Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Mmmmmh kwann asiende na chanzo kikubwa cha kuachan na vee, n baada ya vee kukuta mawasiliano ya huyo msanii na jux tena in deep feelings on love. Akaona amuache aendeleze hayoooh.
Vee alikuta mawasiliano ya namna gani Kati ya jux na huyo mtu yupi?
 
Hapana jux baada ya kutoka na wolper, akafata Jackie, then kijiti akapokea Vanessa, na kwa wakat ule wolper hakuwa ktk attendance, kuhus jux nna was was kuukwaa maana kuna msanii wa kiume anamla ambapo huyo msanii alishaliwa na Jasiri muongoza njia. [emoji19][emoji19][emoji19]
Una habari Sana motonoto huyu jux naskia Kuna kudume mwenzako anakila kilikuwa clouds kimehamia e radio.
 
Huko kanisani hakufai hata kidogo ,mimi dada yangu ana rafiki yake mlokole ,alimwambia sister na bi Mkubwa hali yake ya kiafya kaathirika lakini sasa hivi ana serengeti boy na mume wake kishavuta zamani.Alafu kosa lao ni moja wanaamini ukisha okoka basi kuanzia dhambi zako mpaka magonjwa yako yameondolewa.

Nina binti namjua vizuri alishinda ktk mashindano ya kuhifadhi quraan kwa madrasa za mtaani kipindi nipo O-Level,mimi mwenyewe nilikuwa na mkubali ana nidham sana.Kuna muhuni mmoja yy ana endeesha malori ya mzigo kaathirika tokea zamani,kamrubuni na viroba vya mkaa mwisho wa siku kamzalisha binti kupima tayari kaathirika,baba yake yule binti alimmaindi jamaa kishenzi,alianzisha varangati mwisho wa siku yule jamaa kamfanya mke wake mdogo.

Haya mambo yanaumiza kichwa sometimes hayana formula.
Mdau amezungumzia kushika neno la Mungu, wewe unazungumzia 'huko kanisani'... Mnaongelea vitu viwili tofauti, ipo tofauti ya kuokoka na kusali kwa walokole. Ukishika neno la Mungu kama mdau alivyosema hakika utapona
 
Back
Top Bottom