BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Kwa sababu Ukristo wa Zama hizi ni ukafiri Kwa 90%
ushoga upo sana kwenye jamii za kiislam jaribu kufanya tafiti mikoa ya tanga,mombasa,lamu.zanziba nkUkubali na ushoga basi kama hao Western ndio miungu yako unayoifuata inachokifanya,
Wewe itakua kipa katoka sio bure,maana unahara hovyo kama Bata,umeirukia thd kwa chuki ya udini,
Punguza mihemko binti.
wewe huna tatizo. Tatizo ni yule unayemfuata. Acha niishie hapa ingawa inakera sana kumwita mtu kafiri wakati hata maana ya ukafiri/kafiri huijui.1. Ndoa za Kikafiri ni pingu. Once ukiingia, kutoka kuna complications kishenzi!
2. Gharama gharama gharama. Kuanzia mahari, harusi yenyewe.
3. Uzinifu kwa kijana Kafiri ni kama kunywa maji tu.
Unajua kwa karne ya leo,usipende kukiuliza kitu kama vile mtoto mdogo,kiuulize kwa mapana zaidi na yenye faida yakeMTUME WA MUNGU anaweza akaona mtoto wa MIAKA sita???????
Sijui wewe uliyeuliza hili swali ni Mume au Mke,ngoja tukupe hekima yake,aliyetuumba ni Mungu,na ndiye anayetuamuru tuoa hao wanawake maana anatujua vizuriHivi bado mnajidanganya mwanamme mmoja kuoa wanawake wanne 4.
Wakati Mwanmke mmoja ana nguvu mara 10 kwa mwanamme mmoja.
Jibu mnalo.
Umeelewa nilichokiandika?ushoga upo sana kwenye jamii za kiislam jaribu kufanya tafiti mikoa ya tanga,mombasa,lamu.zanziba nk
Huyu ndio aliokuwa anampiga makofi Mudi? na kumpelekesha?Unajua kwa karne ya leo,usipende kukiuliza kitu kama vile mtoto mdogo,kiuulize kwa mapana zaidi na yenye faida yake
Kwanza nataka kukupa somo la ndoa,Tumeambiwa tuowe wanawake ambao wako tayali kwa kuingiliwa,Maama yake, amevunja ungo,huambatana na matiti ya kunyonyesha,Sasa mtume Muhammad(S.A.W)alimuowa bi Aisha,mtoto wa rafiki yake Abubakar akiwa Makka,akiwa mdogo,na Uisilamu unaruhusu,akaenda kuanza kumuingilia Madina akiwa ameshafikisha hiyo stage. Siyo miaka 18 huo ni ujinga tuliorisishwa na wazungu, na huyo bi Aisha ndiye mwenye Elimu kubwa kuliko wanawake wote wa Kiisilamu,hadithi myingi zimetoka kwake sababu ameolewa akiwa bado mdogo na Mtume Muhammad na amekufa akiwa na miaka mingi,sasa wewe kuanzia leo kama unasoma hadithi za kiisilamu sijui kama za mjinga mmoja humu anasemaga sijui Mtume Muhammad alifanya nini kwa muzihaki,siyo kila mtu anayajua maisha yake,huyu mama ndiyo anayajua maisha yake vizuri kabisa
iko hivi, labda nikuulize, hujawahi kusoma kitabu chochote kile kinachoeleza mazuri ya Mtume Muhammad(S.A.W) ukalinganisha na hicho ulichokisoma,
Kwa akili yako ya kijinga,kaka alikuwa anakunywa pombe,mbona Uisilamu unakataza,
Naamini kwa dunia ya leo ukitaka kuutafuta ukweli wa mtu utaupata,
Sasa mimi nakwambia nena kasoma hiki kitabu kinaitwa Historia ya Uisilamu isram org, utazipata hadithi za Uisilam kwa waisilamu wenyewe
Lakini angalizo inategemeana na elimu yako muhusika,Kama kweli utasoma naamini haya uliyoyaandika hutakuja tena kuyaandika
Ebu elezea vizuri, hili jukwaa linasomwa na watu wengi tofauti na wenye elimu tofauti, ambao wako tayali kuelekezwa, Sasa sijui kama,ukiandika kitu, ukaona kama watu wote wanaakili au ueleo kama wako, ni ngumu kukuelewaHuyu ndio aliokuwa anampiga makofi Mudi? na kumpelekesha?
Watanzania tuna udini sana hatuna tofauti na Chad au Nigeria,Kiukweli wazungu na Waarabu wametuweza kwenye huu Utapeli wao wa dini.
Wewe ndugu yangu tena hilo jina la mkoa wa kaskazini mwa Mozambique umelikosea kuandika haliandikwi hivyo, andika CABO, pili nimeshakupa kitabu cha kusoma, naamini ungetulia ukasome utapata ukweli woteKwahiyo ahadi ya mito Ya ulevi pombe na ma bikra 70 ni Uongo???......
SHETANI Hana zuri
Hatuna jinsi aliyetuumba ndiyo ametaka hivyoWatanzania tuna udini sana hatuna tofauti na Chad au Nigeria,
Ni ujinga na upumbavu mtupu.Watanzania tuna udini sana hatuna tofauti na Chad au Nigeria,
Muhimu si lazima, mimi nimeuliza kama ni lazima.Ni muhimu brother Kiranga. Ingawa si kwa kila mtu.
Bibi kumbe una mdomo mchafu [emoji53][emoji53]Kwa nafundisho ya Kiislam,
Kwanini unatafuna maneno? Si useme tu unataka uolewe wewe.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hawa wadau wanazuga utakatifu lkn in real sense hawapo hvo[emoji848][emoji848]Kuna Moja nlikuwa namsafirisha nachill nae kama wiki then Nampa nauli anarudi anakokaa, huyo akiskia adhana kama unamla anasema tulia kwanza ikiisha unaendelea kupeleka moto
Unazipenda hizo imani za waarabuAmini upendavyo, Uislam upo kabla ya Adam kuwepo.
Unazipenda hizo imani za waarabu