CCM inahitaji pongezi nchi hii, tulipotoka tunapajua wenyewe. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

CCM inahitaji pongezi nchi hii, tulipotoka tunapajua wenyewe. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Hakuna mtu atalalamika kama wote tutakuwa tunaishi kama mawaziri. Siku zote malalamiko hutokana na kutoridhishwa na hali na jambo hilo hutokana na kukosekana usawa.

Kuna matabaka makubwa sana ya watu kwenye jamii hii hii ambayo hao wana CCM wana mchango mkubwa sana kuitengeneza. Hakuna usawa ila inapokuja swala la haki. Hiki ndio kiini cha malalamiko ya vijana.

Haiwezekani mtu anaelipwa laki 4 anyimwe allowance na benefits za utumishi ila anaelipwa million 20 ajaziwe allowances na benefits kibao pamoja na seminar na masafari. Yani mwenye uwezo wa kukabili ugumu wa maisha kwa basic salary anaongezewa mihela kibao. Ambaye hawezi anapambana na matozo.
Kabisa , na hapo ujagusia watu wasio na ajira wala fursa zozote za kiuchumi + wavuja jasho , wasakatonge mamilioni wanaovvuja jasho kwa kufanya kazi ngumu na hatarishi ,zinazotweza utu na za ujira mdogo usioendana na hali ya maisha.

Hii ndio Tanzania ambayo huyo mpuuzi mtoa mada anataka kuwaambia watanzania waishukuru ccm kwa kuiendeleza mpaka tulipofika hapa.
 
Kabisa , na hapo ujagusia watu wasio na ajira wala fursa zozote za kiuchumi + wavuja jasho , wasakatonge mamilioni wanaovvuja jasho kwa kufanya kazi ngumu na hatarishi ,zinazotweza utu na za ujira mdogo usioendana na hali ya maisha .
Hii ndio Tanzania ambayo huyo mpuuzi mtoa mada anataka kuwaambia watanzania waishukuru ccm kwa kuiendeleza mpaka tulipofika hapa ,
Stupid ass idiot kabisa huyo .
Kwanza kabisa ili tujadiliane lugha za matusi hazitakiwi sio busara wadogo zangu
 
Unaongea kisiasa au kama msomi
Naongea kama mwananchi mwenye AKILI timamu,

Si MSOMI Wala Mwanasiasa, ila nafuatilia siasa, maana siasa ndo Kila kitu,

Kupata maji ni Siasa, biashara ni Siasa, uvuvi inahusika siasa, KILIMO ni Siasa nk nk.

Angalizo. AKILI mtu alizaliwa nayo, bt ELIMU mtu ameikuta Duniani.
 
Kabisa , na hapo ujagusia watu wasio na ajira wala fursa zozote za kiuchumi + wavuja jasho , wasakatonge mamilioni wanaovvuja jasho kwa kufanya kazi ngumu na hatarishi ,zinazotweza utu na za ujira mdogo usioendana na hali ya maisha .
Hii ndio Tanzania ambayo huyo mpuuzi mtoa mada anataka kuwaambia watanzania waishukuru ccm kwa kuiendeleza mpaka tulipofika hapa ,
Stupid ass idiot kabisa huyo .
Changia hoja kisomi sio kwa jazba na matusi mdogo wangu.Karibu
 
Naongea kama mwananchi mwenye AKILI timamu,

Si MSOMI Wala Mwanasiasa, ila nafuatilia siasa, maana siasa ndo Kila kitu,

Kupata maji ni Siasa, biashara ni Siasa, uvuvi inahusika siasa, KILIMO ni Siasa nk nk.

Angalizo. AKILI mtu alizaliwa nayo, bt ELIMU mtu ameikuta Duniani.
Karibu sana kuchangia mafanikio na changamoto ambazo serikali inapambana nazo.Karibu
 
Bwana Mshana , nakukubali sana mkuu.
Tazama Kuhusu Huu Muungano , CCM wameunda Tume zaidi ya 3 na kupewa maoni chanya ya kuleta Serikali 3 ,lakini wao bado wanangangania 2 kelekea moja.

Walipoungana walisema wanataka kuleta Umoja wa Afrika.
lakini tazama katiba waliyoiandika haikuweka mwanya wa nchi nyingine kujiunga na Muungano huu.
Huii nikunesha kufeli kwa azma yao hii kama ilivyofeli Ujamaa wa Nyerere.
Unachangia kisomi au kwa mihemuko ya kisiasa??
 
Karibu sana kuchangia mafanikio na changamoto ambazo serikali inapambana nazo.Karibu
Darasa la nane mwaka 1980 aliweza kujitambua na alijua mambo yote muhimu kuhusu shule,

Saiz mhitimu wa chuo kikuu hajui kuandika BARUA ya maombi ya KAZI Kwa ufasaha.

Kama gari linarudi nyuma Badala ya kusonga mbele, utaiita hiyo ni safari?
 
But Kamanda Kama ulipost kutest upepo tarajia Zaid ya hayo.
Wanakuja wehu ...kikubwa kaza roho Pot.
Hapana sijatest na sisi wasomi tunaamini katika hoja sio matusi au huo wehu unaoutaja.Karibuni sana tuendelee wasomi
 
Darasa la nane mwaka 1980 aliweza kujitambua na alijua mambo yote muhimu kuhusu shule,

Saiz mhitimu wa chuo kikuu hajui kuandika BARUA ya maombi ya KAZI Kwa ufasaha.

Kama gari linarudi nyuma Badala ya kusonga mbele, utaiita hiyo ni safari?
Sasa hilo kiusomi ni kosa la nani zaidi???Msomi husika au serikali ndugu???
 
Kwa yanayoendelea kwenye hoi nchi, akitokea mtu kuniambia eti CCM inatakiwa kupongezwa, napata mashaka kuhusu afya yake ya akili.

Ni "chawa" pekee ndio wanaweza kua na huo ujasiri.
 
Kwa yanayoendelea kwenye hoi nchi, akitokea mtu kuniambia eti CCM inatakiwa kupongezwa, napata mashaka kuhusu afya yake ya akili.

Ni "chawa" pekee ndio wanaweza kua na huo ujasiri.
Samahani mkuu neno chawa unamaanisha nini??
 
Kwa yanayoendelea kwenye hoi nchi, akitokea mtu kuniambia eti CCM inatakiwa kupongezwa, napata mashaka kuhusu afya yake ya akili.

Ni "chawa" pekee ndio wanaweza kua na huo ujasiri.
Huyo mleta uzi ni team sukuma gang hivyo inabidi umsamehe tu maana ashapigika vya kutosha.
 
Back
Top Bottom