CCM ina misingi imara sana; kama wewe ni mpinzani na unabisha umeshafeli

Wenye misingi imara ni "wanaosema wazuri hawafi" walimuondoa JPM aliyetaka wanyan'ganya chama chao.

Unanyang'aje chama ambacho nawe ni mwanachama
 
Of Course hata maiti zinazidiana kunuka......, Ni ukweli usiopingika kwamba CCM inanunuka sababu ipo hapo juu na tunasikia harufu yake; kwa jicho la kupenyeza binafsi naona hata hawa ambao hawajapata platform wakipata / wakipewa bado watanuka...,

Ndio maana am all for taasisi /misingi imara na sio kutegemea Chama hiki au kile..., Hususan Tanzania ambapo vyama ni platform za kupata madaraka wala sio kwenda huku au kule sababu kuna ideologies tofauti.... (ideologies hazifuatwi)

Until the day tutakapopata wananchi knowledgeable wanaojua nini wanataka, na mpaka pale watakapoweza kuwawajibisha hawa watawala instantly na sio kusubiri miaka mitano kuwabadilisha wezi hawa ili upate wezi wale tutaendelea kufanya maigizo (anyway huenda haya maigizo yana faida - Opium of the Mass)
 
Alinyooka yeye na sasa hivi sisimizi wanatafuna mifupa yake.
Kila mtu atapita njia hiyo
Ila sio kila mtu ana uwezo wa kunyoosha mambo kabla ya hiyo njia

Kama wewe utaishia kutafunwa bila kunyoosha chochote😂😂😂
 
Hao kawaulize wanaosema "ccm ina wenyewe" na Magufuli ni wakuja tu. Wenyewe wanadai "chama kimerudi kwa wenyewe"

Wewe usiojua maana huwezi elewa
Tulia Kazi iendelee
 
Hao kawaulize wanaosema "ccm ina wenyewe" na Magufuli ni wakuja tu. Wenyewe wanadai "chama kimerudi kwa wenyewe"
Huyo mama D ana kikundi chao cha kupika na amenufaika sana na tenda za kupika kwenye yale matamasha ya CCM ya kuomba kura kwa kuhonga wananchi pilau. Huwezi mbadili huyo.
 
Huyo mama D ana kikundi chao cha kupika na amenufaika sana na tenda za kupika kwenye yale matamasha ya CCM ya kuomba kura kwa kuhonga wananchi pilau. Huwezi mbadili huyo.


Na wewe uje tupike unufaike wivu ukupungukie
 
Huo ndiyo ukweli! Yaani bila Mungu kuingilia kati CCM haiwezi kutoka madarakani!
 
Huyo mama D ana kikundi chao cha kupika na amenufaika sana na tenda za kupika kwenye yale matamasha ya CCM ya kuomba kura kwa kuhonga wananchi pilau. Huwezi mbadili huyo.
Nimeelewa sasa. Ahsante.
 
Kila mtu atapita njia hiyo
Ila sio kila mtu ana uwezo wa kunyoosha mambo kabla ya hiyo njia

Kama wewe utaishia kutafunwa bila kunyoosha chochote😂😂😂
Magufuli alitaka watu wote ambao hawakukubaliana na utawale wake ikiwezekane wanyongwe matokeo yake alinyongwa yeye na Corona.
 
Magufuli alitaka watu wote ambao hawakukubaliana na utawale wake ikiwezekane wanyongwe matokeo yake alinyongwa yeye na Corona.

Wewe utanyongwa na nini🙄🙄🙄
 
Wewe utanyongwa na nini🙄🙄🙄
Mungu mwenyewe ataamua nife kifo gani na muda gani na mahali gani kwa kuwa natambua kuwa,Binadamu wote ni sawa mbele ya sheria na Usoni pa mwenyezi Mungu."
 
Unachosema ni kweli kabisa maana, mwenyekiti wa CCM anateua jaji mkuu na majaji wote wa mahakama, anateua mwenyekiti wajumbe, makamishina na watendaji wote wa tume ya uchaguzi, anateua wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama, anateua watendaji wote wakuu wa utumishi wa umma yaani hata wabunge na kiongozi wa bunge alafu utegemee apolwe dola na chama ambacho hakina ata DC au RC, hakina polisi etc utakua mpumbavu kama mleta uzi😃😃
 
Jadilianeni basi aina ya mitambo mnayotaka kufunga huko bungeni ccm ina wabunge kwelikweli wanataka mitambo bungeni
 
Kumbe wee ni wa hovyo kiasi hiki??? Hongera Sana kwa mawazo ya kimaiti maiti...uimara wa ccm uko TISS na police..nje ya hapo hakuna kitu kinaitwa ccm
 
Mwl uchwara bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] endeleeni na ngonjera zenu baada ya kushiba makande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…