Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Mkuu fungua code hio ya NYaaan hata hawajali wallah utandawazi umeharibu kizazi hiki. Hali n mbaya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu fungua code hio ya NYaaan hata hawajali wallah utandawazi umeharibu kizazi hiki. Hali n mbaya sana.
Vee alikuta mawasiliano ya namna gani Kati ya jux na huyo mtu yupi?Mmmmmh kwann asiende na chanzo kikubwa cha kuachan na vee, n baada ya vee kukuta mawasiliano ya huyo msanii na jux tena in deep feelings on love. Akaona amuache aendeleze hayoooh.
Aaaah dea kwan mtoto wa kipemba humjui, si wameimba wote hit yao inaitwa "Kinomanoma". UwiiiiiiiiiiiihHem fungua.code bwana
Aisee town pazito bora kushinda njaa kuliko kukosa bandoAaaah dea kwan mtoto wa kipemba humjui, si wameimba wote hit yao inaitwa "Kinomanoma". Uwiiiiiiiiiiiih
Una habari Sana motonoto huyu jux naskia Kuna kudume mwenzako anakila kilikuwa clouds kimehamia e radio.Hapana jux baada ya kutoka na wolper, akafata Jackie, then kijiti akapokea Vanessa, na kwa wakat ule wolper hakuwa ktk attendance, kuhus jux nna was was kuukwaa maana kuna msanii wa kiume anamla ambapo huyo msanii alishaliwa na Jasiri muongoza njia. [emoji19][emoji19][emoji19]
Wametoa hit yao inatwa "kinomanoma" nadhan ushamjua sasa.Mkuu fungua code hio ya N
Bora umemjibuUshahid uliopo ni Hosp alio kua akichukua dawa na kufanya Dialysis
Hatari SanaWakati anatoka na jux....kuna time jux alikua anapita kwa wolper pia.....hata hivyo jux pia muhuni yule.anatafuna hadi vidume
Kati ya J na N nani ni top na nani ni buttom?Wametoa hit yao inatwa "kinomanoma" nadhan ushamjua sasa.
Noope huyo unaemsema n mke mwenza wa lulu, had amenunuliwa gari na majizzo. WaleleeeeeeeeeeehUna habari Sana motonoto huyu jux naskia Kuna kudume mwenzako anakila kilikuwa clouds kimehamia e radio.
J n top, N n bottom.Kati ya J na N nani ni top na nani ni buttom?
Mmmh! Hii ni ya kijiweni bila shaka.Unataka nikupe chain au
Ok..tunda.wema.muna.uwoya ndo vipo kama 1bill..nandy.bill nas.misago.mwasit.ray c..rommy jons...wengne washadanja..chain ni ndef kwa leo iishie hapo
Kuiga huku huyu chalii nahsi trey song akiomba mzigo atampaJ n top, N n bottom.
Lulu ana ngoja Nini kubaki na mchumba mla vidume wenzake, hatari SanaNoope huyo unaemsema n mke mwenza wa lulu, had amenunuliwa gari na majizzo. Waleleeeeeeeeeeeh
Mdau amezungumzia kushika neno la Mungu, wewe unazungumzia 'huko kanisani'... Mnaongelea vitu viwili tofauti, ipo tofauti ya kuokoka na kusali kwa walokole. Ukishika neno la Mungu kama mdau alivyosema hakika utaponaHuko kanisani hakufai hata kidogo ,mimi dada yangu ana rafiki yake mlokole ,alimwambia sister na bi Mkubwa hali yake ya kiafya kaathirika lakini sasa hivi ana serengeti boy na mume wake kishavuta zamani.Alafu kosa lao ni moja wanaamini ukisha okoka basi kuanzia dhambi zako mpaka magonjwa yako yameondolewa.
Nina binti namjua vizuri alishinda ktk mashindano ya kuhifadhi quraan kwa madrasa za mtaani kipindi nipo O-Level,mimi mwenyewe nilikuwa na mkubali ana nidham sana.Kuna muhuni mmoja yy ana endeesha malori ya mzigo kaathirika tokea zamani,kamrubuni na viroba vya mkaa mwisho wa siku kamzalisha binti kupima tayari kaathirika,baba yake yule binti alimmaindi jamaa kishenzi,alianzisha varangati mwisho wa siku yule jamaa kamfanya mke wake mdogo.
Haya mambo yanaumiza kichwa sometimes hayana formula.
Mbona mnaandika vifupisho?Kati ya J na N nani ni top na nani ni buttom?
Alikuta records ya video call, na chatting za jux na huyo msanii, tena deep feelings za in love, bibie akaona hapa ngoja ajiepushe mapemaaa. Huyo msanii na jux wametoa hit yao ya Pa1 inaitwa "Kinomanoma". LolVee alikuta mawasiliano ya namna gani Kati ya jux na huyo mtu yupi?
mbna code ishafunguliwa deaMbona mnaandika vifupisho?
Heeeeeeeh pesa bhana lol, wee dea nae uwiiiiiiihLulu ana ngoja Nini kubaki na mchumba mla vidume wenzake, hatari Sana
Code imeshavunjwa juuMbona mnaandika vifupisho?