umeona sura za mashangingi yaliyomzunguka polepole afya zao za ajabu wamejipaka mikorogoNigrastratatract,
Haya majitu yamekaa ki-wasiojulikana julikana tuuu hata michango yao imetoka kusikojulikana na imetolewa na wasiojulikana
wewe mke wa Abdul nondo mtoa Avatar maana haungani na wajingaShauri yako.
mabeberu mliowaandikia barua ya kuomba msamaha?Huko bado kiini macho, a.k.a utakatishaji unaendelea. Haiingii akilini wabunge wote haokukosa hizo fedha. Nyumbu wa Ufipa wanaendelea kutumika tu bila kujijua. Hata hivyo hiyo faini mabeberu watailipa. Hapa tunadanganywa tu kuwa wananchi wanachanga.
Wachaga tu hao !Kama kuna kitu watu wa mfumo walichemka ni hapa kusema wapigeni kifungo au fine maana reaction ya wanainchi kuchangia ni kubwa sana sidhani kama baba amependa
Alisemaje uyo snitch?Pole sana Mkuu. Watz walishapewa jumla kuu ya Tshs Mln 350. Walichanga bila kumbagua mtu na hakuna Kiongozi yeyote wa Chadema aliyejitokeza kifanya marekebisho ya jumla kuu.
Tungemlipia kisha aje huko kwenu kuendelea kuunga juhudi. Lkn nakuhakikishia hakuna mtu aliyepatwa na aibu kama yule Muunga juhudi. Hivi unafahamu alichozungumza kule Segerea jana jioni?? Hata ww ungemhurumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
MCHANGO WA MASHINJI NASKIA WAMETOA VIJANA WA POLICE TAWI LA CCMHata hao waliomchangia Mashinji ni Watz, au hujui?
Wakukurupuka. Hivi huyu Mr Slow hajui kwamba mahakama hawapokei hela cash? Au nae ni kujaribu kuwadanganya Watanzania kwamba Ccm ina pendwa. Hivi ni mtu gani wa hali ya chini atakae mchangia Mashinji? Ni kitu gani amewafanyia Ccm hadi wana Ccm wawe na huruma kumtoa jela?
Kila kitu Ccm mnabaka hata visivyo bakwa. Kuanzia uchaguzi hata kutoa hela za chama kutudanganya ati ni wana Ccm wamechanga?
Ni nani asiye jua hata hii hukumu ina mkono wa Ccm? Ni nani asie jua kwamba hii kesi ni ya kubambikizwa? Ila Ccm kesheni mkiomba ili siku mbingu zitakapo funguliwa muone Watanzania wakisherehekea ushindi..
Sent using Jamii Forums mobile app
uyo snitch ndio wenu bebeni mzoga wenu.Kamanda mbona una wivu ulitaka mwana chama wetu aozee jela? Mbona hamkumjumuisha kwenye michango?
ndio maana kila siku mikeka yako inachanikaCCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA
CCView attachment 1384113M OYEE
Sasa kwani kuna ubaya gani. Jamaa si katoka, au?
Promotion ! Ni kiki nzuri kaenye siasa !kutembea na burungutu mkononi badala ya kufanya online transfer ni ushamba ulio kubuhu!
tumeridhia kudhurumiwa na tumefanya kwa mahaba igizeni nyie CCM kuwafunga waliomba mangura sumu muone kama watachangiwaHivi kweli chadema haina pesa mpaka watu wachangishwe? Hii ni dhurma nyingine wanachama na wapenzi wa chadema wanafanyiwa na watu wenye unafuu wa maisha.
hapo umeshindwa kuficha ujinga wako kuandika tu haujuihIII HUKUMU NA YA 6G
MKIENDELEZA UPUMBAVU WENU MNAOGA LE 8G
MWENDO WA 500M
MKIRUDI TUBAMALIZIA NA 750M
AMJATENGENEZA ZLE BARABARA ZA KIMARA NDANI NDANI NA BAKIZO TUKAREKEBISHA MASHIMO BJIA ZA SINZA HII NDIO KILICHOBAKIA
MWENDO WA GAWIO....
Wana CCM walijiunga lini? Au wanechota hazina pesa ya tra?Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.
View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.
UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30
View attachment 1384213
Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani
Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”
“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
Alizungumza nini huyo huko segerea mkuu hebu tufahamishe wengine tupo maporiniPole sana Mkuu. Watz walishapewa jumla kuu ya Tshs Mln 350. Walichanga bila kumbagua mtu na hakuna Kiongozi yeyote wa Chadema aliyejitokeza kifanya marekebisho ya jumla kuu.
Tungemlipia kisha aje huko kwenu kuendelea kuunga juhudi. Lkn nakuhakikishia hakuna mtu aliyepatwa na aibu kama yule Muunga juhudi. Hivi unafahamu alichozungumza kule Segerea jana jioni?? Hata ww ungemhurumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
...ndo maamuzi ! Kama vile chadema walivyomtosa Zito na kumkumbatia LowassaCCM imempa adhabu Kinana na kumtosa Membe lakini inamsaidia Mashinji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo ndipo utajua CCM kweli vichwa vimejaa utupu. Watu hawa ndio walishinikiza watuhumiwa washitakiwe na wakawa wanashangilia na kusema hawa ni waharifu. Mpaka leo bado wanasema hawa ni waarifu. Lakini bado hapo hapo wanakenua maneno wakisema tumemtoa huyu (si mharifu tena) na bado wanasema Mbowe na wenzake ni waarifu wanaombewa wafungwe. Kama si ujinga tuite ni kitu gani. Hawa hawa watakwambia ni watu wamekwenda shule. Mimi nadhani ukiwa CCM wankuondoa ubongo unabakiza fuvu tupuChama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.
View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.
UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30
View attachment 1384213
Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani
Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”
“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”