Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
Kama Roma Empire, Gadaff, Mubarack, Ottoman empire ziliangushwa na CCM itaangushwa lini hapo sijuiSi ndio kama hivi wanawarithisha watoto wao ili mfumo wao wa kiutawala udumu?. Watoto nao watawarithisha watoto wao.
ThubutuKesi ikiendelezwa hadi 2025 je?
Subiri atoke kwanza ndiyo uione hiyo nguvu. Nyie mnacheza na Dola mnazania mko mtaa wa Ufipa.Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.
Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.
Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya
Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.
Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Kwangu mimi Mbowe namuona alikosea busara na timing ya namna ya kudai Katiba Mpya. Samia alianza kwa kumdungulia Akaunti zake, kumshtaki Sabaya aliye harass WAPINZANI wa wilaya ya Hai, kusababisha kesi ya Mdude kufutwa, na kesi ya Akwilina kupinduliwa. Bahati mbaya Mbowe akaona Samia ni mnyonge. Ndipo akaanza mikutano ya matusi kwa kuwapandisha majukwaani akina MdudeChadema na kuanza kupiga kelele za Katiba mpya.Mimi mwanzoni nilimsifia sana Samia.
Lakini kwa huu uchafu, she deserves to be the worst President ever. Ni hypocrite. Unafanya baadhi ya mambo vizuri ili kuwahadaa watu, kumbe ndani ya moyo wako, umejaa matendo ya shetani.
Hata Yesu alipokuwa akifundisha aliwahi kunena, "ole wenu mafarisayo na waandishi wa sheria, ni wanafiki, mnajifanya watu wazuri kwa nje, ndani mmejaa uchafu (Matayo 23: 27-28). Hakuna mnafiki anayeweza kupokea neema ya Mungu bila toba.
Ikumbukeni habari ya Anania aliyefanya unafiki wa kuonesha anampenda Mungu, kumbe sivyo. Mungu alimwondolea uhai palepale. Na mkewe akaja kuutetea unafiki wa mumewe, naye akafa palepale.
huo ni ushabiki tu yaani mtaani hakuna hta anayezungumzia hiyo kesi zaidi ya nyie kwenye mitandao watu wako bize na kazi zao tu alilikoroga acha urioamnywesheMkuu walimdharau Sana na kudhani wakishampa kesi kubwa Basi watapumua, ndo maana Kingai alimwambia Mbowe kuwa 'safari hii hutoki' Ila kwa Hali ilivyo wameshajuta Sana ila ndo hivyo wanashindwa watamchomoaje.
Kwa mkoa wa Arusha juzi nilikuwa kule nilikutana na wamama Wana hasira na Samia hatari
Ukimpiga chura teke unamuongezea mwendo tu,viongozi na washauri wao wengi kichwani hamna kitu...ni ngumu kwao kuliona hili.Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.
Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.
Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya
Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.
Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moyaWajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.
Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.
Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya
Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.
Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Ndo itakuwa poa sana maana ni kipindi cha uchaguzi na hii itakuwa kaburi la watawala waovu.Kesi ikiendelezwa hadi 2025 je?
Sawa sawaNdo itakuwa poa sana maana ni kipindi cha uchaguzi na hii itakuwa kaburi la watawala waovu.
Kumuondoa mapema kabla ya 2025 kitasaidia haya mambo kusahaulika LABDA.
Pia kuchelewa au kuwahi kumtoa yote yana faida kwa Mbowe,in short watahaibika sana
Eee kama sababu kuu ya kesi ni ili mama atawale 'kwa raha' wakimtoa kabla ya 2025 si mama atatawala 'kwa tabu'?Thubutu
OkKama Roma Empire, Gadaff, Mubarack, Ottoman empire ziliangushwa na CCM itaangushwa lini hapo sijui
Sio kwa ccm weweWajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.
Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.
Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya
Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.
Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.
Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.
Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya
Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.
Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Kwamba wamekufa wamasai watatu na mtu mmoja..wewe ni fara kweli kwani wamasai ni nini!Hahahaaaaa sio wananchi hao ni abiria mkuu
Mungu ibariki CHADEMA
Quote Nape Moses NnauyeDikteta alikuwa mshamba sana
Kwa sababu wapo kwenye daladala ni abiria. HahahaaaKwamba wamekufa wamasai watatu na mtu mmoja..wewe ni fara kweli kwani wamasai ni nini!
wananchi wanaitwa ili waitwe wanatakiwa kua wapi ,naona matumizi ya mandhari yanakusumbua [emoji23][emoji1787][emoji28] unazingua msalimua katibu wenu uvccmHahahaaaaa sio wananchi hao ni abiria mkuu
Ebu nisaidie nami nipate kujua ukabila wa chama hiki upo wapi?Ni kweli kiongozi wangu. Lakini kumbuka kwamba Tanzania ni nchi yetu wote. Hatutakubali mtu yeyote anayeendekeza mambo ya ukabila wala udini. Chama chochote chenye mrengo wa kuimarisha udini na ukablia na wengine kuwatupia tupia tu kama mapambo, hakifai kuongoza nchi yetu kwa sababu hatutaki kupanda magari ya ukabila huo.
CHaDEMa tumewaambia, waache ukabila, wagawanye nguvu na madaraka katika sehemu zote za nchi tuwape nchi. Bila hivyo, ninyi wenyewe mnaona vile walivyojazana kwenye ngazi za juu ya uongozi, na bahati mbaya tabia zao zinajulikana.
Kuwapa nchi watu wenye mitazamo hiyo, tutakuwa tunajikomboa au tunabadilisha ukoloni tu? Maana sasa tunajuta kwa nini tulipigania uhuru kutoka kwa Mwingereza. afadhli tungebaki na ukoloni wa Mzungu kuliko ukoloni wa cckm.