CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan iko imara kuliko kipindi chochote

CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan iko imara kuliko kipindi chochote

Mkuu Amini nakwambia, kama Wapinzani watashindwa kufanya siasa kipindi hiki basi ni bora kuwa na mfumo wa Chama kimoja, mnyonge myongeni ila haki yake mpeni, Mama Samia ametengeneza neutral ground katika nyanja ya siasa ndani ya mwaka mmoja...Ndugu yetu Mbowe alienda kwenye kongamano Iringa hakuna aliyemzuia..
Kwanini unaona kama alipendelewa kutozuiliwa? kwanini unaona kama ni privelege kapewa kutozuiliwa kuhudhuria kongamano Iringa?
 
Kwanini unaona kama alipendelewa kutozuiliwa? kwanini unaona kama ni privelege kapewa kutozuiliwa kuhudhuria kongamano Iringa?
Hapana sijasema kama alipendelewa au it was kind of privilege...ninachosema hakuna kiongozi wa Chama rafiki(Ambao nyie mnajiita Wapinzani) anayeweza kubughudhiwa kwa kutekeleza kazi zake za Chama chake kama amaefuta taratibu, kanuni na Sheria zilizopo
 
CCM ilikuwa ife 2015, kipindi kile hata ukivaa nguo ya CCM unapigwa mawe na kuzomewa.

Bahati nzuri wakamteua Magufuli, ikabidi atumie brand yake ya uchapakazi kuinusuru.

Huyu aliiheshimisha CCM. Akaachana na mafisadi na wauza madawa ya kulevya. CCM tena ikaanza kuaminika na kuwa na mvuto.

Ametoka Magufuli akaingia mama. Anakumbatiana na walewale waliotaka kuiua CCM 2015. CCM inapoteza mvuto kwa kasi ya ajabu.

Ni vile hatuna tu upinzani wa kweli, waliopo ni wachumia tumbo. Otherwise come 2025 CCM ingetoka madarakani!
Huu ndo ukweli mtupu,wamekalia kuona wao ndo wamekikuza chama wanasahau kwamba kuna watu wamepambana 2015 hadi 2020..
 
Huu ndo ukweli mtupu,wamekalia kuona wao ndo wamekikuza chama wanasahau kwamba kuna watu wamepambana 2015 hadi 2020..
Kila mtu anathaminiwa kwa kile alichokifanya kwa wakati wake, sasa tusiwape heshima yao watu wanaofanya vizuri sasa kwa kuwa kuna watu walifanya vizuri 2015 hadi 2020?
 
Back
Top Bottom