Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Ni kweli hii kitu ndio maana mtaani mademu wageni huwa nawaangalia mara mbili tatu.Halafu kuna wengine akijua kwenye jamii fulani amejulikana kuwa mwathirika wa virusi vya ukimwi anahama anaenda kuishi mkoa mwingine au jamii nyingine kule akifika mgeni watu hawamjui na badala ya watu kumkwepa wanamkimbilia na kutembea naye kisha nao kupata maambukizi.
Hata Mijini, mtu wa Mbagala anahamia Tegeta akifika kule anavamia wanawake wapya au wanaume wapya anawaambukiza.
Solar au Tanesco?Umeme
Mabaka meusi yako wapi?Nimeona picha za Tunda insta baada ya Bilionea Laizer kutangazwa akijipa jina la Tunda Laiser
Picha zake zimeshtusha mashabiki kutoka na na muonekano wake akiwa kakonda na mabaka meusi yamemjaa miguuni.
Wamehoji pia ukimya wa mwanadada huyu ambaye kwake Social Media ilikuwa kama kifungua kinywa kila siku lazima apost na drama kibao.
Kipi kimemsibu?
Goli la pili mbali ivo mimi nimekutana na mabinti misimamamo mikali sana Kondomu kondomu nasema ok isiwe case kwa vile sizipendi basi huwa nakuwa na zile za bei chee za kijinga unless labda mtu nim suspect mimi ndio ntatumia za ghali ili nienjoy pia ila sasa kama mtu namuona yupo vizuri afu analazimisha ndom basi namvalia zile za jero zinakauka chap afu huwa zinawaumiza yani hapo naondoa hisia kabisa nikigusa walau robo saa na mpira lazima mwenyewe aseme vua tu ili umwage hapo inakuwa imeisha gemu zifuatazo ni dry.Wanawake sijui huwa mnakwama wapi wengi wenu hamuwez kusema mtu atumie kinga mpaka mwanaume mwenyewe ajiongez ktk kumi anaweza mmoja ndio akawa na msimamo wa kutumia kinga hata hivyo goli la pili unaeza ukaacha
Kwahiyo una maana gani? Hujali afya yako au unaijua na unataka kuangamiza wengine. [emoji24][emoji24][emoji24] Mungu atunusuru kwa kweli khaaaah.Goli la pili mbali ivo mimi nimekutana na mabinti misimamamo mikali sana Kondomu kondomu nasema ok isiwe case kwa vile sizipendi basi huwa nakuwa na zile za bei chee za kijinga unless labda mtu nim suspect mimi ndio ntatumia za ghali ili nienjoy pia ila sasa kama mtu namuona yupo vizuri afu analazimisha ndom basi namvalia zile za jero zinakauka chap afu huwa zinawaumiza yani hapo naondoa hisia kabisa nikigusa walau robo saa na mpira lazima mwenyewe aseme vua tu ili umwage hapo inakuwa imeisha gemu zifuatazo ni dry
Afya yangu iko vizuri tu mkuu ondoa shaka pia mtu akishatumia ARV ni ngumu kuambukiza ivo mimi namtazama mtu tu kwa macho tayari najua apa niende dry au nivae mpiraKwahiyo una maana gani? Hujali afya yako au unaijua na unataka kuangamiza wengine. [emoji24][emoji24][emoji24] Mungu atunusuru kwa kweli khaaaah.
Konki 🔥🔥Afya yangu iko vizuri tu mkuu ondoa shaka pia mtu akishatumia ARV ni ngumu kuambukiza ivo mimi namtazama mtu tu kwa macho tayari najua apa niende dry au nivae mpira
Najua siwezi kuwa Correct 100% mana hakuna kitu kina efficiency ya 100 hata machine ina errors
Duuuuuh japo n mtazamo na maamuzi yako, ila sio vizuri huwezi kumuamini mtu kwa kumuona kwa macho, unless mpime afya kabla ya kuanza game, maana vipimo vipo na n bei rahis ku afford.Afya yangu iko vizuri tu mkuu ondoa shaka pia mtu akishatumia ARV ni ngumu kuambukiza ivo mimi namtazama mtu tu kwa macho tayari najua apa niende dry au nivae mpira
Najua siwezi kuwa Correct 100% mana hakuna kitu kina efficiency ya 100 hata machine ina errors
Hali ni mbaya sana jamani, kingine kinauma wazee wenye pesa zao (vibopa) wameshakula maisha yao wanajua wamesha expire wanakuja laghai watoto wadogo hasa secondary na chuo inaumiza mnooh. [emoji24][emoji24][emoji24]Ni kweli wasanii wengi wameungua wachache sana wapo salama!!
Duuuuuh japo n mtazamo na maamuzi yako, ila sio vizuri huwezi kumuamini mtu kwa kumuona kwa macho, unless mpime afya kabla ya kuanza game, maana vipimo vipo na n bei rahis ku afford.
Ha ha ha we jamaa take care of yourselfGoli la pili mbali ivo mimi nimekutana na mabinti misimamamo mikali sana Kondomu kondomu nasema ok isiwe case kwa vile sizipendi basi huwa nakuwa na zile za bei chee za kijinga unless labda mtu nim suspect mimi ndio ntatumia za ghali ili nienjoy pia ila sasa kama mtu namuona yupo vizuri afu analazimisha ndom basi namvalia zile za jero zinakauka chap afu huwa zinawaumiza yani hapo naondoa hisia kabisa nikigusa walau robo saa na mpira lazima mwenyewe aseme vua tu ili umwage hapo inakuwa imeisha gemu zifuatazo ni dry
Sijawahi kubishia demu kuvaa kwanza ile confidence yangu tu akishasema vaa kondomu basi mwenyewe ataona huyu mwamba anajiamini sana, Btw mnaovaa Kondomu usiku kucha mnawezaje yani uamke tisa usiku uko naked na Mbunye ya dogo imepata joto hatari uanze kutafuta Malaironi yako wapi ufunike dushe kukosa joto? Aah hapana kabisa kweli kuna watu wameumbiwa ndom inachosa sana dushe
Sema ngoma haiambukizi kama magonjwa ya zinaa,pia hao wanaokula njugu nasikia wana asilimia ndogo sana za kuambukiza wengine..Ni hatari sana kinachoendelea kutuua ni kwamba ukiongea ukweli humu kuhusu huu ugonjwa kuokoa jamii mods wanafuta na kukwambia leta ushahidi,sasa ushahidi gani mods wanautaka wakati jamii inateketea? Hivi kuna ushidi gani unaohitajika kuuweka kwamba Dogo Janja alikuwa na Uwoya? Hawa walikuwa wanabanjuana kimya kimya lakini watu walikuwa hawaamini.
Nani asiyejua Mwanamme wa uwoya wa mwanzoni kabla ya Ndiku aliondoka na "KAZEZE"? Haya Uwoya akaitandaza kwa Madogorasi kibao ukija huku kuna kayumba etc na huku mtaani sinza Irene anatongoza watoto wadogo kabisa ili wambanjue sijajua lengo lake ni nini? Haya Uwoya kaachana na janjaro ,janjaro kamata manzi mwingine haya anaendeleza chain.
Ukija kwenye siasa bungeni ni balaa,% kubwa sana wanatumia MASHUDU aka MBAAZI kwa ajili ya kuongeza siku na hao wabunge ndio wanaowachapa nao sana watoto wa CBE na ndio wanaoongoza kula NYAPU zinazojiuza,ukweli unatakiwa kusemwa hata kama ni mchungu,ukweli ukisemwa utasaidia kuokoa wengine,visichana vidogo hivi vinadanganywa sana na pesa huku vikiachiwa "KAZEZE"! Mmoja wapo ni huyo mchanganyiko wa kahawa na maziwa(KAPACHINO)!! Naye WHozu kwa ushamba wake wa Uru kaingia kichwa kichwa na kuukwaa "UMEME".
Watu wanashangaa vipi Mwasiti mbona mstaarabu kautoa wapi? Kumbuka Mwasiti katokea THT na Jasiri muongoza njia yeye alikuwa anatembeza "Rungu" kama Comrade Kipepe,haya Mwasiti akimsusia "Sam Misago" akawa anauza Mechi naye!! Tukija huku Linnah naye akaitembeza kwa Amini.
Bado haujazungumzia Chain ya WCB kutoka kwa Mamaa wa Endeless FEMU ,Boss wa WCB kapiga Uwoya ,Kapiga Wolper ,Kapiga Lulu etc Naye Lulu alipigwa na Captain MBAKO haya Majizo for shizo chain ni ndefu na bado mizunguko inaendelea kina Idris Sulatan etc
Ili tuweze kujiokoa na Mtandao wa KAZEZE ni ukweli kuuweka wazi humu,Young D naye alikuwa anamla tunda haya Grid hiyo naye kaipeleka kwa Amber Lulu na wengineo chain hiyo!!! Ngoma ipo itawamaliza wasanii wetu hao maana wanatinduana wao kwa wao kama hawana akili nzuri,Oneni bendi ya kina Moshi TX ilivyoteketea kwa KAZEZE!!
Mateso makubwa kumbe!! Mie sipendi kunywa dawa kabisa hata panadol au Hedex sitaki kunywa!! Ndio maana najitahidi sana kujiepusha na matumizi ya dawa kwa kujikinga!!Ndugu yangu hizo ARV zisikie tu ila watu wale wana mateso sana aisee..niliwahi meza PEP ni ARV zile zile ni balaa mkuu.
Sina Ushahidi wa kwamba UWOYA Kaungua au Ushahidi wa NINI? Sina Ushahidi kwamba KAPACHINO ni KASA?Hizo zinabaki kuwa hisia zako mkuu kwa sababu huna ushahidi.