Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Cappuccino Tunda kapatwa na ugonjwa gani?

Hii hali kitaalam hujulikana kama serodiscordant couple, ambapo Mwenza mmoja anakua na maambukizi ya HIV lkn mwengine Hana hata kama wamekua wakifanya Ngono bila kutumia Kinga.


Nini hasa kinachotokea? Je HIV ni kitu cha kufikirika?? HAPANA..... jambo pekee hapa ni BAHATI BAHATI BAHATI yaaan uwezekano wa kupata HIV ikiwa ataendelea kufanya ngono zembe nahuyohuyo mtu kuna siku angepata maambukiz.

HIV ni kirusi kirusi kigumu kukipata , Hii inamanisha Exposure moja tu haitoshi kukupa maambukizi, lkn bado ukweli nikwamba itakuchukua mara moja tu kupata HIV.


Je Mwanaume na Mwanamke nani yupo ktk hatari zaidi ya kupata maambukizi hata mara moja tu toka siku alalae na mwathirika???? .

Jibu hapa ni Moja...MWANAMKE . Kwann?? Kwa sababu ya anatomia ya maungo ya mwanamke yanamfanya awe ktk risk kubwa sana. Kivipi?? Kuta za kumaa ni mucosal membrane ambayo kutoka na uundwaji wke inaruhusu HIV kupita , so mwanaume Mgonjwa anapomwagia shahawa mwanamke, uwezekano wahuyo mwanamke kukwaa ni mkubwa.. lkn pia Mwanamke mgonjwa kumpa mwanaume , kutokana na umbile la mwanaume basi nilazima MICHUBUKO iwepo kwenye mbooo, au itokee majimaji yakuma yamepenya kupitia mlango wa kutolea shahawa kwa mwanaume.


Sasa kwann Ndugu yako hakupata???? Ni sababu kwanza ya Bahati,, Sababu za kimaumbile, aina ya ngono alokua anafanya , lkn huwezi amini kama angendelea kumtombaa kavukavu kuna siku angeukwaa tu hamna namna.( mwanamke mgonjwa anaweza tombana na wanaume 10 asiwape maambukizi, lkn mwanamke mzima akatombana na mwanaume mmoja wawili wagonjwa wakampa maambukizi)namaanisha ivi Suala la nani mwenye maambukizi kati ya anayetomba au anayetombwa ? Pia lazima liingatiwe.


Kwann mtoto aliupata?? Watoto wengi wanapata maambukizi wakati wa kuzaliwa tena tena hasa kwa mama asotumia Dawa, na kwa maendeleo ya Dawa hizi zakupunguza makali, kwasasa maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto yamepungua sana kiasi kwamba kama MJAMZITO ANATUMIA DAWA vizuri ,kwa usahihi na kwa muda sahihi , Basi ni uzembe wa watoa huduma wa afya ndio utakaopelekea mtoto kupata maambukizi.


NINI FAIDA YA UTUMIAJI WA DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI YA HIV???

Mtumiaji wa Dawa hizi aliyezitumia kwa miezi zzaidi ya sita nakuendelea, kiwango cha viral load huwa kinakua undetectable , na pindi pindi kinapokua undetectable basi mtu huyu hana uwezo wakuambukiza kwa njia ya Ngono (au upo lkn kwa kiwango cha chini sanaaaaa) naivo anakua ktk nafasi yakua mwenye Afya zaidi, aliyenawiri .




Bila shaka nimejibu namengineyo.
Dr ni kama umenipa go ahead niendelee kuenjoy utukufu wa Sir God yani Nyama nyama
 
Mtu kujiunga hata kufungua I'd this year haimanishi hajui kitu, mzee hyo kitu eti nimejiunga long tushajadili very low. Pia watu hu change I'd
Nimemjibu accordingly hizo mada zipo humu na hao madaktari uchwara tuliwapiga nondo wakakimbia. Aende akazitafute asome.
 
Nimemjibu accordingly hizo mada zipo humu na hao madaktari uchwara tuliwapiga nondo wakakimbia. Aende akazitafute asome.
Zipo ndio lakini msitake kudaganya watu serikali isingekuwa inatumia nguvu nyingi kununua hzo Arv, HIV ipo nimeona mtoto akiondoka hivi hivi.

Msitake kufanya watu wajiachie wazalilike. Hzo number zipo Ila za kuambiwa changanya na zako, Kuna mtu hakutumia mwenzake akatumia yeye katangulia kufa
 
Hakuna kirusi Cha ukimwi , hakijawahi kuwepo.


Nenda kwa daktari yoyote duniani akiweza kukuonesha kirusi Cha ukimwi njoo hapa unitukane.


Hayo Matakataka ya kupimia ukimwi Ni rubbish. Watu wanatumia ARVs na sio wagonja maana Kuna Hali mtu akiwa nayo yanaweza kutoa majibu positive. Mama mjamzito Kuna protein anazalisha ambayo inaweza kuchochea kipimo kutoa majibu positive.



Logic nzima ya upimaji wa HIV Ni upuuzi mtupu. Hivyo vipimo vya kuweka damu huwa hampimwi kujua HIV ila Hali ya mwili Kama n positive au negative.
Inawezekana ukawa na point Miaka karibia 30 Sasa tangu ukimwi uingie Ila sijawai ona hata picha ya hiko kirusi kinafananaje

Ila korona juzi tu imekuja picha za kirusi chake ziko kila mahali

Nina wasiwasi sometimes yaweza kuwa miradi ya watu kupiga hela kuhusu huu ugonjwa

Ila kaswende,kisonono ,UTI hizi ziko real aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo bana Kuna magonjwa hatari Kama kansa au homa ya ini , kisukari na kufeli kwa Figo ndio magonjwa mnapaswa kujiepusha nayo na sio Huo upuuzi eti HIV ... Hizo ni biashara za watu.Ukimwi kila mtu anao.. Kwani nani Hana ukimwi !! Nani Kinga zake huwa hazishuki ? Hata stress zinashusha kinga Sasa mnashangaa Nini.


Achaneni na huo utumwa wa wazungu kuwageuza soko la hizo ARVs zao zinazoenda kuharibu Figo, ini na kusababisha kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake (cervical cancer). Ukifuatilia watu wote wanaotumia ARVs mwisho wa siku hufa na moja ya hayo magonjwa.

Kwa hizi network zilizotajwa humu Kama kweli kungekuwa na uhalisia wa huo upuuzi HIV Basi nchi nzima ingekuwa na waathirika wa ukimwi maana ni nadra kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja. Halafu hivi tangu lini Kinga zangu kuwa chini zinaweza kumuambukiza mtu mwingine ???

Hivi mnajua stress zinashusha kinga ? Sasa nitawezaje kumuambukiza mtu mwingine mwenye Kinga na mzima kabisa !!! ... Mambo mengine sio mpaka muende vyuon tumien common sense


Acheni ngono zembe msije kupata homa ya ini na magonjwa mengine na sio eti HIV ... Hakuna hicho Kitu guys. Mnateketea kwa kukosa maarifa.
Acha mzaha kwenye mambo serious, HIV naiheshimu imejeruhi watu wangu wa karibu sana
 
Maana akielezea hizo logic zake cocastic kasema false logic eti
Uwiiiiiii sasa dea yeye hakutoa muongozo vzur, ndio maan skua namuelewa ila Dr kaeleza vzur na kaongezea nyama nyama aaaah fresh kaeleweka.
 
Umejiunga Jamii forum 2019 hizi mada tumeshazijadili kuanzia miaka ya 2015 na Kuna madaktari vichwa zaidi ya Huyo mwanafunzi wa notice za Nyambari Nyangwine walikimbia.


Kama Yuko vizuri aje hapa twende nae kwa hoja na uhalisia.
Uwiiiiiiiiih bas sorry mkuu, umeshinda weyeeeh lol.
 
Ila haka ka Mimi Mars nilikuwa nakakubali kalivyokuwa katangazaji

Mweeh! Kameingia kwenye muziki kamekutana na waliooza[emoji30]

Sent using Jamii Forums mobile app
Poleeeeeh mkuu bado una nafasi ya kumpenda, maana wameeleza kuwa ukimwi hauambukizi hovyo, kwahyo unaweza ukapiga dry af fresh tyuh aan, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zipo ndio lakini msitake kudaganya watu serikali isingekuwa inatumia nguvu nyingi kununua hzo Arv, HIV ipo nimeona mtoto akiondoka hivi hivi. Msitake kufanya watu wajiachie wazalilike. Hzo number zipo Ila za kuambiwa changanya na zako, Kuna mtu hakutumia mwenzake akatumia yeye katangulia kufa
Hakuna mtu anaedanganya hapa it's all about fact tu. Acha personal attack tuelewane.

Hapa kuna vitu viwili

1. Virusi vya ukimwi (VVU) au HIV kwa kiingereza

2. Upungufu wa Kinga Ukimwi (AIDS)

Nikianza na Kitu Cha kwanza (HIV ) hiki Kitu hakipo Kama una ushahidi weka hapa tumuone Huyo HIV , nenda kwa daktari yoyote akiweza kukuonesha Huyo HIV mimi nitaomba nitoke Jamii forum na pia aseme kifaa gani ametumia kuona Huyo HIV. Najua watakuja na issue zao za kifaa Cha PCR Ila mgunduzi wa hicho kifaa Kary Mullis yeye mwenyewe anashangaa kwanini watu wanasema kifaa Chake kinasemwa eti kinaonesha HIV. Generally HIV ni story za kijiweni hakuna Kitu Kama hicho.

Nikija issue ya pili ya Ukimwi kila mtu anao hata wewe unao ndio maana siku ukivamiwa na magonjwa maana Yake Kinga zako za mwili zimeshindwa kuhimili huo ugonjwa. Ukiwa na stress Kinga zako zinashuka . Ukiwa na lishe duni Kinga zako zinashuka. Labda uwe hujui nadharia Nini maana ya Ukimwi. Ila kama unaelewa nadharia ya Ukimwi kwa maana ya upungufu wa Kinga mwilini kila mtu anao hata wewe na Mimi tunao.

UMESEMA umewahi kushuhudia mtoto akiondoka hivi hivi. Hahaha Sasa ulitaka asife. Kwani kabla ya huo ugonjwa fake wa HIV kutokuwepo watu walikuwa hawafi?.. Kila mtu anaweza kufa Kama some principles zimevunjwa.

Umewahi kusikia kuwa ukimwi hauuwi ila magonjwa nyemelezi Kama malaria au typhoid ndio yanaua ? Sasa unapokuja hapa kusema umeona mtu kafa kwa ukimwi unataka nikueleweje wakati ukimwi hauuwi?

Sasa Kama ukimwi hauuwi Bali magonjwa nyemelezi kwanini usijikinge na uwe na life style nzuri usipate Kansa, malaria , typhoid badala ya kula hayo ma-arvs maisha yako yote Hadi figo zifeli. Nyie wenyewe mnasema humu Marehemu ruge alikuwa anatumia ARVs ila hata wewe ni shahidi Ruge mutahaba tulimchangia mpaka michango na raisi akatoa milion 50 ashughulikiwe tatizo la Figo. Hizi ni researched facts kuwa ARVs inaua Figo, ini na mapafu na Nyie wanawake mko kwenye hatari ya cervical cancer .. umewahi kujiuliza kwanini mashirika mengi yanayofadhili hizo ARVs yameanzisha vitengo vya kansa ya shingo ya kizazi ? ... Umewahi kujiuliza kwanini hii cansa kwa wanawake imeshamiri miaka ya kuanza kutumia ARVs ? Kwa Nini miaka ya nyuma hili tatizo ilikuwa almost halipo.

Umimwi hauui ila matumizi ya ARVs kwa muda mrefu ndio huua watu. Chukua Kile kikopo Cha Dawa za ARVs soma side effects zake halafu kawaangalie hao watu unaosema wamelazwa kwa HIV uone Kama hawafanani ...

Kila kifo kina sababu yake. Leo ukipimwa ukikutwa positive hutakufa Kama hutapata malaria au ugonjwa wowote. Sasa kwanini usijikinge na hayo magonjwa nyemelezi badala ya kula hayo mavidonge mwisho wa siku utachakaa maana ARVs Ina side effects kama Chemotherapy ( tiba ya mionzi ) kwa wenye kansa au mtumiaji wa Dawa za kulevya kwa muda mrefu ... Wote Hawa watatu baada ya matumizi ya muda mrefu wote watakuwa na mionekano sawa. Nywele dhoofu, ngozi isiyonawili, macho kuwa mekundu na ashes. Huku Kunawili mnakosema kumesababishwa na kula ARVs ni kwa muda tu Ila in long run mwisho huwa hivyo.

Sikia binti Malaria inaua watu wengi kuliko huo ugonjwa feki wa HIV ila kwanini hela nyingi inapelekwa kwenye HIV na sio malaria ? ... Katafute takwimu za wizara ya afya uone vifo vya Malaria na HIV uone n ugonjwa upi unaua Sana wabongo. Ndio maana nakwambia this is bussiness .. Vifo vya mama na mtoto ni vingi bongo kuliko huo upuuzi.
 
Back
Top Bottom