Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Dikteta no 1 mbona kafa?Endeleeni na kejeli zenu wakati dj analala sakafuni😆😆😆😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dikteta no 1 mbona kafa?Endeleeni na kejeli zenu wakati dj analala sakafuni😆😆😆😁😁😁
Hatari sana polisi wa CCMHoja ipi ya kupambana na mafisadi? Unadhani kuna mtu ana ubavu wa kugombana na vyombo vya dola? Tuonyeshe humu lini Chadema wameshambulia kwa vitendo? Lini wamevamia vituo vya polisi? Lini wamewaweka ndani wawakilishi wa vyombo vya dola? Ugomvi huo unaozungumzia ni wa upande mmoja. Hao unaowataka watumie hoja ndio hao wanaoshinda mitandaoni kuelezea misimamo yao badala ya kubeba silaha kulazimisha watu wawaunge mkono. Na mbaya zaidi sasa hamtaki hata kuwapa nafasi ya kusimamama hadharani kuwaelezea wananchi kuhusu sera zao. Sio tu hadharani, hawaruhusiwi hata kukutana wenyewe kuzugumzia maswala yao.
Dr Slaa alivumiliwa na hakupitia nusu ya matatizo wanayopitia aliowaachia chama. Msimpe u martyr ambao sio wake.
Amandla...
Hata Yesu, Muhammad, Confucius, Buddha wote walikufa...kama vile wewe utakavyokufaDikteta no 1 mbona kafa?
Kamanda umefika kisutu leo???una dalili zote za umasikini wa akili na pesa , pole sana , mpaji ni Mungu
Nitakufa kwa heshima watu watasikitika lakini siyo kushangilia kifo changuHata Yesu, Muhammad, Confucius, Buddha wote walikufa...kama vile wewe utakavyokufa
Amekufa mwezi wa tatu tunategemea mwezi wa tisa arejee hapo vp!Dikteta no 1 mbona kafa?
Ni miaka mingi sasa tangu zionekane...Hizo nguvu za Dr. Slaa, Mkuu.
Amandla...
SawaAmekufa mwezi wa tatu tunategemea mwezi wa tisa arejee hapo vp!
kitu cha ajabu nilichokiona ni kwamba, badala ya kuwa wapole na kuomba maridhiano, wao wamekimbilia ubalozi wa marekani wanaamini hao ndio wanaweza kuwakomboa, kumbe hao ndio huwa wanawatuma. hii nchi ni ya kwenu, msiwe vibaraka wa watu wanaotamani sikku zote msiendelee kama wao. Mmarekani kaja na bado mnakamatwa, kumbe hii nchi haishurutishwi na marekani, hilo hamkulijua? manake mmarekani alipokuja juzi utafikiri walipewa maji ya baridii wakajua mkombozi wao kaja, hahaha. tafuteni suluhu na muache kudharau mamlaka, mmekuja kwa dharau sana kwa Samia na asingewaonyesha makali mngemsumbua sana. kuna makosa mengi mmeyafanya, naamini majalada mengi tu na walikuwa hawataki kuwashitaki, ila ukiona nyumba yako ya vioo usianzishe ugomvi wa kurushiana mawe. wewe ndio utaumia, labda uombe poo, hata ukikimbilia kwa jirani aje akusaidie kurusha mawe wewe nyumba yako ndio itapopolewa sio ile ya jirani. ushauri wa bure huu.Hawa wamekamatwa leo Katika viunga vya Mahakama ya Kisutu walipofika kuhudhuria kesi ya Mwenyekiti wa Chama chao , aliyeshitakiwa kwa kesi za uongo ili kumkomoa kutokana na kupigania haki nchini Tanzania, ikiwemo Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Sikuwepo ndio maana naomba unielimishe isije ikawa simtendei haki.Ni miaka mingi sasa tangu zionekane...
Sijui kama ulikuepo mkuu.
Nakosa maneno mazuri ya kukuelezea ila...Sikuwepo ndio maana naomba unielimishe isije ikawa simtendei haki.
Amandla...
Huyu mama kwa matukio ya haya anaendelea kumpaisha Mbowe na Chadema kwa ujumla ccm inahangaika na kila mchadema hofu imewajaa.Maisha yanaenda kasi sana
Nikiangalia yale 'Mafuriko' ya jana na leo kisutu nalinganisha na matukio kama haya 2015 naamini kweli Watanzania wamechoka kweli kweli
Kukamatwa na polisi ni CV kubwa huko chadomo, uharifu ni witoHawa wamekamatwa leo Katika viunga vya Mahakama ya Kisutu walipofika kuhudhuria kesi ya Mwenyekiti wa Chama chao , aliyeshitakiwa kwa kesi za uongo ili kumkomoa kutokana na kupigania haki nchini Tanzania, ikiwemo Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Jaribu tuu Mkuu. Unaweza kuanza na ilikuwa na wabunge wangapi. Hoja walizoibua bungeni n.k.Nakosa maneno mazuri ya kukuelezea ila...
Nakuhakikishia Chadema haikuwahi kua imara kama kipindi hicho mkuu...
Mahabusu wote wako sawa gerezani kama walivyo sawa mbele ya sheria. Hakuna aliye juu ya sheria. Kama ni kulala sakafuni mkiwa mmesongamana ni wote. Hakuna grade one au vip kwenye mahabusu za magereza yetu.The so called Gaidi yuko level ingine kabisa hawezi lala sakafuni
Wadanganye wajinga , sasa Dr Slaa si yuko ccm , kwanini ccm inazidi kutegemea polisi ?Nakosa maneno mazuri ya kukuelezea ila...
Nakuhakikishia Chadema haikuwahi kua imara kama kipindi hicho mkuu...
Hao akina mama watakaporudi nyumbani kwao talaka zinawasubiri mlangoni lazima.Hawa wamekamatwa leo Katika viunga vya Mahakama ya Kisutu walipofika kuhudhuria kesi ya Mwenyekiti wa Chama chao , aliyeshitakiwa kwa kesi za uongo ili kumkomoa kutokana na kupigania haki nchini Tanzania, ikiwemo Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
The so called Gaidi yuko level ingine kabisa hawezi lala sakafuni