Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Sasa hawa ccm wanatakiwa wanaponunua mtu basi wanunue mwenye ushawishiKwa upande wangu simwamini mwanasiasa yeyote. Kwa maana hiyo yeyote yule anaweza akaamua kuhama wakati wowote kadri anavyojisikia tena bila kujali chochote.
basi na wewe moyo wako uko ccm ila unakaza shingo tuSiku Lissu akinunuliwa basi na mimi rasmi nitatua nae CCM.
Sawa mkuu.basi na wewe moyo wako uko ccm ila unakaza shingo tu
Na Mdee, na wengineWakati wa biashara ya Meya wa Arusha Mjini Humphrey Pole pole aliyataja baadhi ya Magazeti kuwa ni kikwazo cha
habari ile kuvuma nchi nzima , yaani Pole pole alitaka kuhama kwa Kalist iwe ndio habari kubwa kwenye magazeti ya siku ile , baada ya habari ile kudoda akashambulia magazeti .
Sasa nampelekea ujumbe kwamba , ili Magazeti yaandike habari kama anavyotaka yeye basi afanye hivi , awanunue Lissu , Mnyika na Mbowe , akifanikiwa kununua hawa basi habari yake itaandikwa dunia nzima tena kwa miezi 6 mfululizo , lakini kuwanunua watu duni ambao chadema ilishawabwaga kama Dr Mashinji na Cecil Mwambe kila mara utaendelea kushutumu magazeti .
Hajamalizana na Mike Pompeo, mara anadaiwa hela za TASAF. Utamtia ugonjwa wa moyo DAB mkuu.Anaweza pewa ukuu wa mkoa wa dar
KULAWITI ELIMU YAKO= INASHANGAZA SANA.Katibu Dr Vicent Mashinji anasubiri kuteuliwa kuwa DC (Mkuu Wa Wilaya). Ama kweli watu wanazilawiti elimu zao. [emoji28][emoji1][emoji2]
Hivi siku 7 bado.....tupate mrejesho wa matokeo ya yale mahojiano...pale Lumumba.Unamkaribisha katibu mkuu wa upinzani aliyepigwa chini wakati huo huo unawatuhumu na kuwatisha Makatibu wako wakuu wastaafu waliokulea wewe mwenyewe na wakakupigia debe. Kwa style hii huyu mtu si wa kumuamini hata kidogo. Hizi si akili za kawaida bali ni kukosa radhi huko!
Tutafilisika tutakapo kosa kodi zenu.Wakati wa biashara ya Meya wa Arusha Mjini Humphrey Pole pole aliyataja baadhi ya Magazeti kuwa ni kikwazo cha. Habari ile kuvuma nchi nzima, yaani Pole pole alitaka kuhama kwa Kalist iwe ndio habari kubwa kwenye magazeti ya siku ile , baada ya habari ile kudoda akashambulia magazeti .
Sasa nampelekea ujumbe kwamba , ili Magazeti yaandike habari kama anavyotaka yeye basi afanye hivi , awanunue Lissu , Mnyika na Mbowe , akifanikiwa kununua hawa basi habari yake itaandikwa dunia nzima tena kwa miezi 6 mfululizo , lakini kuwanunua watu duni ambao chadema ilishawabwaga kama Dr Mashinji na Cecil Mwambe kila mara utaendelea kushutumu magazeti .
Ni nani aliewahi kumuelewa Huyu Dr. Mashinji? Binafsi sijui alikujaje kujaje chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Mashinji ni wa kumlipa 1bl kweli ? hela za ccm zinaliwa kijinga sanaCCM mkitaka kuiyumbisha CDM mnunueni Mh. Mbowe basi wengine mnalifikisi taifa tu upotevu wa hela za umma.
Usimuamini masikini mwenye njaa. MTU masikini hawezi kuwa mwanasiasa bora.Kwa upande wangu simwamini mwanasiasa yeyote. Kwa maana hiyo yeyote yule anaweza akaamua kuhama wakati wowote kadri anavyojisikia tena bila kujali chochote.
Kumbe kinachotumika ni fedha zetu !
Kwa mara ya kwanza nakuona ukiwa umekata tamaa!! Umeandika kwa hasira na uchungu!!Wakati wa biashara ya Meya wa Arusha Mjini Humphrey Pole pole aliyataja baadhi ya Magazeti kuwa ni kikwazo cha. Habari ile kuvuma nchi nzima, yaani Pole pole alitaka kuhama kwa Kalist iwe ndio habari kubwa kwenye magazeti ya siku ile , baada ya habari ile kudoda akashambulia magazeti .
Sasa nampelekea ujumbe kwamba , ili Magazeti yaandike habari kama anavyotaka yeye basi afanye hivi , awanunue Lissu , Mnyika na Mbowe , akifanikiwa kununua hawa basi habari yake itaandikwa dunia nzima tena kwa miezi 6 mfululizo , lakini kuwanunua watu duni ambao chadema ilishawabwaga kama Dr Mashinji na Cecil Mwambe kila mara utaendelea kushutumu magazeti .