Unaandika utopolo tu.
Nasikitika tumepoteza hela kusomesha daktari wa sampuli yako... Daktari mzima kuhitimisha eti kufanya injection ya damu positive eti ndio kuhalalisha arguments zako ni kuonesha tulivyo na hoax medical experts.


Tangu mwanzo nimeshasema duniani Hakuna HIV utanithibitishiaje damu ina HIV?
 
Taratibu mkuu punguza mchecheto utaelewa tu. Najua ni changamoto ya kupata knowledge mpya....


Kwako wewe ukimwi ni Nini ? Tuanzie hapo
 
Mautopolo tu...AZT ni dawa ilotengenezwa kutibu kansa, lkn ikafeli .

Nakatika kufanyiwa majaribio kwa watu wenye HIV ikaonyesha mabadiliko makubwa ya utendaji kazi, na kupitia hilo, ikafungua njia ya Utengenezwaji wa madawa mbalimbali kupambana na maambukizi ya HIV.

Yaan nikm saizi Dawa aina ya Dexamethasone dawa ambayo inatibu magonjwa mbali ya Damu, homon ,kansa lkn bado imekuja kugundulika kua inasaidia wagonjwa wa COVID-19 kupona haraka.
 
Taratibu mkuu punguza mchecheto utaelewa tu. Najua ni changamoto ya kupata knowledge mpya....


Kwako wewe ukimwi ni Nini ? Tuanzie hapo
Wewe acha porojo, mimi niko Hosp kwa muda sasa,, kama upo Dar tuwasiliane, tutafute mashahidi, Damu yenye HIV kuipata ni sekunde.

Nikuinject , alafu baada ya mwezi mmoja miwili , utaleta mrejesho.
 
Wewe acha porojo, siuamini uwepo wa HIV?? Na umetolea mfano wapo walotiwa Damu ya HIV lkn wapo fresh tu???? Sasa achana namambo ya kusoma gugoooo




Njooo, tufanye kautafiti ketu mimi nawewe ,, Mbona ni rahisi sana .
 
Hizo takataka tumeshazimaliza kuandika humu Jamii forum ... Naona nitakuwa Narudia kuandika tuliyoandika humu.


Take your time and read this thread for your own career growth halafu uje nikusafishe vizuri
V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)


Umesikia kijana.
 
Hahahahhaa mimi siwezi poteza muda kusoma mautopolo kama hayo .


HIV ipo na Inaua.

ARVs zipo na lazima utumie kama unataka kutoboa.

Na nmekuambia, Titafutane, ili baada ya mwezi tulete mrejesho?? Yaan sisi tunakua wabongo wakwanza kuja na kautafiti ketu.

 
Ninatamani Sana niendelee na arguments na wewe ila nimeshindwa kurudia kuandika vitu.
 
Mzeee kwa ufupi, Acheni kupotosha watu na mautopolo yenu hayo mnayoyasoma mitandao ili hali mko nje ya kada .


Nahii huenda ni matokeo ya maisha yasokumbuka kutembelea Wagonjwa mahosp na kuwapa misaada midogo midogo.


Nmekupa Ofaaa ,unakwepa kwepa na mablaah blaah.

Kwann usiwe shuhuda?? Ukaja humu nakusema , jaman tarehe fulani nilikutana na Carlos , tukafanya moja mbili, na baada ya miezi mitatu, minne sita niko poaa kabisa ????

Kuna gharama yoyote katika hilo ?????


Wewe mwenyewe unaogopa ,alafu unakuja hapa kuwalisha watu matangopori yako ya kugugo .


Yaan Dunia inavyopambana na hii kitu, weee Mwanautopolo mmoja unaleta utopolo utopolo? .
Ninatamani Sana niendelee na arguments na wewe ila nimeshindwa kurudia kuandika vitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…