Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
HOFU YA GEN-Z YAWAKUMBA WATAWALA AFRICA
Wachambuzi wa siasa wanasema mengi yamebadilika tangu vijana wa Kenya waanze maandamano ya kupinga utawala mbaya na ufisadi.
wanasiasa sasa kote Africa wanajitahidi kuanza kukubali utawala bora sasa na wa haki kwa kasi kubwa kuliko kwa hofu ya nchi zao kukumbwa na wimbi la vijana wa GEN-Z walioamua kuchukua hatima ya maisha yao mikononi mwao badala ya kusubiri hisani kutoka kwa watawala wa kizazi kilichopita wasiojua mahitaji ya vijana ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=YioScPOa4LA
SHITHOLE COUNTRIES ARE NOT FOR COPYING! ... LET THEM BURN WHILE WE BASK IN THE HEAT!
😅 NB: ... IF YOU WANT THAT SHIT, JUST GO TO KENYA FOR IT!