Case Study: Ni nadra sana kukuta kijana wa kiislam hajaoa lakini inazidi kuwa kawaida kumkuta kijana wa kikristo anakwepa ndoa, Nini chanzo ?

Case Study: Ni nadra sana kukuta kijana wa kiislam hajaoa lakini inazidi kuwa kawaida kumkuta kijana wa kikristo anakwepa ndoa, Nini chanzo ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Na hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.

Nikiangalia niliohitimu nao chuo degree, rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto huku suala la mahusiano wapo wanaoishi na wanawake bila ndoa wengine ni mwendo wa kubadili tu.

Shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.

Kuhusu suala la mahari nimeweka hayo makundi mawili kwa maksudi maan hawa wengi kwa hali zao za uchumi pesa ya mahari hata iwe milioni 3 si jambo la kuwaumiza vichwa , Katika shirika nalofanya ni karibu vijana 80% vijana wanabadili simu bei ghali tena ni za dukani, achana na hizi refurbished, wana magari yanayopiga mafuta, kutumia elf 50 kwa siku hasa wale wa viti virefu ni kawaida. Tukija kwa wale niliohitimu nao tukiachana na ambao uchumi wao ni wazi unasua sua wanaweza kujitetea, wapo walioajiriwa kwenye kazi zenye ulaji mrefu na wapo wafanyabiashara wanapiga deals nzuri tu, suala la mahari kwao haliwezi kuwaumiza vichwa lakini bado wanakwepa ndoa..
 
Kivumbi leo.Ni mlolongo tu wa mambo sasa mtu anataka mc awe GaraB hela zinatoka wapi .Nilimwambia mama G tunatoka na huu mtoko alinuna mwezi mzima.
Screenshot_20230516-131244.jpg
 
Na hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.

Uthibitisho wa nilichozungumzia nimeufanyia tafiti shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi ya tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa lakini bado kuna idadi si haba ya ambao wanakwepa ndoa, hawa baadhi wana watoto lakini wanakwepa ndoa, baadhi wana wanawake lakini wanakwepa ndoa.

Nikiangalia niliomaliza nao chuo hali ipo hivyo hivyo, vijana wote wa kiislam washaoa lakini huku kwa wakristo ni asilimia 40 tu waliooa na wengi wapo kwenye miaka 32 hadi 33 kwa sasa bila ndoa yoyote.
Wengi wao hawakwenda shule za juu, hivyo mila za kijadi na kidini zinatawala zaidi ,maisha na matendo yao kuliko modern form of life ....so to say westernised..... maisha yao wameyakabidhi kwa Allah! . Moslems their religion is quite internalised. Mfano madrasa mtoto akikosa kwenda anaweza kupigwa mpaka akafa, lkn hizi formal schooling asipokwenda huwa siyo hoja sana as long as amekwenda madrasa

The Arabic term islām, literally “surrender,” illuminates the fundamental religious idea of Islam—that the believer (called a Muslim, from the active particle of islām) accepts surrender to the will of Allah (in Arabic, Allāh: God)
 
Auislamu dini ya kukariri wamekariri kuoa
exactly, maisha yao yanaongozwa na utashi wadini na si uhuru binafsi wa kuamua. ndiyo maana hata Mtume (SAW) alioa mtoto wa miaka 6 kwa vile dini inaruhusu


Islam: Basic Principles and Characteristics​

It is a complete way of life and is present in every field of human existence. Islam provides guidance for all aspects of life - individual and social, material and moral, economic and political, legal and cultural, and national and international.

 
Na hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.

Nikiangalia niliomaliza nao chuo rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto na wanaishi na wengine wanaishi na wanawake ila wanakwepa ndoa.

shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.
Nini faida na hasara ya utafiti wako?
 
Na hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.

Nikiangalia niliomaliza nao chuo rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto na wanaishi na wengine wanaishi na wanawake ila wanakwepa ndoa.

shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.

Maamuzi
 
exactly, maisha yao yanaongozwa na utashi wadini na si uhuru binafsi wa kuamua. ndiyo maana hata Mtume (SAW) alioa mtoto wa miaka 9 kwa vile dini inaruhusu
Lakini tukija hata kwenye ndoa zetu tu hizi za kitamaduni, Kwetu waafrika tangu enzi za mababu zetu ndoa limekuwa ni jambo la heshima na hata wao walikuwa wanaoa wakiwa bado vijana,
 
Lakini tukija hata kwenye ndoa zetu tu hizi za kitamaduni, Kwetu waafrika tangu enzi za mababu zetu ndoa limekuwa ni jambo la heshima na hata wao walikuwa wanaoa wakiwa bado vijana,
Uko sahihi, lakini Waislamu hawajabadirika sana kama wakristo. Christians are westernized and slowly abandoning the traditional way of life compared to moselems.
 
Na hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.

Nikiangalia niliomaliza nao chuo rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto na wanaishi na wengine wanaishi na wanawake ila wanakwepa ndoa.

shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.

Suala nililoliona hapa ni kwamba kwa kukwepa ndoa kijana hadi anakuwa na miaka 32 amakuwa ni mzinifu aliekubuhu,
Kwani kuoa lazima?
 
Back
Top Bottom