CCM imemlipia faini ya Tsh. Milioni 30 mwanachama wake Dkt. Vincent Mashinji. Atoka gerezani

Huko bado kiini macho, a.k.a utakatishaji unaendelea. Haiingii akilini wabunge wote haokukosa hizo fedha. Nyumbu wa Ufipa wanaendelea kutumika tu bila kujijua. Hata hivyo hiyo faini mabeberu watailipa. Hapa tunadanganywa tu kuwa wananchi wanachanga.
mabeberu mliowaandikia barua ya kuomba msamaha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alisemaje uyo snitch?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtazamo wako si wa wanaccm !
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtazamo wangu hizi drama za kuchangia pesa zinazofanywa na CCM na CHADEMA ni kitu ambacho hakipo sawa kimantik, kwani kama mahakama iliwakuta na makosa watuhumiwa na ikatoza faini ambayo ni kulipa ili ujutie kosa ulilofanya sasa hii ina maana gani kwa Taifa,. Ni kutuaminisha kuwa Mahakama kama muhimili pekee wa haki, inatoa hukumu batili ama inakuaje?, kiukweli mimi hainingii akilini ila ni mtazamo tu.
 
Hivi kweli chadema haina pesa mpaka watu wachangishwe? Hii ni dhurma nyingine wanachama na wapenzi wa chadema wanafanyiwa na watu wenye unafuu wa maisha.
tumeridhia kudhurumiwa na tumefanya kwa mahaba igizeni nyie CCM kuwafunga waliomba mangura sumu muone kama watachangiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM inaunda serikali,Serikali ikamshitaki Dr.Mashinji kwa kukiuka sheria za nchi,DPP akaendesha shauri usiku na Mchana,Mahakama ikamtia hatiani,CCM chini ya mwenyekiti ambaye ni Raisi inatoa fedha kumlipia faini Dr.Mashinji mvunja sharia.Aliyekabidhiwa sharia azilinde kama custodian akazivunja mwenyewe akajishitaki na kujilipia faini............Kiuongozi hii haikuwa sawa.Tafsiri ni kuwa Polisi,Mwanasheria Mkuu wa serikali,DPP,na serikali yote ilimwonea Mashinji na hivyo wameamua kukiri makosa kwa kumlipia faini.
 
hIII HUKUMU NA YA 6G
MKIENDELEZA UPUMBAVU WENU MNAOGA LE 8G
MWENDO WA 500M
MKIRUDI TUBAMALIZIA NA 750M
AMJATENGENEZA ZLE BARABARA ZA KIMARA NDANI NDANI NA BAKIZO TUKAREKEBISHA MASHIMO BJIA ZA SINZA HII NDIO KILICHOBAKIA
MWENDO WA GAWIO....
hapo umeshindwa kuficha ujinga wako kuandika tu haujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana CCM walijiunga lini? Au wanechota hazina pesa ya tra?
 
Alizungumza nini huyo huko segerea mkuu hebu tufahamishe wengine tupo maporini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapo ndipo utajua CCM kweli vichwa vimejaa utupu. Watu hawa ndio walishinikiza watuhumiwa washitakiwe na wakawa wanashangilia na kusema hawa ni waharifu. Mpaka leo bado wanasema hawa ni waarifu. Lakini bado hapo hapo wanakenua maneno wakisema tumemtoa huyu (si mharifu tena) na bado wanasema Mbowe na wenzake ni waarifu wanaombewa wafungwe. Kama si ujinga tuite ni kitu gani. Hawa hawa watakwambia ni watu wamekwenda shule. Mimi nadhani ukiwa CCM wankuondoa ubongo unabakiza fuvu tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…