CCM inahitaji pongezi nchi hii, tulipotoka tunapajua wenyewe. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

CCM inahitaji pongezi nchi hii, tulipotoka tunapajua wenyewe. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Mleta mada analinganisha Tanzania ilivyo sasa na huko zamani na kuhitimisha kuwa serikali ya chama cha mapinduzi imefanya kazi kubwa sana kwamba hali ilivyo sasa ni juhudi za ccm hivyo tuipongeze, sasa najiuliza kama Tanzania ilivyo sasa ccm wanahitaji kupongezwa je vp Tanzania ingekuwa endapo ccm isingekuwa imefanya vizuri kwa mtazamo wa mleta mada?

Kwa sababu zipo nchi ambazo zina umri sawa na sisi ila zimetupita mbali sana kimaendeleo bila ya shaka nao kama wasingefanya juhudi basi wangekuwa kama sisi maana tulikuwa wote sawa, ila sisi tunajilinganisha sisi wenyewe et tulipotoka na tulipo kwa miaka yote 60 na kujiona tumefanya makubwa sana.

Rais Samia anasema tusijilinganishe na nchi za wenzetu huko zilizoendelea zenye miaka zaidi ya 200, sawa ila mbona hata nchi zenye miaka sawa na sisi pia zimetupita mbali kimaendeleo?

Kwa mitazamo ya mleta mada anataka kuzidi kudumaza akili zetu kujiona tunaenda sawa na wakati katika maendeleo, miaka 60 ya kujitawala bado tu watu wanakosa hata maji safi ya kunywa na wanafunzi wanakaa chini kwa kukosa madawati achilia mbali ubovu wa elimu yenyewe halafu mtu anataka tupongezane kwa hali hiyo sasa kinyume chake ndio hali ingekuwaje?
 
CCM ikubali KIFO Ili Nchi ipone.

Kinyonga ni mfano mzuri sana, huyameza mayai yaliyofika muda wake kuanguliwa,

Hupanda juu ya mti mrefu na kujirusha chini akielekeza tumbo chini.

Tumbo likipasuka na Yeye kufa, ndo maisha ya watoto wa Kinyonga huanza.

CCM ilipogundua mfumo wa chama kimoja umefail, ilitakiwa kuandika KATIBA mpya na kuiua CCM.

Muda Bado upo.

CCM ijimalize Kwa maslah mapana ya nchi.
Mada hii nzuri mno
Mimim naanzia hapa. Kwako kwa kukuunga mkono.
Pia namuunga mkono
Nelson Jacob lushasi.
CCM imezeeka sana kkifikra na haiwezi tatua matatizo ya nchi hii.
Ina fikra za kiukombozi zaidi kuliko za kisasa.
Kinahitajika Chama Kingine chenye muono chanya.
 
CCM ndio sababu ya Ufukara wetu, niheri tungeendelea kutawaliwa na wakoloni
Mkoloni angeendelea kuitawala hii nchi Tanzania ingekuwa first world country Leo , alaaniwe Nyerere na vibaraka wake wanyonya damu ,uchu tu wa madaraka kwa ubinafsi wao ili kuneemdzha matumbo na familia zao
 
CCM ndio inatakiwa itushukuru sisi Wananchi.

Kupitia Sisi Viongozi wa CCM wameneemeka, Watoto wao mpaka Vijukuu na Vitukuu future yao ni Bright.
 
Mleta mada analinganisha Tanzania ilivyo sasa na huko zamani na kuhitimisha kuwa serikali ya chama cha mapinduzi imefanya kazi kubwa sana kwamba hali ilivyo sasa ni juhudi za ccm hivyo tuipongeze, sasa najiuliza kama Tanzania ilivyo sasa ccm wanahitaji kupongezwa je vp Tanzania ingekuwa endapo ccm isingekuwa imefanya vizuri kwa mtazamo wa mleta mada?

Kwa sababu zipo nchi ambazo zina umri sawa na sisi ila zimetupita mbali sana kimaendeleo bila ya shaka nao kama wasingefanya juhudi basi wangekuwa kama sisi maana tulikuwa wote sawa, ila sisi tunajilinganisha sisi wenyewe et tulipotoka na tulipo kwa miaka yote 60 na kujiona tumefanya makubwa sana.

Rais Samia anasema tusijilinganishe na nchi za wenzetu huko zilizoendelea zenye miaka zaidi ya 200, sawa ila mbona hata nchi zenye miaka sawa na sisi pia zimetupita mbali kimaendeleo?

Kwa mitazamo ya mleta mada anataka kuzidi kudumaza akili zetu kujiona tunaenda sawa na wakati katika maendeleo, miaka 60 ya kujitawala bado tu watu wanakosa hata maji safi ya kunywa na wanafunzi wanakaa chini kwa kukosa madawati achilia mbali ubovu wa elimu yenyewe halafu mtu anataka tupongezane kwa hali hiyo sasa kinyume chake ndio hali ingekuwaje?

Mimi kwa kukuunga mkono UHURU JR
Naitazama Zanzibar nchi yangu, jinsi ilivyorudishwa nyuma na CCM kwa miaka hiyo 60 ni (Umasikini, Maradhi, na Ajira) Mambo haya makuu bado ni kitendawili hapa kwetu.

Zanzibar Imezungukwa na bahari ,lakini kwetu imekuwa kama Laana CCM wameshindwa kuinufaisha nchi kwa bahari.

Zanzibar ina rasilimali ya Mafuta na Gesi ,CCM wameshindwa kuchimba. Zanzibar ina Population Ndogo mno lakini hakuwa faraja kwa kuwa kwetu kidongo na wingi wa rasilimali, CCM imeshindwa kutumua Mwanya huu.

Mtaendelea kisifu kwa lipi? Wanashindwa kuleta maendeleo Edelevu badala yake wametuzamisha kwenye Klimo cha mwani huku wakiua kile cha Karafuu.
 
Mkoloni mwingereza alikuwa ni bora mara 1000 zaidi ya mkoloni nyapara ,muuaji na mnyonya damu ccm
 
Mada hii nzuri mno
Mimim naanzia hapa. Kwako kwa kukuunga mkono.
Pia namuunga mkono
Nelson Jacob lushasi.
CCM imezeeka sana kkifikra na haiwezi tatua matatizo ya nchi hii.
Ina fikra za kiukombozi zaidi kuliko za kisasa.
Kinahitajika Chama Kingine chenye muono chanya.
CCM wamechelewa,

CCM walitakiwa waanzishe na kukiimarisha chama kinzani tangu 1977, mwaka 1992 wangeweza pia.

Wangeanzisha chama na kukipa nguvu chini Kwa chini na kukipa nguvu.

Chama hicho kingefanyika mbadala baada ya kuiua CCM,

CCM imezeeka, Vyama vya upinzani havina HOJA nzito saaana, wanapata uungwaji mkono sababu tu ya kuchokwa CCM.

CCM imebaki pekee chama kikongwe kilicho hai.

Walijaribu kujivua GAMBA, lilipofika kiunoni likangangania,

CCM must die,

Na KATIBA mpya ndo tiketi ya mwisho kuiua CCM,

Tukishindwa kuiua CCM Kwa HOJA ya KATIBA mpya, basi haitotoka kamwe.
 
CCM wamechelewa,

CCM walitakiwa waanzishe na kukiimarisha chama kinzani tangu 1977, mwaka 1992 wangeweza pia.

Wangeanzisha chama na kukipa nguvu chini Kwa chini na kukipa nguvu.

Chama hicho kingefanyika mbadala baada ya kuiua CCM,

CCM imezeeka, Vyama vya upinzani havina HOJA nzito saaana, wanapata uungwaji mkono sababu tu ya kuchokwa CCM.

CCM imebaki pekee chama kikongwe kilicho hai.

Walijaribu kujivua GAMBA, lilipofika kiunoni likangangania,

CCM must die,

Na KATIBA mpya ndo tiketi ya mwisho kuiua CCM,

Tukishindwa kuiua CCM Kwa HOJA ya KATIBA mpya, basi haitotoka kamwe.
Unaongea kisiasa au kama msomi
 
Mimi kwa kukuunga mkono UHURU JR
Naitazama Zanzibar nchi yangu. jinsi ilivyorudishwa nyuma na CCM kwa miaka hiyo 60.ni (Umasikini,Maradhi, na Ajira) Mambo haya makuu bado ni kitendawili hapa kwetu.
.Zanzibar Imezungukwa na bahari ,lakini kwetu imekuwa kama Laana CCM wameshindwa kuinufaisha nchi kwa bahari.
.Zanzibar ina rasilimali ya Mafuta na Gesi ,CCM wameshindwa kuchimba.
.Zanzibar ina Population Ndogo mno lakini hakuwa faraja kwa kuwa kwetu kidongo na wingi wa rasilimali, CCM imeshindwa kutumua Mwanya huu.
.Mutaendelea kisifu kwa lipi? Wanashindwa kuleta maendeleo Edelevu badala yake wametuzamisha kwenye Klimo cha mwani huku wakiua kile cha Karafuu.
Unaongea kisiasa au kisomi mdogo wangu
 
Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.

Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Miaka hiyo ya 1960 tujilinganishe ni zile Nchi tulizokuwanazo sawa !!
 
Pongezi kwa kuleta gongo na kamari?
Bwana Mshana , nakukubali sana mkuu.
Tazama Kuhusu Huu Muungano , CCM wameunda Tume zaidi ya 3 na kupewa maoni chanya ya kuleta Serikali 3 ,lakini wao bado wanangangania 2 kelekea moja.

Walipoungana walisema wanataka kuleta Umoja wa Afrika.
lakini tazama katiba waliyoiandika haikuweka mwanya wa nchi nyingine kujiunga na Muungano huu.
Huii nikunesha kufeli kwa azma yao hii kama ilivyofeli Ujamaa wa Nyerere.
 
Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.

Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Tutajie hayo mafanikio ya kujivunia na mapungufu yenu mpaka Sasa.
 
Nnavyo waona Mbuzi na wanachama wake
FB_IMG_16759015390123058.jpg
 
Mkoloni angeendelea kuitawala hii nchi Tanzania ingekuwa first world country Leo , alaaniwe Nyerere na vibaraka wake wanyonya damu ,uchu tu wa madaraka kwa ubinafsi wao ili kuneemdzha matumbo na familia zao
Una hakika na uyasemayo mdogo wangu
 
Back
Top Bottom