CCM ikitaka kupata Airtime ya kutosha iwanunue Mbowe, Mnyika na Tundu Lissu hawa mnaowanunua mtafirisika bila mafanikio

CCM ikitaka kupata Airtime ya kutosha iwanunue Mbowe, Mnyika na Tundu Lissu hawa mnaowanunua mtafirisika bila mafanikio

Kwa upande wangu simwamini mwanasiasa yeyote. Kwa maana hiyo yeyote yule anaweza akaamua kuhama wakati wowote kadri anavyojisikia tena bila kujali chochote.
Sasa hawa ccm wanatakiwa wanaponunua mtu basi wanunue mwenye ushawishi
 
Wakati wa biashara ya Meya wa Arusha Mjini Humphrey Pole pole aliyataja baadhi ya Magazeti kuwa ni kikwazo cha
habari ile kuvuma nchi nzima , yaani Pole pole alitaka kuhama kwa Kalist iwe ndio habari kubwa kwenye magazeti ya siku ile , baada ya habari ile kudoda akashambulia magazeti .

Sasa nampelekea ujumbe kwamba , ili Magazeti yaandike habari kama anavyotaka yeye basi afanye hivi , awanunue Lissu , Mnyika na Mbowe , akifanikiwa kununua hawa basi habari yake itaandikwa dunia nzima tena kwa miezi 6 mfululizo , lakini kuwanunua watu duni ambao chadema ilishawabwaga kama Dr Mashinji na Cecil Mwambe kila mara utaendelea kushutumu magazeti .
Na Mdee, na wengine
 
Unamkaribisha katibu mkuu wa upinzani aliyepigwa chini wakati huo huo unawatuhumu na kuwatisha Makatibu wako wakuu wastaafu waliokulea wewe mwenyewe na wakakupigia debe. Kwa style hii huyu mtu si wa kumuamini hata kidogo. Hizi si akili za kawaida bali ni kukosa radhi huko!
 
Mwanasiasa sio mtu wa kuamini hata kama ni mzazi wako.
 
Unamkaribisha katibu mkuu wa upinzani aliyepigwa chini wakati huo huo unawatuhumu na kuwatisha Makatibu wako wakuu wastaafu waliokulea wewe mwenyewe na wakakupigia debe. Kwa style hii huyu mtu si wa kumuamini hata kidogo. Hizi si akili za kawaida bali ni kukosa radhi huko!
Hivi siku 7 bado.....tupate mrejesho wa matokeo ya yale mahojiano...pale Lumumba.
 
Wakati wa biashara ya Meya wa Arusha Mjini Humphrey Pole pole aliyataja baadhi ya Magazeti kuwa ni kikwazo cha. Habari ile kuvuma nchi nzima, yaani Pole pole alitaka kuhama kwa Kalist iwe ndio habari kubwa kwenye magazeti ya siku ile , baada ya habari ile kudoda akashambulia magazeti .

Sasa nampelekea ujumbe kwamba , ili Magazeti yaandike habari kama anavyotaka yeye basi afanye hivi , awanunue Lissu , Mnyika na Mbowe , akifanikiwa kununua hawa basi habari yake itaandikwa dunia nzima tena kwa miezi 6 mfululizo , lakini kuwanunua watu duni ambao chadema ilishawabwaga kama Dr Mashinji na Cecil Mwambe kila mara utaendelea kushutumu magazeti .
Tutafilisika tutakapo kosa kodi zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeyeto aliyeumizwa hawezi unga juhudi isipokuwa walioletwa na upepo wa kisurisuri wa Lowasa wote watarudi au washarudi
 
Kwa
Wakati wa biashara ya Meya wa Arusha Mjini Humphrey Pole pole aliyataja baadhi ya Magazeti kuwa ni kikwazo cha. Habari ile kuvuma nchi nzima, yaani Pole pole alitaka kuhama kwa Kalist iwe ndio habari kubwa kwenye magazeti ya siku ile , baada ya habari ile kudoda akashambulia magazeti .

Sasa nampelekea ujumbe kwamba , ili Magazeti yaandike habari kama anavyotaka yeye basi afanye hivi , awanunue Lissu , Mnyika na Mbowe , akifanikiwa kununua hawa basi habari yake itaandikwa dunia nzima tena kwa miezi 6 mfululizo , lakini kuwanunua watu duni ambao chadema ilishawabwaga kama Dr Mashinji na Cecil Mwambe kila mara utaendelea kushutumu magazeti .
Kwa mara ya kwanza nakuona ukiwa umekata tamaa!! Umeandika kwa hasira na uchungu!!

Usichojua ni kwamba Mbowe hajawahi kuwa mpinzani! Huko aliko anachekelea tu, mazuzu mpo mnaumiza vichwa
 
Back
Top Bottom