CCM imeanza kampeni uchaguzi 2025. Jokate amuombea kura Samia, apiga magoti

CCM imeanza kampeni uchaguzi 2025. Jokate amuombea kura Samia, apiga magoti



View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”

Chawa tu Kama machawa wengine. Yani very stupid
 


View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”

Chawa tu Kama machawa wengine. Yani very stupid
 
Hata Chadema wangekuwa na uhakika nani anagombea 2025 wangeanza kumuombèa, mnaweza kumuombea Lissu sasa hivi mara ghafla akaunti ya Mbowe ya Cayman ikasoma paaap mgombea akawa Lowassa.
Mbeya anagombea Sugu huwa Chadema wanapiga kampeni indirect.

Chadema huwa hairudii mgombea urais.
 


View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”
Hayo mambo binafsi ya Jokate unayaweka kwenye uzi huu kwa sababu gani? Wewe kama ni mtu uliyekamilika na huna madhaifu katika hii dunia, mshukuru sana Mungu lakini usiwabeze wasiokuwa na wenza.
 


View attachment 2843509

Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie maarufu kama Bongo movies, sasa akaingizwa kwenye siasa na kubebwa nafasi za kuteuliwa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake UWT, Jokate Mwegelo amewapigia magoti Wananchi wa Mbinga Mkoani Ruvuma ambako ndiko nyumbani kwao akiwashukuru kwa kumlea huku akiwaomba wamuombee na wamuunge mkono Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na kumpa kura nyingi za Urais mwaka 2025 kwa heshima aliyowapa Mbinga kutokana na kumteua yeye kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

“Nimekuja kwa Wazee wangu nyumbani kwa Wazazi wangu mnipe baraka zenu na naamini jinsi nilivyoingia sio kama nitakavyotoka nikitoka moto utawaka, nimekuja kupata baraka zenu lakini naomba niwapigie magoti niwashukuru yaani nawashukuru mno, mniombee mnitie nguvu kazi hii huko nyuma walikuwa wanapewa akina Mama wazitowazito lakini safari hii nimepewa Mimi”“Niko tayari kusumbuliwa na kutumika Mimi ni Mtumishi wenu, tushikamane , tupendane , tuombeane kheri, mmenilea mmenitunza nimerudi kwenye ardhi ya Wazazi wangu”

“Naomba tumuunge mkono Rais Samia kwa heshima aliyotupa Wana Mbinga kuniteua Mimi Mtoto wenu, zawadi pekee ninayoomba na wala msinipatie Mimi hizi zawadi tumpatie Mh. Rais kura za kishindo kutoka Mbinga tukatae Watu wanaokuja kutudanganya nasikia wanapitapita Wazee wangu tusiruhusu hayo mambo”
Wacha tuone kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii kama sio katibu mkuu kiongozi basi ni waziri mkuu atakuwa mwanamke!
 
Inasikitisha sana ,... So sad
Extremely saddening. Haelewi utawala bora, inashangaza sana.

Kwa saab Jokate alisoma shule za awali ubalozini USA, wakati wanarudi nyumbani wao ndio walionekana wana exposure mtaani. Ungedhani labda msingi wa elimu ya uzunguni na exposure na Kiingereza vingemsaidia kuisoma zaidi dunia na kuelewa mambo ya utawala bora.

Cha ajabu yeye ndio ana act kiswahili kuliko viongozi wenzake waliozaliwa na kukulia Tandale, Liwale, Kisarawe, hawajawahi hata kuijua Nairobi.

Kwenye kusukuma maendeleo ya nchi Maadili na Uzalendo ni muhimu kuliko Elimu na Exposure.
 
Wacha tuone kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii kama sio katibu mkuu kiongozi basi ni waziri mkuu atakuwa mwanamke!
Bi dada wa Mbeya Mgombea mwenza 2025, sababu kuu ni kumwogopa Sugu , wakati Kizimkazi anagombea uraisi.
 
Hayo mambo binafsi ya Jokate unayaweka kwenye uzi huu kwa sababu gani? Wewe kama ni mtu uliyekamilika na huna madhaifu katika hii dunia, mshukuru sana Mungu lakini usiwabeze wasiokuwa na wenza.
Ukishakuwa kiongozi huna mambo binafsi, narudia tena kwa ninyi UVCCM , ukwa kiongozi wa umma hata ukipiga chafya inatuhusu watanzania wote.
Kwahiyo hata ukienda kulewa na kulala baa ni mambo yako binafsi, wakati unapogazma ujue kila kitu ni cha umma.
 
Back
Top Bottom