CCM ina misingi imara sana; kama wewe ni mpinzani na unabisha umeshafeli

Mrs Lissu Usidislike, mwambie Mr achukue ushauri asijeangukia tena pua puuuuuuu
 
TUNAELEWA SANA
HUWEZI WAPA DOLA WATU WASIOJIELEWA, WASIOELEWEKA, WASIO NA MISINGI IMARA KWA WATU WAKE
Hawajielwi na hawaeleweki kwasababu wanafanywa wawe hivyo na waO wanajua hawapo kwa ajili ya kushika dola bali KUPATA ubunge na kuisimamia CCM!

Halo viongozi wote wa vyama pinzani ni vivuli wa ccm KATIKA usiri wao!inawezekana muuza mitumba akawa mpinzani wa kweli kuliko kiongozi mkuu wa CHADEMA!

Wanachama wa kawaida wanaojielewa hawana siasa za kimhemko KWASABABU wanaelewa mambo yalivyo bali wasiojielewa ndio wale damu damu Hadi kwenye maandamano wamo!!

Wanafanywa maksudi waonekane Hivyo na wao wanajua kwanini hawaeleweki!
 
Hawajielwi na hawaeleweki kwasababu wanafanywa wawe hivyo na waO wanajua hawapo kwa ajili ya kushika dola bali KUPATA ubunge na kuvisimamia CCM...
Na hapo ndio tunaposema CCM haina mpinzani na Tanzania hakuna chama pinzani wala wapinzani

Tuache maigizo tujenge nchi

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
 
Imagine mwenyekiti wa chama anapata watu wachache hivi!

Kiongozi kashindwa kujaza hata mtaa, je uwanja wa Mkapa angeuweza?

Dah.

 
Imagine mwenyekiti wa chama anapata watu wachache hivi!

Kiongozi kashindwa kujaza hata mtaa, je uwanja wa Mkapa angeuweza?

Dah.....

Waache hao
Halafu wanaendelea kubisha kwamba CCM hawana misingi imara😅😅😅
 
Unasemaje huo!?

Hebu sikiliza kwanza hako kamziki
UKWELI MCHUNGU: Kama Upinzani usipochukua hatua na kufanya mabadiliko makubwa ya ndani, kuna uwezekano wa CCM kutawala Kwa miaka mingi sana ijayo
 
UKWELI MCHUNGU: Kama Upinzani usipochukua hatua na kufanya mabadiliko makubwa ya ndani, kuna uwezekano wa CCM kutawala Kwa miaka mingi sana ijayo


Tunawaambia ukweli halafu wanaleta makasiriko🙄🙄🙄🙄🙄
 
Mama D ukweli ni kwamba ccm bila dola ni weupe na kama hamuogopi upinzani kwanini kipindi cha jpm mmewapa watu kesi za mauaji uhujum uchumi unyang'anyi kwanini mkawapa wakurungenzi wawe direct kwenye chaguzi.NB afrika bado sana mtawala kukubali demokrasia hata ndogo.
 
Lakini wanachotaka wapinzani ichezwe mechi refa asitokee tff bali atoke uefa.kila mtu ashinde mechi zake bila wasiwasi.

Yaani unataka kumninyang'anya msosi wangu halafu unasema nitetewe na baba yangu, shangazi au mjomba wangu

Masihara hayo

Kwenye siasa za kuitafuta dola hakuna kutafuta excuses ila wanatakiwa kutafuta mbinu
 
Anguko la CHADEMA lilikuwa kipindi cha JPM sasa tumebakiza makapi

USSR


Wanamchukia maana alijua kuwanyoosha hahaha
Magufuli aliweza sana kurepair kulikokua kunavuja haswa kwa wapiga kura
 
Misingi ya kumiliki jeshi, hivi miccm mna akili kweli?

Jeshi halijamilikiwa ila jeshi kazi ya kulinda amani ya nchi yetu.

Na linajua ukweli kwamba nchi iko salama chini ya CCM
 
Kidumu kilisha toboka kinavuja,ila hata habari hamna🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…