The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
- Thread starter
-
- #121
Uliposema tu kwamba, Jimbo la Hai ndilo Lili kuwa "the most wanted person" nikajua hauna kitu kwenye ubongo wako.
Mlifanya uchafu kule mkaachwa, bahati mbaya mmekuja kurudia tena uchafu wenu huku, hamvumiliki.Vp kihusu ule uchaguzi wa Serikali za Mitaa?? Mlichukua hatua yeyote au mlishangilia??
Ni kweli mkuu, jamaa hawajui walitakalo na ukitoa ushauri unaonekana wewe ni ccm hata kama huna chama.Mkuu unapoteza muda na nguvu zako kuwaelewesha bavicha. Hawajawahi kueleweka wanahitaji nini. NEC hawaiamini lakini chaguzi zake wanashiriki. Matokeao yakitoka wameshindwa wanalaumu. Ukiwashauri waende mahakamani hawataki. Viongozi wao wakiwambia waandamane, barabarani hawatokei.. We unadhani utawaambia nini kama ushauri wakuelewe?
Usiejua maana ya hoja utaijuaje hoja? Hapo ningesema Lissu lazima awe Rais najua ungenielewa.Sijaona hoja..
Hata hivyo, asante kwa kushuriki kutoa maoni yako kwa style hii..
Porojo tupu; jimbo la Hai siyo kubwa kiasi cha kushindwa kumaliza kujumlisha kura hizo ndani ya masaa kumi. Walimaliza kuhesabu na kujumlisha kura zao alfajiri; na siyo huko tu walikomaliza kuhesabu alfajiri, majimbo mengi hali ilikuwa hivyo...
Wanhechelewa kutoa matokeo pia ungekuja kusema walikuwa waachakachua kura kwanza...Binadam hawana maanaJimbo la uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho...
Imeisha hiyooooo. Tuliposema kuwa tunafuta upinzani wa kijinga mwaka huu wa 2020 mlidhani tunatania? Pumbavu kabisa nyie.Jimbo la uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho....
naona umekuja kuandika upuuzi wako hapa.
Sasa Tanzania sio nchi?
Na kama uchaguzi haujafanyika, wanacholalamika upinzani ni nini? si wasubiri uchaguzi ufanyike basi.
Toa upumbavu wako huko.
Sijakalia kimya haki ya mtu yoyote, ndio maana nimemshauri mtoa mada asiishie hapa, coz yeye ni muhusika wa moja kwa moja, anaweza kushirikiana na upinzani kuwapa ushahidi utakao saidia kupata haki yao na sio kukaa kimya.
Nyie ndio mnataka akae kimya eti sabb ya maisha.
Ushauri tu; kama hujaelewa mtu anachomaanisha ni bora ukaa kimya.
Ndivyo akili yako finyu inavyokutuma kuamini hivyo siyo?Imeisha hiyoooooo. Tuliposema kuwa tunafuta upinzani wa kijinga mwaka huu wa 2020 mlidhani tunatania? Pumbavu kabisa nyie.
Kuna mahakama au shina la CCM?Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu.
Na hayo yote yanatokea kwanini nyinyi kama wasimamizi na mawakala mnakubari kama sio kushiriki kwenye dhurma? au hujapata mgao wako?
Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
Achana naye anaishi kwa shemeji yake, maumivu anayapata dada akeNdivyo akili yako finyu inavyokutuma kuamini hivyo siyo?
You are absolutely wrong..
Huwezi kumpoteza mtu fulani kwa kumnyang'any'a nguo zake za kuvaa na kutoka hapo ukishangilia kama juha kuwa "nimemuua huyo, nimemuua huyo" badala ummalize kabisa kwa risasi za SMG ama AK47...!
Mtu huyo ni wewe...
Nikishaelwa aina ya watu kama nyinyi huwa sipendi kujipotezea muda.Mkuu japo umesoma lakini elimu yako hhaijakusaidia. Unadhani kila anayechangia humu ni mwanachama wa vyama vya siasa?
Nimetoa mawazo yangu jinsi jamaa anavyoweza kusaidia kupatikana haki kwa upinzani. Unahisi akijificha ndio itasaidia?
Mwisho wa siku tunahitaji amani katika ngazi zote, kuanzia familia hadi taifa, na yeye nina imani anataka hilo. Mbowe na upinzani wanahitaji ushahidi, hata familia zetu wanahitaji.
unahisi taarifa hii itabadilisha maamuzi na kwamba mbowe wako ashinde ??? Nini faida ya uzi wako wakati huu?? Au unawafariji wenzako mkuu???
AchAna na mambo ya uchaguz yamepit.. chapa kazi tuijenge nchi
Ulivyoanza kwa thread kuiandika uthibitisho ni kama kweli uthibitisho wenye valid ushahidi kumbe ni imagination tu.
Watu walalamikaji ndiyo hivyo; matokeo yakichelewa watalalamika kuwa wasimamizi wanachakachua kura, yakitoka mapema pia watalamaiko hivyo hivyo. Unajuaje kuwa labda Jimbo la Hai lilikuwa na wafanya kazi wengi na wakamaliza mapema.Labda huna kumbukumbu..
Matokeo ya jimbo hili yametangazwa kati ya saa 8 na 9 usiku..!
Wizi ungekuwa umejificha kidogo kama wangetangaza ungalau saa 3 au 4 asubuhi kesho yake tarehe 29/10/2020..
Mchakato wa uchaguzi hauko guided na ukubwa ama udogo wa jimbo bali ni teknolojia ya ukusanyaji matokeo..
Kumbuka, sisi kila kitu ni kutumia mikono na kichwa. Kila hatua kazi inafanyika manually..
Narudia tena kusema, haiwezekani kazi ya kujumuisha matokeo kuanzia vituoni, katani na jimboni na kushughulikia migogoro ya kura zote ifanyike ndani ya masaa kati ya 6 hadi 8 kwa jimbo zima baada ya vituo vya kupigia kura kuwa vimefungwa..!!
Nasema tena HAIWEZEKANI bila kujali ukubwa ama udogo wa jimbo unless muamue kufanya udanganyifu na ofcoz ndicho kilichofanyika Hai na maeneo mengine na Tanzania nzima...!!!
Unaniuliza mimi kwa kutumia "phrase ya " umejuaje kwani...."Watu walalamikaji ndiyo hivyo; matokeo yakichelewa watalalamika kuwa wasimamizi wanachakachua kura, yakitoka mapema pia watalamaiko hivyo hivyo. Unajuaje kuwa labda Jimbo la Hai lilikuwa na wafanya kazi wengi na wakamaliza mapema. Muda gani yametangazwa siyo hoja kabisa. Jimbo la Hai halikulalamikiwa kuhusu mawakala, vituo vyote vilikuwa na mawakala wa CHADEMA pia lakaini hawajatoa malalamiko yoyote. Mbowe Mwenyewe akikaa kimya baada ya kushindwa wala hakutoa sababu yoyote ya kuchakachuliwa kura. Waliolalamika ni Mdee na Zitto tu.
Tume hata kama mbovu ndiyo inayohusika na uchaguzi, ulitaka waende bungeni kwa Ndugai?!Ni kweli mkuu, jamaa hawajui walitakalo na ukitoa ushauri unaonekana wewe ni ccm hata kama huna chama.
Ajabu ni kuwa, walitangaza maandamano kuelekea hadi ofisi za tume ili watoe malalamiko yao. Lakini ni tume hiyohiyo hawaitaki na kusema sio huru. Sasa, watakupokeaje wakati uwatambui?
Yaani nikutie ngumi, uumie then unaandamana kuja kwangu kunistakia kuwa nimekupiga ngumi. Wana akili kweli hawa kama sio kutaka kuleta vurugu tu.
Kama huiamini tume, yupo aliyeteuwa tume kwa sheria, mfuate huyo mwambie uliyemuweka hanipi haki yangu, ni mwonevu. Il tume ajitetee.