Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mfanyakazi wa serikali aliye mzalendo! uzalendo wake uishie hapa kwa wengine kufuatilia na kuchukua hatua. Madracula wanyonya damu wakiongozwa na lile lizee la chato na kuratibiwa na kidracula kidogo chenye njaa ya damu kasabaya kanavizia kamfahamu kamtafune mzima mzima. Wee ndugu umemaliza kazi yako pumzika! wengine wafanye upande wao!Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu.
Na hayo yote yanatokea kwanini nyinyi kama wasimamizi na mawakala mnakubari kama sio kushiriki kwenye dhurma? au hujapata mgao wako?
Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
Mahakama gani? Mnakejeli watu walioumizwa kiasi hiki? Mjuwe Mungu yupo hai na anawaona!Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu.
Na hayo yote yanatokea kwanini nyinyi kama wasimamizi na mawakala mnakubari kama sio kushiriki kwenye dhurma? au hujapata mgao wako?
Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
Jimbo la uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho.
Ilikuwa kwa vyovyote vile asitangazwe mshindi either by HOOKS or by CROOKS. Hili lilikuwa apizo la Magufuli na wenzake na walilifanya kwa ushamba na ujinga wa viwango vyote vya ujinga duniani...
Na wewe ulikosimamia mmeshiriki kupora haki wananchi?Jimbo la uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho....
Alisaini vipi matokeo wakati uchaguzi ulifanyika akiwa yuko kwenye home detention?Nguvu iliyotumika kupambania jimbo la hai ni kama mbowe alikuwa mgombea wa uraisi...
Watu wenye uwendawazimu kama wewe ndio wanaofikiria kuwa risasi ni suluhisho la kuondoa bugdha ya kusumbuliwa unapokuwa unaandamwa kwa uovu wako.Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu..
Ni mgombea gani wa upinzani alisaini matokeo? Wagombea wote wa upinzani (ukiacha vyama mamluki), hakuna aliyesaini matokeo ya uchaguzi mwaka huu.Kama hayakutumika kwenye majumuisho,mgombea ubunge alikubali kusaini matokeo wakati matokeo ya kituo kimoja hayajafika? Akili za kuambiwa changanya na...!
Unao uhakika?Ni mgombea gani wa uoinzani alisaini matokeo? Wagombea karibia wote wa upinzani, hakuna aliyesaini matokeo ya uchaguzi mwaka huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akawe shahidi halafu mumtumbue huko serikalini?Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu.
Na hayo yote yanatokea kwanini nyinyi kama wasimamizi na mawakala mnakubari kama sio kushiriki kwenye dhurma? au hujapata mgao wako?
Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
Exactly, halafu wakaona watangaze matokeo mapema alfajiri kabla hata watu hawajaamka, ili mkiamka na maswali mkute nje defender tayari zinazunguka.Matokeo ya Hai yalitangazwa kwanza on purpose. Hawa watu walijipanga mnoo. It was a psychological move, unaona mwenyekiti wako kashindwa wewe unapata wapi uthubutu wa kulalamika?
Whoever orchestrated this are nothing but bunch of criminals!
Hapo ndio tunapokosea. Anahitajika kuwasaidia vyama vya upinzani kukusanya ushahidi ili wadai haki yao, huo ndio uzalendo. Mbowe akienda mahakamani na akakosa ushahidi muhimu atapoteza kesi then ataona anaonewa. Huyu ni mtu muhimu sana katika kuleta amani na haki katika nchi.Huyu ni mfanyakazi wa serikali aliye mzalendo! uzalendo wake uishie hapa kwa wengine kufuatilia na kuchukua hatua. Madracula wanyonya damu wakiongozwa na lile lizee la chato na kuratibiwa na kidracula kidogo chenye njaa ya damu kasabaya kanavizia kamfahamu kamtafune mzima mzima. Wee ndugu umemaliza kazi yako pumzika! wengine wafanye upande wao!
Haya mbona yanaeleweka tu, mfano Gwajima alipata wapi kura zaidi ya laki moja na elfu tisini Kawe?!Ukweli ni kwamba polisi , makarani na mawakala waliosimamia uchaguzi hawakutoka nje ya nchi. Siku moja kabla ya uchaguzi kuna karani mmoja wa jimbo la Moshi mjini alisikika akiongea kwenye simu kuwa wao wameelekezwa kwamba wakati wa kuhesabu kura karani atasoma kura hatazilizo tikiwa kwa wagombea wengine kuwa za CCM ,wakala akibisha Karani ambaye ni kada wa CCM (mjumbe wa tawi) ataita polisi kumtoa nje wakala na kura zitahesbiwa na kurekodiwa kwa faida ya mgombea wa CCM. Kingine ni karatusi nyingi zilizo baki katika vituo zilitikiwa kwa wagombea wa CCM. Japo haya ni vigumu kithibitisha lakini ukweli utaendelea kujulikana siku hadi siku maana wadau wa uchaguzi ni wengi na hakuna siri ya watu zaidi ya wawili Sembuse makarani na mawakala zaidi 80,000
Laiti mahakama zetu zingekuwa huru ungepata majibu ya kushangaza sana, tatizo hakimu atamuogopa bosi wake kwenye kutenda haki.Mkuu nilidhani ungeleta hoja ambayo ni very objective kwa kutuambia jiografia ya Hai ipoje? Kuna umbali gani kutoka vituo vya kupigia kura na sehemu ya majumuisho, kwa kumbukumbu zangu wakati wa kusubiri matokeo msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Hai alisema kata ambayo ipo mbali kuliko zote jimboni hapo haizidi kilomita 30 umbali ambao hauzidi lisaa limoja mpaka kufika kituo cha majumuisho.
Halikadhalika, ilibidi utuambie mathematically (kwa takwimu zenu siyo za Tume) hali ya uhesabuji kura ilikuaje? Waliojiandikisha walikua wangapi, waliopiga kura wangapi, kura za Mbowe kwa kila kituo zilikua ngapi? Na za mpinzani wake zilikua ngapi? ili tujue hizo kura feki zilizoongezwa zilikua ngapi