CCM class of 2015 (Wagombea Urais) tumepoteza top 3 yote

CCM class of 2015 (Wagombea Urais) tumepoteza top 3 yote

Iyo ni nadhalia tu yumkini rais angekuwa Membe bado angekuwepo mpaka leo na kutoboa mpka muda wake ufike wakustaafu team msoga yule
 
Inatakiwa sasa marais wawe na umri chini ya miaka 40.
View attachment 2899887
Huduma za afya kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi ni mbovu nchini Tanzania, hivyo umri wa juu kabisa kwa mtia nia kuwa mgombea urais mwenye afya nzuri ya mwili na akili mwisho miaka 50.

Mgombea atakiwe kupitia ukaguzi wa afya kama vile mchezaji Professional anapitakiwa kusajiliwa. Hii ni muhimu na zoezi liwe la wazi mbele ya umma kupimwa magonjwa yasiyo ambukizi kama pressure, pumzi ya kukimbia ktk tread mill, kuzungumza lugha ngeni n.k

Nawasilisha hoja.
Si kweli Magufuli hakuishi kwa sababu hakuwa Puppet, Lowasa kufika hadi jana ni kwa sababu hakuwa rais na alionekana si tishio.

kati ya mwaka 2012 hadi 2014 Lowassa alianza kuonekana na aina ya ugonjwa unaitwa Parkinson's


Kwa msaada wa Google

What causes the loss of nerve cells?​

It's not known why the loss of nerve cells associated with Parkinson's disease occurs, although research is ongoing to identify potential causes.

Currently, it's believed a combination of genetic changes and environmental factors may be responsible for the condition.

Genetics​

A number of genetic factors have been shown to increase a person's risk of developing Parkinson's disease, although exactly how these make some people more susceptible to the condition is unclear.

Parkinson's disease can run in families as a result of faulty genes being passed to a child by their parents. But it's rare for the disease to be inherited this way.

Environmental factors​

Some researchers also feel environmental factors may increase a person's risk of developing Parkinson's disease.

It's been suggested that pesticides and herbicides used in farming and traffic or industrial pollution may contribute to the condition.

But the evidence linking environmental factors to Parkinson's disease is inconclusive.

Lowassa Mwenye nguvu na hali ilimchukua muda mfupi sana kuonesha dalili na kuwa mgonjwa kwa hiyo hili suala in terms of Genetic tuliangalie kwenye Familia yake kama lipo (Mtoto wa Lowassa ana haiba ya Udhaifu, ila hajafikia hatua ya kutetemeka)

Tunabaki na sababu ya pili (Enviromental factors) kwa haraka ambayo wataalam wanasema kuwa exposure to metals kama Mercury na manganese zinaweza kusababisha hali ya kutetemeka aliyokuwa nayo Lowassa

Maneno ya wataalam
Fumes from welding create a toxic source of manganese toxins. High concentrations of manganese become trapped in the brain cells and are practically impossible to release from the brain tissues using standard detox practices.

Kuna sumu zingine kama Mercury, dawa za wadudu na mimea hata dawa za kufulia huweza sababisha huu ugonjwa lakini wataalam wanasema kwa level ndogo/kawaida ya hizi sumu huchukua miongo kuonesha dalili, imagine Lowassa alikuwa anapitia changamoto gani.
Exposure to Metals - Parkinson’s Care and Support UK

Hakuna kazi ya Hatari kama Siasa.
 
Hiki kitu nilifikiria leo jioni, inashangaza na kufikirisha.
 
Kwahyo kipara nae ajiandae kisaikolojia au, manake baba ake kasema teyari wazuri hawafi
Inategemea na harakati zake.

Mtu ninayemuonea Huruma ni Makonda, Yule Bashungwa.

Mwigulu simuamini sana, inawezekana akawa ni mtu hatari sana
 
Wagombea urais wote wenye nguvu 2015 top 3 wote wameondoka. Haijalishi unatumia vigezo gani lakini top 3 ya wagombea urais CCM 2015 bado itabaki kuwa Lowassa, Magufuli na Membe.
Kwa maana hiyo angechaguliwa yoyote kati yao basi hamna ambaye angetoboa miaka 10.
Mkuu,

Hujafikiria kuwa ukichukua matokeo tofauti na maisha yanaweza kubadilika huko mbele?

Vipi kama Lowassa angechaguliwa rais na hilo lingesababisha msururu wa mambo ambao ungefanya wote watatu wawepo wanaishi bado?

Ila miaka hii ya karibuni wazee wamefululiza kuondoka.

Yani mpaka tunajistukia hawa wanaondoka sisi ndiyo tunakuwa wazee sasa.
 
Mkuu,

Hujafikiria kuwa ukichukua matokeo tofauti na maisha yanaweza kubadilika huko mbele?

Vipi kama Lowassa angechaguliwa rais na hilo lingesababisha msururu wa mambo ambao ungefanya wote watatu wawepo wanaishi bado?
Lowassa alikuwa anakufa, option kwake zilikuwa mbili akose uraisi apate muda wa kuondoa sumu akizeeka au vinginevyo.


Si kila kifo Mungu hupanga
 
Lowassa alikuwa anakufa, option kwake zilikuwa mbili akose uraisi apate muda wa kuondoa sumu akizeeka au vinginevyo.


Si kila kifo Mungu hupanga
Swali langu naona hujalielewa, in any case, hujalijibu.

Inawezekana swali lipo ki dhahania na ki science fiction/ many worlds theory zaidi na wewe labda hujui mambo hayo.

Kuhusu Mungu, hakuna kifo Mungu anapanga, kwa sababu Mungu hayupo.
 
Hata 2025 hatujui nini kinafuata, huenda walipangalo "white-gheto" silo litakalo tokea, nyakati zinabadirika, kuna kufeli mipango, kuna..... au acha tu basi[emoji28][emoji28].

Sema nini wanasiasa wajichunguze na wasijipe imani kwa mambo wasiyokuwa na uhakika nayo, kuna Vifo, plan kufeli, usaliti, na , sintofahamu la kutokea kwa wasilotarajia.

Ngoja tuone[emoji28].
 
Yule bibi mwaka kesho atatimiza miaka 65,akipewa uraisi kuelekea 2030 hapo katikati tutakula pilau Zanzibar.
Kristo katika biblia anasema, kesheni kwa kuwa hamjui siku wala saa. Hivyo hakuna ajuaye nani atakufa lini. Ndiyo maana kila siku wanaonekana wazima, vijana, wenye nguvu, wanakufa huku wakiwaacha baadhi ya wagonjwa wakiwa taabani vitandani, na baadhi yao huamka na kuendelea kuishi.

Hata Lowasa, wapo wengi mlitabiria kifo miaka mingi iliyopita kutokana na tatizo lake la afya, lakini Mungu aluwachukua wote kabla ya Lowasa.

Poleni sana wanafamilia wa Edward Lowasa. Tunaomba Mungu amjalie pumzime jema la milele kwenye ufalme wake.
 
Swala la Afya na umri ni muhimu kuzingatiwa

Hapa Africa lifestyle yetu inafanya MTU mwenye age 60+yrs kuonekana amechoka Sana. Tofauti na wazungu.
 
Kristo katika biblia anasema, kesheni kwa kuwa hamjui siku wala saa. Hivyo hakuna ajuaye nani atakufa lini. Ndiyo maana kila siku wanaonekana wazima, vijana, wenye nguvu, wanakufa huku wakiwaacha baadhi ya wagonjwa wakiwa taabani vitandani, na baadhi yao huamka na kuendelea kuishi.

Hata Lowasa, wapo wengi mlitabiria kifo miaka mingi iliyopita kutokana na tatizo lake la afya, lakini Mungu aluwachukua wote kabla ya Lowasa.

Poleni sana wanafamilia wa Edward Lowasa. Tunaomba Mungu amjalie pumzime jema la milele kwenye ufalme wake.
Upo sahihi , lowassa kufariki na 70 yrs ni umri sahihi kwake
 
Maneno ya wataalam
Fumes from welding create a toxic source of manganese toxins. High concentrations of manganese become trapped in the brain cells and are practically impossible to release from the brain tissues using standard detox practices.

Kuna sumu zingine kama Mercury, dawa za wadudu na mimea hata dawa za kufulia huweza sababisha huu ugonjwa lakini wataalam wanasema kwa level ndogo/kawaida ya hizi sumu huchukua miongo kuonesha dalili, imagine Lowassa alikuwa anapitia changamoto gani.

Naona tunakubaliana kuhusu suala la kupambana na magonjwa yasiyoambukiza.
 
Back
Top Bottom