CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Dini ni nini?
Niliwahi kukukaba kwenye uzi mmoja hivi unipe definition ya DINI ukala kona mazima mpaka leo.
Hukuthubutu kuweka definition ya neno Dini, na wavaa kobazi wenzako nao hawakuwa tayari kabisa kuweka definition ya neno Dini, wakala kona kama wewe.
Mbona unakimbia swali? [emoji1787]Kamusi tumia wewe usiyeelewa maana ya neno dini. Mimi naielewa maana ya neno dini lilipoanzia hilo neno dini. Kama ulikuwa huelewi, lipo wenye Qur'an ambayi ipo kwa miaka zaidi ya 1,400 leo.
Sasa hiyo kamusi yako ina miaka mingapi?
Kamusi tumia wewe usiyeelewa maana ya neno dini. Mimi naielewa maana ya neno dini lilipoanzia hilo neno dini. Kama ulikuwa huelewi, lipo wenye Qur'an ambayi ipo kwa miaka zaidi ya 1,400 leo.
Sasa hiyo kamusi yako ina miaka mingapi?
Mbona Hana matakoKivumbi leo.Ni mlolongo tu wa mambo sasa mtu anataka mc awe GaraB hela zinatoka wapi .Nilimwambia mama G tunatoka na huu mtoko alinuna mwezi mzima.View attachment 2623908
Soma uzi vizuri. Usikurupuke.Hawa wavaa kobazi wa mnyazi.
Ukiwauliza DINI ni nini wanakimbia.
Akilizao nawaonea sana huruma.
Jitu limama lilima limekazana DINI DINI.
Unaliuliza DINI ni Nini linakosa majibu.
Pitia uzi vizuri, jibu lipo.WEWE MBONA TUNAKUULIZA DINI NI NINI UNASHINDWA KUJIBU UNARUKARUKA KAMA MAHARAGE.
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????
Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.
HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا
[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
allah mwenyewe makazi yake ni motoni!
Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ " يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ. حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ".
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369
Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
Hawa ni wazee wa propaganda za kidini.Hawa wavaa kobazi wa mnyazi.
Ukiwauliza DINI ni nini wanakimbia.
Akilizao nawaonea sana huruma.
Jitu limama lilima limekazana DINI DINI.
Unaliuliza DINI ni Nini linakosa majibu.
Ni lijua tu huyu mpuuzi lazima ajitokeze na quotation za Quran asio zielewa.......msipoteze mda nae... "fikurubihim maradhuni fadhadahumu llahi maradhani....."WEWE MBONA TUNAKUULIZA DINI NI NINI UNASHINDWA KUJIBU UNARUKARUKA KAMA MAHARAGE.
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????
Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.
HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا
[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
allah mwenyewe makazi yake ni motoni!
Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ " يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ. حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ".
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369
Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
Ndio Mungu alivyomuumba.Mbona Hana matako
Kafiri ni mtu asiye na dini (Mpagani)... umemezeshwa mambo mabaya mpaka umekosa akili.1. Ndoa za Kikafiri ni pingu. Once ukiingia, kutoka kuna complications kishenzi!
2. Gharama gharama gharama. Kuanzia mahari, harusi yenyewe.
3. Uzinifu kwa kijana Kafiri ni kama kunywa maji tu.
Neno dini kwa Kiswahili linatokana na neno "din" kwa Kiarabu ambalo kwa Kiswahili huwezi kulitagsiri kwa neno moja, kwa kulifafanua lina maanisha "njia ya mfumo wa maisha".
Dini ni njia ya kweli au imani inayokufanya uitumie kupitia katika kumuabudu Mungu wako wa kweli,Hawa wavaa kobazi wa mnyazi.
Ukiwauliza DINI ni nini wanakimbia.
Akilizao nawaonea sana huruma.
Jitu limama lilima limekazana DINI DINI.
Unaliuliza DINI ni Nini linakosa majibu.
Dini ni njia ya kweli au imani inayokufanya uitumie kupitia katika kumuabudu Mungu wako wa kweli,
Maana yake siyo kwamba Dini zote ni za kweli,kunazingine unaweza ukazani unamuabudu Mungu wako,kumbe unakufulu,mfano kusema Yesu ni Mwana wa Mungu au Mungu,Lakini unaweza kuifuata Dini inayosema Yesu ni Nabii na Mtume wa Mwenyezi Mungu,kama Mitume wengine Mfano Ibrahimu,Daudi,Musa Mtume Muhammad (S.A.W)na mitume wengine waliotangulia,na hakuna Mtume Mwingine baada ya Mtume Muhammad,Yaani huyu ndiye wa mwisho wa umma huu,kila mtu inabidi amfuate yeye,ingawa hulazimishwi
Na milioni 3 hiyo, unakuta mwanamke mwenyewe ana mtoto wa nje.Kinachokwamisha vijana wa kikristo kuoa ni mahari tu unaambiwa simple tu utoe mahari mil 3 ?
Kwa waislamu elfu 50 tu unachukua jiko
Ahahaha Dah Bwana Aboubakar!!Punguza machungu kwanza na hii kitu.View attachment 2624027
Dini ni njia ya kweli au imani inayokufanya uitumie kupitia katika kumuabudu Mungu wako wa kweli,
Maana yake siyo kwamba Dini zote ni za kweli,kunazingine unaweza ukazani unamuabudu Mungu wako,kumbe unakufulu,mfano kusema Yesu ni Mwana wa Mungu au Mungu,Lakini unaweza kuifuata Dini inayosema Yesu ni Nabii na Mtume wa Mwenyezi Mungu,kama Mitume wengine Mfano Ibrahimu,Daudi,Musa Mtume Muhammad (S.A.W)na mitume wengine waliotangulia,na hakuna Mtume Mwingine baada ya Mtume Muhammad,Yaani huyu ndiye wa mwisho wa umma huu,kila mtu inabidi amfuate yeye,ingawa hulazimishwi
Na Bi Khadija mke wa Muhammed ndio MTU wa kwanza kuwa Muislam!!Amini upendavyo, Uislam upo kabla ya Adam kuwepo.
Kwa hiyo unachokijuaga wewe ni huo uongo uliokalilishwa?lbda tukusaidie ukweli utaujua mwenyewe siku utakapoingizwa kaburini,na utakuwa huna mda tena wa kuomba kuludi duniani kuja kujifunza,QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.
QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN
1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????
2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????
JIBU NI SHETANI.
SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
MASHARTI YA NDOA ZA WAKRISTO NI MSALA.MANZI AKIINGIA NDANI KABLA HAJASOMEKA VIZURI UMEISHA JOMBAANa hapa nazungumzia hasa vijana wa chini ya miaka 30 ambao ni umri uliozoeleka kwa kijana kuoa na kupata mtoto ndani ya ndoa.
Nikiangalia niliohitimu nao chuo degree, rika letu kwa sasa ni miaka 32 hadi 33, vijana wote wa kiislam walishaoa mapema kabla hawajavuka miaka 28, huku kwa wakristo hadi sasa ni asilimia 50 tu waliooa, wasio na ndoa wapo wenye watoto huku kwenye suala la mahusiano kubadili wanawake kwao ni kula ujana.
Shirika nililoajiriwa huwa kuna muda nasupervise matawi tofauti tofauti hata ya mikoa ya karibu, imekuwa ni kawaida sana kukuta vijana wa kiislam kuwakuta tayari wameshaoa lakini kwa upande wa vijana wa kikristo utawakuta waliooa ni watano kato ya kumi.