Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

ARV zinasaidia sana lakini kiukweli zimeongeza kiwango cha maambukizi kwa kiasi kikubwa sana sababu watu hawaonekani kwa macho kukonda kama zamani.

Serikali sijui imechoka maana naona hamasa ya elimu ya namna ya watu kuepuka siku hizi hamna Yani kama vile ugonjwa wa ukimwi haupo!

NGOs nazo sijui zinakata tama hatuzisikii zikitoa elimu jinsi ya kuepukana na ngono.

Msisitizo ule wa Abstain, Baki na mmoja (mkeo/mumeo), acha kabisa ngono, kama umeshindwa kabisa tumia condoms ijapokuwa hawamalizii kwa kusema “under your own risk “

Siku hizi msisitizo huo hatuusikii tena kupitia vyombo vya habari wala matukio ya kijamii.

Ni werevu wachache sana wenye kupata neema ya Mwenyezi Mungu ndiyo wanajilinda na kuepuka kabisa maswala ya uzinzi na uasherati.

Tukiamua kumtii Mungu kwa kuepuka kufanya uzinzi na uasherati hapo tutaweza kubaki salama na vizazi vyetu!

Lakini ukifanya uzinzi au uasherati ujue ipo siku kwa mzunguuko ulivyo sijui Mungu azidi kutunusuru na vizazi vyetu.
 
Ila mkuu kwa sasa hakuna aliyesalama demu unayemuamini mtaani kumbe ndo huyo huyo anajiuza telegram,badoo,tinder nk..kuna jamaa nusura afe baada ya kukutana na demu wake Singida ambaye hujifanya mfanya biashara wa vitenge kumbe ana ujasiria mali wa vingine na alichati na rafiki yake bila kujua kwa namba nyingine walikubaliana malipo ya laki 1,,baadae jamaa yake ana mwambia kaopoa demu telegram kahaba usiku anaenda kumtafuna njia zote kumcheki mtu wake..moto uliwaka aisee bahati yake jamaa kapima yuko fresh.

Wazee siku hizi uchi unauzwa tu kama unavyonunua bidhaa dukani so tusijiamini sana hata kwa hawa tulionao.
Katika msululu wa wanaume alotembea nao kuna baadhi ya wanaume inasemekana wana ukimwi kwa miaka mingi tu.

Yani Mungu atuhurumie sana!

Hivi nyakati hizi ni za kufanya umalaya jamani halafu utegemee kubaki salama bila kupata maambukizi?!

Mchunga janga bila na wakwao!
 
Ila mkuu kwa sasa hakuna aliyesalama demu unayemuamini mtaani kumbe ndo huyo huyo anajiuza telegram,badoo,tinder nk..kuna jamaa nusura afe baada ya kukutana na demu wake Singida ambaye hujifanya mfanya biashara wa vitenge kumbe ana ujasiria mali wa vingine na alichati na rafiki yake bila kujua kwa namba nyingine walikubaliana malipo ya laki 1,,baadae jamaa yake ana mwambia kaopoa demu telegram kahaba usiku anaenda kumtafuna njia zote kumcheki mtu wake..moto uliwaka aisee bahati yake jamaa kapima yuko fresh.

Wazee siku hizi uchi unauzwa tu kama unavyonunua bidhaa dukani so tusijiamini sana hata kwa hawa tulionao.
Kinachotutisha watu ni magonjwa aisee,hali ni mbaya.
 
Yaani mkuu kiufupi hakuna aliyesalama ni ulinzi wa Mungu tu na wala tusiwacheke japo kuna wale wanaofanya makusudi...unaweza ukatulia fresh kama mke wa kaka yangu ila kaletewa na mumewe dah yule manzi mstaarabu na mcha Mungu ila bro kafanya ukatili sana yaani.
Duh!
 
Unataka nikupe chain au

Ok..tunda.wema.muna.uwoya ndo vipo kama 1bill..nandy.bill nas.misago.mwasit.ray c..rommy jons...wengne washadanja..chain ni ndef kwa leo iishie hapo
Mwasiti??? Ametoa wapi ee mungu
 
Mkuu nikuomba mungu tu aisee unless usipige kabisa mana hata wife hujui nani anapiga swala la kusema Uvae Mfuko kila siku niuongo asee
Mungu alisema atakupa wa kufanana nae kwahiyo ukioa utampata ambaye B itahusu ambayo Be Faithful(Hakuna kuchepuka),sasa Mtu kama Whozu katoka Uru kaingia town kachizika na Mkorogo wa kapachino unategemea mtu kama huyo hatatoboa kwenye ulimwengu huu wa NGWENGWE?
 
Halafu kuna wengine akijua kwenye jamii fulani amejulikana kuwa mwathirika wa virusi vya ukimwi anahama anaenda kuishi mkoa mwingine au jamii nyingine kule akifika mgeni watu hawamjui na badala ya watu kumkwepa wanamkimbilia na kutembea naye kisha nao kupata maambukizi.

Hata Mijini, mtu wa Mbagala anahamia Tegeta akifika kule anavamia wanawake wapya au wanaume wapya anawaambukiza.
 
Hata vijijini hali ya maambukizi inatisha,
Unaambiwa siku za kutolewa dawa hospitali ya wilaya bomani watu ni wengi sana wengine huwezi amani.

Halafu wengine wamekataa kunywa dawa.

Kwa vijijini sehemu za kugawa dawa mara nyingi ni Katika hospitali ya wilaya basi watu kuwa bao!

Watu wa kijijini wanapenda kupapatikia wageni toka mjini kumbe wenzao wengine wanao sasa watu wengi sana wamepoteza maisha [emoji24][emoji24][emoji24]

Maisha ni mazuri jamani ugali mtamu sana!

Tujitafakali kisha tuchukue hatua, afya ni mtaji!
 
Halafu familia zinatakiwa ziwe zinakaa na kutathimini mienendo yao na kuonyana ili waepuke maambukizi.

Kuuguza mgonjwa wa ukimwi ni mtihani mkubwa sana asikwambie mtu !

Yani ujanja wote kwisha nakwambia!

Mgonjwa anaharisha vibaya hana namna ya kujizuia !

Shombo kubwa!

Nilimshudia mgonjwa akipigwa vibao na wanae walipokuwa wakimuuguza mahututi dawa akinywa anatema haipiti kooni.

Wakawa wanamzabua makofi huku wakimwambia starehe zako ulikuwa una neng’eneka na wanaume wa kila aina sasa umepatikana unasumbua watu kukuuguza na kuwanukisha shombo zako za mavi na kuhara !

Unakuwaje mwepesi wa kumpa mtu mwili wako?

Unakuwaje mwepesi wa kumkubali mtu?

Suspicion ni Nzuri sana mara nyingi humpa mtu kuchukua tahadhari kabla ya hatari!
 
Wanawake sijui huwa mnakwama wapi wengi wenu hamuwez kusema mtu atumie kinga mpaka mwanaume mwenyewe ajiongez ktk kumi anaweza mmoja ndio akawa na msimamo wa kutumia kinga hata hivyo goli la pili unaeza ukaacha


Na Ndiyo maana wengi wanabeba mimba na kuwa single mothers!

Ukimuona mtu amezaa mimba bila mpangilio kwa tafsiri ya haraka ni kuwa ni risk persons.

Kwamba kama amebeba mimba kienyeji vipi kuhusu uwezekano wa kupata maambukizi ya ukimwi?!

Kila aliyezaa kienyeji maana yake ameji expose kwenye risk,
Sasa Je ?!
 
Back
Top Bottom