Waziri wenu huyo bwana Nape na Jabiri ....yaani katika vyooote wameona mambo ya uchi ndio tatizo....Mnafahamu kabisa pesa za umma zinaliwa. Sasa mnadili na minor issues ili iweje?
Unafahamu huu wizi kwa nini sasa mnakomaa na vitu kama hivi ambavyo hata kwa VpN mtu anaviaccess?
Huu sio wakati wa kudili na minor issues. Tunataka mdhibiti ufisadi.
[emoji116]
View attachment 2512762