CCM inapaswa kudhibiti ufisadi na wizi wa pesa za umma. Sio kudili na picha za ngono ambazo VPN inapiga kazi

Waziri wenu huyo bwana Nape na Jabiri ....yaani katika vyooote wameona mambo ya uchi ndio tatizo....
 
Waache watu watoe stress zao,hivi kesi za ubakaji zikianza kuongezeka itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…