Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Dah huu uzi nimesoma comments zote dah, ila hata haya matamasha ya muziki nahisi yanachangia sana hii mambo. Hali inatisha


Pamoja na mikesha ya mbio za mwenge nayo hutumika kueneza maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi HIV

Afadhali Mwaka huu Anko Magu alivyozuia amekoa roho za wengi na mauti!

Mungu ambariki kwa hili kwa kweli.
 
Ni kweli mkuu nlishawahi kuhudhuria fiesta moja ilifanyia kiwanja flan cha chuo kikuu aisee madem wa chuo wanajirahisisha sana kwa wasanii.
 
Pamoja na mikesha ya mbio za mwenge nayo hutumika kueneza maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi HIV

Afadhali Mwaka huu Anko Magu alivyozuia amekoa roho za wengi na mauti!

Mungu ambariki kwa hili kwa kweli.
Huku pia ni balaa
 
Watu wanajali pesa kuliko afya zao kikubwa wao hela eti atleast aishi vizuri miaka michache
kiukweli hapana hasa vyuon hali n mbaya kiukweli inaogopesha yaan ufuska na uzinzi nje nje, mtu m1 ana mahusiano na watu 3, hawa wakike wanauotoa kwa vibopa wanawasambazia wavulana wa rika lao. [emoji30][emoji30][emoji30]
 
Ni kweli piaa kikubwa umakini na kujali afya yako. Uaminifu hakuna tena
 
Kuhus vanessa hadi dakika hii kwa 90% naweza sema hayupo ndani ya attendace,
Wakati anatoka na jux....kuna time jux alikua anapita kwa wolper pia.....hata hivyo jux pia muhuni yule.anatafuna hadi vidume
Vipi yule dada yangu Vanessa mdee amesalimika kwenye hii orodha?
 
Wakati anatoka na jux....kuna time jux alikua anapita kwa wolper pia.....hata hivyo jux pia muhuni yule.anatafuna hadi vidume
Hapana jux baada ya kutoka na wolper, akafata Jackie, then kijiti akapokea Vanessa, na kwa wakat ule wolper hakuwa ktk attendance, kuhus jux nna was was kuukwaa maana kuna msanii wa kiume anamla ambapo huyo msanii alishaliwa na Jasiri muongoza njia. [emoji19][emoji19][emoji19]
 
Unajua kuna baadhi ya mambo yanasikitisha sana kwa hiyo jux nae anenda kwa mpalange [emoji44] [emoji44] [emoji44]
 
Unajua kuna baadhi ya mambo yanasikitisha sana kwa hiyo jux nae anenda kwa mpalange [emoji44] [emoji44] [emoji44]
Mmmmmh kwann asiende na chanzo kikubwa cha kuachan na vee, n baada ya vee kukuta mawasiliano ya huyo msanii na jux tena in deep feelings on love. Akaona amuache aendeleze hayoooh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…