CCM ikitaka kupata Airtime ya kutosha iwanunue Mbowe, Mnyika na Tundu Lissu hawa mnaowanunua mtafirisika bila mafanikio

CCM ikitaka kupata Airtime ya kutosha iwanunue Mbowe, Mnyika na Tundu Lissu hawa mnaowanunua mtafirisika bila mafanikio

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakati wa biashara ya Meya wa Arusha Mjini Humphrey Pole pole aliyataja baadhi ya Magazeti kuwa ni kikwazo cha. Habari ile kuvuma nchi nzima, yaani Pole pole alitaka kuhama kwa Kalist iwe ndio habari kubwa kwenye magazeti ya siku ile , baada ya habari ile kudoda akashambulia magazeti .

Sasa nampelekea ujumbe kwamba , ili Magazeti yaandike habari kama anavyotaka yeye basi afanye hivi , awanunue Lissu , Mnyika na Mbowe , akifanikiwa kununua hawa basi habari yake itaandikwa dunia nzima tena kwa miezi 6 mfululizo , lakini kuwanunua watu duni ambao chadema ilishawabwaga kama Dr Mashinji na Cecil Mwambe kila mara utaendelea kushutumu magazeti .
 
Ilitakiwa viongozi wote wa upinzani (Zitto, Mbowe, Maalim Seif, Lipumba, Mnyika, Haji Duni, Sugu, Professa Jay, Ado Shaibu, Abdul Nondo, Lissu, Halima Mdee, Ester Matiku, Ester Bulaya, Mbunge Bwege na wengine wote) wahamie CCM kwa pamoja, kuanzia ngazi za taifa mpaka vitongoji na mitaa, tena kwa kushtukiza.

Nina uhakika CCM wenyewe wangeogopa.
 
Ilitakiwa viongozi wote wa upinzani (Zitto, Mbowe, Maalim Seif, Lipumba, Mnyika, Haji Duni, Ado Shaibu, Abdul Nondo, Lissu, Halima Mdee, Ester Matiku, Ester Bulaya, Mbunge Bwege na wengine wote) wahamie CCM kwa pamoja, kuanzia ngazi za taifa mpaka vitongoji na mitaa, tena kwa kushtukiza.

Nina uhakika CCM wenyewe wangeogopa.
Tena wahame pamoja na wanachama wao wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiangalia kwa jicho la tatu


Chadema inahitaji kujijenga upya

Maana mambo mengi yanaenda tofaut na mipango yao


Wanahitaji kujua chama kiko katika mpito wa kisiasa ndani ya chama


Na kinahitaji kujua wapi ni wetu wapi Sio wetu
 
Mimi nilishauri Chadema waajiri HR mzuri atawapa tactic ya kuretain members wake..lol
 
Hilo "Dar-ngu-low" wote mna price tags ni suala la muda na dau tu.

Kama mnatuambia Slaa naye alifika bei,hao wana kipi cha ziada?

Lissu na Mnyika hawawezi kuwa lapdogs wa Mbowe milele!
 
Huyo Abdul nondo ni kiongozi wa chama gani
Ilitakiwa viongozi wote wa upinzani (Zitto, Mbowe, Maalim Seif, Lipumba, Mnyika, Haji Duni, Ado Shaibu, Abdul Nondo, Lissu, Halima Mdee, Ester Matiku, Ester Bulaya, Mbunge Bwege na wengine wote) wahamie CCM kwa pamoja, kuanzia ngazi za taifa mpaka vitongoji na mitaa, tena kwa kushtukiza.

Nina uhakika CCM wenyewe wangeogopa.
 
Kwa upande wangu simwamini mwanasiasa yeyote. Kwa maana hiyo yeyote yule anaweza akaamua kuhama wakati wowote kadri anavyojisikia tena bila kujali chochote.
 
Back
Top Bottom