Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kitendo cha kuzaa bila mume akiwa ofisi za umma ingetosha kumuondoa lkn huku Tz hata ushikwe ugoni ndio kwanza unasifiwaWapo ju ya sheria na hakuna la kuwafanya, anaendelea na uzoeefu.
Nchi za maadili angefanyiwa vetting asingepewa hata mwenyekiti serikali za mitaa.