Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #21
Una hakika na haya unayoyasema ndugu yangu???Bongo is all slums, mitaa michafu wala haijapimwa , hakuna maji wala umeme wa kuaminika, mitaa mizuri ni ile ya mkoloni, hata sehemu mpya makazi ya watu ni juhudi za watu maana watu wanajitahidi kujenga nyumba nzuri lakini barabara na huduma muhimu kazi ya serikali ya CCM ni big let down, CCM imeturudisha nyuma sana na ndio chanzo cha umaskini na wamefanya hata uchaguzi usiwe na maana tena nchini kwa ajiri ya wizi wao wa kura
Una hakika na ulisemalo kaka???Kadili siku zinavyozidi kwenda chini ya ccm naona watu wanatoka kwenye umasikini kwenda kwenye ufukara imefika mahali hata kumudu gharama za Milo mitatu ni ngumu
Najaribu kuwaelewesha wadogo zangu wapu tulipotoka Mayalla.Wangejua tulipotoka wangekua na mioyo ya shukuraniNaunga mkono hoja.
P
Ndio chama chenye katiba bora zaidi kichama.Kwenye ukanda huu wa Afrika mashariki na katiKIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
Karibu uchangie mdauHaaaah,
naona aibu mimi.
upo serious kabisa?
Kaka mshana una hakika na ulisemalo au umeandika tu???Pongezi kwa kuleta gongo na kamari?
Sidhani kama upo sahii kaka katika hiliMtanzania wa maisha ya kimasikini level ya kati, anaweza jenga nyumba moja kwa miaka 10 akamaliza.
Dar pekee yake, haina karibia kila kitu, kwa miaka 60 sasa, wamefanya nini unasema?
Karibu uchangie kakaCCM imetufikisha pale tulipotoka.
Sidhani kama hao ni wanachama dhabiti wa sera za MwalimuNi kwel mkuu unachokisema ila hawa fisiemu huwa wananikera sometimes wanapojigamba yaan kwamba sisi watz hakuna tunachoweza kuwafanya.
Umezaliwa era gani mkuu???CCM imetufikisha pale tulipotoka.
Umezaliwa era gani mdogo wangu???Hatujafika popote. Tulipofika ni natural course to ya mambo.
Miaka ya !970 nilisikia kauli ya kiongozi mmoja akisema kama ulivyosema, hayaMambo yatakaa sawa hili ni suala la mda.Na serikali yetu ni sikivu na inajua mnayopitia vijana wa nchi hii
Ben SaananeKaribu uchangie kaka
Ujinga ni Mtaji....Mbogamboga FCKwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.
Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Haki yake ipi tumpeKwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.
Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Hakika.Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.
Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Karibu uchangie mdogo wangu.Nadhani utakua umezaliwa miaka ya 90,sHakika.
Tuelimishwe, tuendeleze kudumisha Amani.
'Tunaimani na.....Oyaa.....Oyaa Oyaaa'
Kidumu!
Umerogwa weweKwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.
Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.