Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #41
Chama bora kabisa afrika mashariki na kati na ukanda woote wa kusini mwa jangwa la SaharaCCM[ ha ha ha ha ha ]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama bora kabisa afrika mashariki na kati na ukanda woote wa kusini mwa jangwa la SaharaCCM[ ha ha ha ha ha ]
Chama cha majangaTumeipokea kwa mikono miwili asante yako mdau.Karibu sana tujenge nchi pamoja
Nashukuru kwa maoni yako mdogo wangu karibu uchangieUmerogwa wewe
Wewe ni zaidi ya kilazaNitawajulisha mkuu ucjali
Umezaliwa era ipi 90,s????Chama cha majanga
Nashukuru sana mdogo wangu.Karibu uchangieWewe ni zaidi ya kilaza
Una hakika na usemayo au ni mihemuko tu ya kisiasa mdogo wangu????Karibu uchangieUkilinganisha Tanzania na nchi kama Singapore au Malaysia ambazo wakati wa Uhuru kulikuwa nao sawa au kuwazidi na pale nchi hizo za Singapore na Malaysia zilipofikia .
Kwa raslimali ambazo tunazo viongozi wote wa CCM wanatakiwa kupelekwa jela na kuchapwa viboko vingi sana.
Kwa Kwa ujumla ukiangalia Kwa umakini viongozi hao wametumia madaraka waliyo ya grab Kwa wananchi kujinufaisha wao na familia zao Kwa kujilimbikizia mali na ukwasi mikubwa sana kulipo hata wafanyabiashara. ukilinganisha na mishahara yao.
Just imagine viwanasiasa kama vikina Biseko kuwa tu kwenye wizara ya madini kinawezaje kumiliki ghorofa Kariakoo .
Acha ujinga wewe mtoa post.
Hii nchi ma CCM wameinajisi kupitia kiasi inabidi wapumzishwe , wafilisiwe pamoja na kupelekwa jela
Zipi hizo wakati ukisema uozo wa serikali yanakukuta ya Ndugai?Ruksa zipo kaka.Hujaamua tu
Kutambua kazi yake kuiboresha jamii toka tumepata uhuru.Umezaliwa era ipi mdau 90,s???Haki yake ipi tumpe
Unataka nikujuze kaka fursa zilizopo tanzania??Zipi hizo wakati ukisema uozo wa serikali yanakukuta ya Ndugai?
Na nina hakika kauli ile ilizaa matunda.Ulikua wapi kaka wakati huo???Miaka ya !970 nilisikia kauli ya kiongozi mmoja akisema kama ulivyosema, haya
Tatizo la vijana wetu mnajua sana kuliko sisi wakubwa zenu.Kuishi kwingi kuona mengi mdogo wangu.Ujinga ni Mtaji....Mbogamboga FC
Nashukuru kaka kwa maoni yako karibu uchangie.Karibu sanaMleta mada ni mtu wa ovyo sana
Umezaliwa era ipi mdogo wangu na mada umeielewa hapo juu???Ben Saanane
Azory Gwanda
Tundu Lissu
Akwilina
Tozo
Makinikia
Richmond gate
AnnBen Co. Ltd
Inflation
Illiterate level kuwa juu
Uhalifu dhidi ya kaki za binadamu
Na kadhalika na kadhalika
NchiniNa nina hakika kauli ile ilizaa matunda.Ulikua wapi kaka wakati huo???
Sio fursa ni ruksa rejea mtiririko wa komentiUnataka nikujuze kaka fursa zilizopo tanzania??
Kabla ya 1961 palikuwa na mfumo wa Vyama vingi.Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.
Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.