Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Mmmmmh kwann asiende na chanzo kikubwa cha kuachan na vee, n baada ya vee kukuta mawasiliano ya huyo msanii na jux tena in deep feelings on love. Akaona amuache aendeleze hayoooh.
Vee alikuta mawasiliano ya namna gani Kati ya jux na huyo mtu yupi?
 
Una habari Sana motonoto huyu jux naskia Kuna kudume mwenzako anakila kilikuwa clouds kimehamia e radio.
 
Mdau amezungumzia kushika neno la Mungu, wewe unazungumzia 'huko kanisani'... Mnaongelea vitu viwili tofauti, ipo tofauti ya kuokoka na kusali kwa walokole. Ukishika neno la Mungu kama mdau alivyosema hakika utapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…