Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia

Cassie amfungulia mashtaka Diddy yakiwemo madai ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia

Mara wadai jamaa ni shoga.

Anyway, kuanzia 2010 mpaka sasa watu weusi mashughuli wamekua wakishambuliwa sana na mashtaka ni ubakaji na unyanyasaji.

Cassie hataki jamaa ashtakiwe akutwe na hatia na kufungwa ila anataka dola milioni 30.

Nenda kwenye mpira, golf, uigizaji n.k kote huko watu weusi wameshtakiwa na sisemi kwamba hawana hatia maana kwa baadhi yao tumeshuhudia mpaka videos ila nafikiri uchuguzi uwe wa kina usiendeshwe na bias.
 
Mara wadai jamaa ni shoga.

Anyway, kuanzia 2010 mpaka sasa watu weusi mashughuli wamekua wakishambuliwa sana na mashtaka ni ubakaji na unyanyasaji.

Cassie hataki jamaa ashtakiwe akutwe na hatia na kufungwa ila anataka dola milioni 30.

Nenda kwenye mpira, golf, uigizaji n.k kote huko watu weusi wameshtakiwa na sisemi kwamba hawana hatia maana kwa baadhi yao tumeshuhudia mpaka videos ila nafikiri uchuguzi uwe wa kina usiendeshwe na bias.
Your opinion doesnt matter in the US.
 
Back
Top Bottom